Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wagombea epukeni lugha zinazochochea hofu, vurugu’

TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imewataka viongozi wa vyama vya siasa na wagombea, waepuke lugha zinazoweza kusababisha hofu, vurugu na uvunjifu wa amani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Epukeni wagombea wenye kutoa fedha’

WATANZANIA wametakiwa kujihadhari na wanasiasa wanaowania urais, ubunge na udiwani kwa kutumia fedha ili kuepusha taifa kuongozwa na watu wenye nguvu za fedha, badala ya kusimamia Katiba ya nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Dawa ya wagombea wanaotumia lugha za matusi, vitisho yaiva

Polisi mkoani Mtwara imewaonya wagombea na wafuasi wao kutumia lugha za matusi, vitisho pamoja na fujo katika mikutano ya kampeni.

 

11 years ago

Mwananchi

Hofu ya vurugu yatanda jimbo la Kalenga

Zikiwa zimesalia siku 12 kabla ya uchaguzi mdogo wa ubunge wa Jimbo la Kalenga, zimeanza kuonekana dalili za vitendo vya uvunjifu wa amani baada ya vyama vikuu viwili vinavyokabana koo – CCM na Chadema kuanza kutuhumiana kwa vurugu.

 

10 years ago

Mwananchi

Vurugu zaibuka mkutanoni, wagombea wavutana

Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zimeendelea kupamba moto nchini, zikiambatana na vurugu pamoja na mivutano baina ya wagombea kutoka vyama mbalimbali.

 

10 years ago

Habarileo

Nabii awatoa hofu ya kufa wagombea urais

Nabii John KomanyaSERIKALI imeombwa kuimarisha ulinzi wa kutosha katika kuelekea uchaguzi mkuu ili wananchi waendelee kuishi kwa amani na utulivu.

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI MSIWE NA HOFU,HAKUTAKUWA NA VURUGU UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA KALENGA-MKUU WA MKOA IRINGA

Mkuu wa mkoa wa iringa DK CHRISTIN ISHENGOMA amewataka wananchi mkoani  Iringa,kutokuwa na hofu katika kipindi hiki cha kuelekea kampeni za uchaguzi wa jimbo la kalenga.
Akizungumza leo  kwenye moja ya kituo cha redio mjini humo,Nuru FM ,kupitia kipindi cha sunrisepower, amesema kuwa tayari ameshakaa na kamati yake ya Ulinzi na Usalama akiwemo Kamanda wa Jeshi la Polisi,aidha ameongeza kuwa wamejiandaa kikamilifu katika ulinzi, hivyo wananchi wanapaswa kutokuwa na hofu.
Amesema kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili

makala zangu kwa muda mrefu uliopita, nilieleza juu makosa mbalimbali yanayotokea katika magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Nilieleza kuwa kipimo cha kujitathmini kwetu kama kweli tunathamini utamaduni wetu ni jinsi tunavyoenzi mila na desturi zetu na hasa lugha yetu ya Kiswahili ambayo ni urithi tuliopata kutoka kwa wazee wetu waliotutangulia. Wazee wetu walijitoa muhanga kuilinda lugha yetu kwa kutunga tenzi, mashairi, hadithi, tambo za aina mbalimbali  na hasa nyimbo, misemo, nahau na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Epukeni tiba za kitapeli’

MKURUGENZI wa Kitengo cha Tiba Asili na Tiba Mbadala, Dk. Poul Mhare, amewataka wananchi kujiepusha na matapeli wanaoweka mabango barabarani na kujifanya wanatibu magonjwa mbalimbali kwa tiba asilia. Alitoa kauli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani