Vurugu zaibuka mkutanoni, wagombea wavutana
Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zimeendelea kupamba moto nchini, zikiambatana na vurugu pamoja na mivutano baina ya wagombea kutoka vyama mbalimbali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Vurugu zaibuka Kigoma
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Vurugu zaibuka Zanzibar, Bara
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Warioba awasuta kwa Nyerere, vurugu zaibuka
10 years ago
Mtanzania01 Apr
CCM, CUF wavutana vurugu Zanzibar
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM) umelaani na kusikitishwa na kauli za viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) kuitupia lawama CCM kwa kudai imehusika katika kushambuliwa wafuasi wao.
Wakati CCM wakitoa kauli hiyo, CUF kimemtupia lawama Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), Balozi Seif Ali Idd kuwa ndiye amekuwa akitoa kauli za kuchochea vurugu visiwani humo.
Taarifa ya UVCCM Zanzibar kulaani matamshi hayo ilitolewa jana kwa vyombo vya habari na...
9 years ago
Habarileo29 Oct
‘Wagombea epukeni lugha zinazochochea hofu, vurugu’
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imewataka viongozi wa vyama vya siasa na wagombea, waepuke lugha zinazoweza kusababisha hofu, vurugu na uvunjifu wa amani.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Viongozi CCM watimuliwa mkutanoni
WANANCHI wa Kata ya Kambasegela wilayani Rungwe mkoani hapa, wamewafukuza viongozi wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM wa kata hiyo walipotaka kufanya mkutano wa hadhara ili kuimarisha chama chao. Akizungumza...
10 years ago
Mtanzania20 Feb
Kigogo CCM afia mkutanoni
Na Is-haka Omar, Zanzibar
MWAKILISHI wa Magomeni visiwani Zanzibar, Salmin Awadhi Salmin (CCM), amefariki dunia ghafla baada ya kuanguka katika kikao cha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichokuwa kinafanyika katika ofisi kuu ya chama hicho, Kisiwandui mjini Unguja.
Taarifa hiyo ilianza kuenea mjini Unguja jana saa 6 mchana, na hata kuzua maswali kutoka kwa wananchi kuhusu utata wa kifo chake.
Salmin (57) ambaye pia alikuwa ni mnadhimu wa wawakilishi wa CCM na mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho...
11 years ago
Uhuru Newspaper09 Jul
Mwenyekiti Chadema 'aichanachana' mkutanoni
NA CHARLES CHARLES, SONGEA
MWENYEKITI wa Chadema wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, Mchungaji Desderius Haule, amesema chama hicho kinaendeshwa kibabe, kibinafsi na kama kampuni inayomilikiwa na watu wanaoweza kufanya chochote kwa jinsi wanavyotaka bila kufuata katiba.
Aidha, Haule amewashukia viongozi wa vyama vya upinzani kwa kueneza dhana potofu na uongo kuwa, kila mwanachama wao anayejiuzulu na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) anakuwa amenunuliwa.
Mchungaji huyo ambaye alikihama chama...
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Nyufa za Mwl. Nyerere zaibuka
NYUFA ya udini aliyohadharisha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, miaka 20 iliyopita, inanyemelea ten
Mwandishi Wetu