Vurugu zaibuka Kigoma
Polisi mkoani Kigoma wamelazimika kutumia risasi za moto kuwatawanya watu waliokuwa wakifanya vurugu kwa kuchoma nyumba mbili za watu kwa tuhuma za ushirikina.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Vurugu zaibuka Zanzibar, Bara
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Vurugu zaibuka mkutanoni, wagombea wavutana
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Warioba awasuta kwa Nyerere, vurugu zaibuka
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Nyufa za Mwl. Nyerere zaibuka
NYUFA ya udini aliyohadharisha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, miaka 20 iliyopita, inanyemelea ten
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi13 Dec
Kampeni tatu za Katiba zaibuka Zanzibar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CC_BdQbdJGo/Xsfz5VbtRBI/AAAAAAALrTs/6CPow7YcVrcdb36Gqf4RE9Mo7B8U4M9wACLcBGAsYHQ/s72-c/3bf7b521-95c5-44a8-b6a6-884ef19f17cd.jpg)
WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI KIGOMA KIGOMA
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kufanya ziara ya siku moja
mkoani Kigoma leo kwa ajili ya kugawa miche ya michikichi kwa makundi
mbalimbali ya wakulima ikiwa ishara ya kuanza rasmi utekelezaji wa
mkakati wa serikali kuelekea kujitegemea kwa mafuta ya kula
yatakayokuwa yakizalishwa kupitia zao la michikichi.
Mkuu wa mkoa Kigoma,Emanuel Maganga akizungumza na waandishi wa habari mjini Kigoma leo alisema kuwa mpango wa ugawaji wa miche hiyo
utafanyika katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qdocSH7_ji8/VRtOafZ8phI/AAAAAAAHOpg/VfH2a0dmY-g/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI KIGOMA WAZINDUA GAZETI LAO LA KIGOMA YETU
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Kh4IBf9Ak0c/VJfrt9saoEI/AAAAAAAG4_c/MNfVQWj5YQo/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
MKUU WA WILAYA YA KIGOMA AKANUSHA VIONGOZI WA HALMASHAURI YA KIGOMA KULA PESA YA TASAF
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Mwili wa Mama yake Mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe wasafirishwa kwenda Kigoma
Zitto Kabwe akiwa na Prof Ibrahimu Lipumba wakati wa kuuaga Mwili wa mama yake kipenzi Bi Shida Salumu aliyefariki leo kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi.
Ndege ikiandaliwa ili kuweza kuingiza mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe.
Waheshimiwa Wabunge na Baadhi ya Viongozi wakibeba Jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe Bi Shida Salum kuingiza kwenye ndege Tayari kwa safari ya kwenda Kigoma Kwenye mazishi.
Prof. Ibrahimu Lipumba akijadili jambo na...