Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vurugu zaibuka mkutanoni, wagombea wavutana

Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zimeendelea kupamba moto nchini, zikiambatana na vurugu pamoja na mivutano baina ya wagombea kutoka vyama mbalimbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Vurugu zaibuka Kigoma

Polisi mkoani Kigoma wamelazimika kutumia risasi za moto kuwatawanya watu waliokuwa wakifanya vurugu kwa kuchoma nyumba mbili za watu kwa tuhuma za ushirikina.

 

9 years ago

Mwananchi

Vurugu zaibuka Zanzibar, Bara

Vurugu zimeibuka katika baadhi ya mikoa ya Bara na Zanzibar, hali iliyowalazimu polisi kutumia nguvu ikiwamo kurusha mabomu ya machozi na maji ya kuwasha.

 

10 years ago

Mwananchi

Warioba awasuta kwa Nyerere, vurugu zaibuka

Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Sinde Warioba jana alivamiwa na kikundi cha watu wachache waliohudhuria mdahalo wa Katiba wakati akihoji vitendo vya baadhi ya watu kutumia vibaya jina la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.

 

10 years ago

Mtanzania

CCM, CUF wavutana vurugu Zanzibar

baloz Seif IddNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM) umelaani na kusikitishwa na kauli za viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) kuitupia lawama CCM kwa kudai imehusika katika kushambuliwa wafuasi wao.
Wakati CCM wakitoa kauli hiyo, CUF kimemtupia lawama Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), Balozi Seif Ali Idd kuwa ndiye amekuwa akitoa kauli za kuchochea vurugu visiwani humo.
Taarifa ya UVCCM Zanzibar kulaani matamshi hayo ilitolewa jana kwa vyombo vya habari na...

 

9 years ago

Habarileo

‘Wagombea epukeni lugha zinazochochea hofu, vurugu’

TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imewataka viongozi wa vyama vya siasa na wagombea, waepuke lugha zinazoweza kusababisha hofu, vurugu na uvunjifu wa amani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi CCM watimuliwa mkutanoni

WANANCHI wa Kata ya Kambasegela wilayani Rungwe mkoani hapa, wamewafukuza viongozi wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM wa kata hiyo walipotaka kufanya mkutano wa hadhara ili kuimarisha chama chao. Akizungumza...

 

10 years ago

Mtanzania

Kigogo CCM afia mkutanoni

salminNa Is-haka Omar, Zanzibar
MWAKILISHI wa Magomeni visiwani Zanzibar, Salmin Awadhi Salmin (CCM), amefariki dunia ghafla baada ya kuanguka katika kikao cha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichokuwa kinafanyika katika ofisi kuu ya chama hicho, Kisiwandui mjini Unguja.
Taarifa hiyo ilianza kuenea mjini Unguja jana saa 6 mchana, na hata kuzua maswali kutoka kwa wananchi kuhusu utata wa kifo chake.
Salmin (57) ambaye pia alikuwa ni mnadhimu wa wawakilishi wa CCM na mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mwenyekiti Chadema 'aichanachana' mkutanoni


NA CHARLES CHARLES, SONGEA
MWENYEKITI wa Chadema wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, Mchungaji Desderius Haule, amesema chama hicho kinaendeshwa kibabe, kibinafsi na kama kampuni inayomilikiwa na watu wanaoweza kufanya chochote kwa jinsi wanavyotaka bila kufuata katiba.
Aidha, Haule amewashukia viongozi wa vyama vya upinzani kwa kueneza dhana potofu na uongo kuwa, kila mwanachama wao anayejiuzulu na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) anakuwa amenunuliwa.
Mchungaji huyo ambaye alikihama chama...

 

9 years ago

Raia Mwema

Nyufa za Mwl. Nyerere zaibuka

NYUFA ya udini aliyohadharisha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, miaka 20 iliyopita, inanyemelea ten

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani