Walemavu : Hatutashiriki uchaguzi
Wakati ukiwa umebaki mwezi mmoja na wiki moja ufanyike Uchaguzi Mkuu, kundi la watu wenye ulemavu lipo katika sintofahamu ya kushiriki ama la.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Aug
Wataka liwepo jimbo la uchaguzi la walemavu
WATU wenye ulemavu wameomba kuwa na jimbo lao la uchaguzi katika chaguzi zijazo ili kuwa na nafasi nzuri ya uwakilishi katika vyombo vya kutoa maamuzi yaani Bunge na Baraza la Wawakilishi.
10 years ago
Habarileo25 Aug
‘Vurugu zinazuia wanawake, walemavu kushiriki uchaguzi’
VURUGU wakati wa uchaguzi zimetajwa kuwa miongoni mwa sababu za wanawake na watu wenye ulemavu kushindwa kujitokeza kushiriki kwenye uchaguzi. Utafiti uliofanywa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) umebaini hilo.
10 years ago
GPLWALEMAVU WATAKA HAKI YA KUSHIRIKI KURA YA MAONI NA UCHAGUZI MKUU
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--_6iLiPiIZo/U6qgK3ZRmdI/AAAAAAAFs5w/E7JbN1-SdeI/s72-c/NEC_BANNER2.gif)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHAKIKISHA INAWEKA MIUNDOMBINU MIZURI KWA WALEMAVU.
![](http://2.bp.blogspot.com/--_6iLiPiIZo/U6qgK3ZRmdI/AAAAAAAFs5w/E7JbN1-SdeI/s1600/NEC_BANNER2.gif)
Na John Gagarini, Kibaha.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi Nchini (NEC) imesema kuwa itahakikisha kuwa inaweka miundombinu mizuri kwa watu wenye ulemavu wakati wa uboreshaji wa zoezi la Daftari la Kudumu la Wapiga Kura litakalofanyika hivi karibuni.
Kutokana na umuhimu wa zoezi hilo Tume imejipanga kuhakikisha kila kundi ndani ya jamii ikiwemo ile ya walemavu wanashiriki kikamilifu zoezi hilo ambalo litaambatana na utoaji wa vitambulisho vipya vya wapiga kura vitakavyotumika kwenye wakati...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
CUF: Hatutashiriki Sherehe za Mapinduzi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycGpSjRawy16xZhKQZ4dRHkuPJegC3bfb7VwiZehHprWhkWl5cHHKKUAT1J55yupOgQTZIRarnUSdYMWQgz8YWng/wheelchair2.jpg?width=650)
WATOTO WALEMAVU MAHENGE WANUFAIKA NA MSAADA WA BAISKELI ZA WALEMAVU
9 years ago
Michuzi24 Sep
10 years ago
MichuziKILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALEMAVU KITAIFA IRINGA , SERIKALI YA TANZANIA YAPIGA MARUFUKU UJENZI WA MAJENGO YASIYO RAFIKI NA WALEMAVU
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.