Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Vurugu zinazuia wanawake, walemavu kushiriki uchaguzi’

VURUGU wakati wa uchaguzi zimetajwa kuwa miongoni mwa sababu za wanawake na watu wenye ulemavu kushindwa kujitokeza kushiriki kwenye uchaguzi. Utafiti uliofanywa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) umebaini hilo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WALEMAVU WATAKA HAKI YA KUSHIRIKI KURA YA MAONI NA UCHAGUZI MKUU

Katibu Mtendaji wa Iclusive Development Promoters& Consultants (IDPC) Kaganzi Rutachwamagyo (kulia) mwenyekiti SHIVYAWATA, Amoni Mpanju na  Mwenyekiti umoja wa watu wenye ulemavu, Zanzibar Ali Makame. Mtoa mada kaganzi akichokoza mada.…

 

9 years ago

Vijimambo

BAWACHA KUHAMASISHA WANAWAKE KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

  Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima Mdee akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaama juu ya uzinduzi wa kongamano la kuunganisha wanawake ili waweze kushiriki katika uchaguzi mkuu Octoba 25.  Katibu Mkuu wa Bawacha, Grace Tendega akifafanua jambo.
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima Mdee akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juu ya uzinduzi wa kongamano la kuunganisha wanawake ili waweze kushiriki katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya kushiriki kombe la walemavu

Kenya na Ghana ni mataifa ya yatakayoshiriki kwenye mashindano ya kombe la dunia ya kandanda ya walemavu nchini Mexico mwezi ujao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

WLAC yawanoa wanawake walemavu

WAKATI wanawake wengi wakielezwa kuwa na uelewa mdogo kuhusu mchakato wa Katiba mpya, wanawake wenye ulemavu wameelezwa kuwa mara mbili yake. Mwanasheria wa Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel Divas yasaidia wanawake walemavu

UMOJA wa Wafanyakazi Wanawake wa Kampuni ya Airtel (Airtel Divas) umejitoa kusaidia Kikundi cha Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu Tanzania (Swauta) kilichopo Kinondoni, Dar es Salaam. Wafanyakazi hao wa Airtel...

 

10 years ago

Habarileo

Chama chasisitiza maslahi kwa walemavu wanawake

CHAMA cha Furaha ya Wanawake Wajasiriamali kwa Viziwi Tanzania (Fuwavita) kimeomba Halmashauri kuweka mahitaji na maslahi ya walemavu wanawake viziwi katika bajeti zao wapate haki zao za msingi.

 

9 years ago

Mwananchi

Walemavu : Hatutashiriki uchaguzi

Wakati ukiwa umebaki mwezi mmoja na wiki moja ufanyike Uchaguzi Mkuu, kundi la watu wenye ulemavu lipo katika sintofahamu ya kushiriki ama la.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanawake 250 kushiriki kongamano Dar

 Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano maalumu la Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani itakayofanyika Machi 8 mwaka huu na kuhudhuriwa na wageni zaidi ya 250.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani