Wanawake 250 kushiriki kongamano Dar
 Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano maalumu la Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani itakayofanyika Machi 8 mwaka huu na kuhudhuriwa na wageni zaidi ya 250.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/5-b.jpg?width=650)
SAMIA SULUHU AZURU KONGAMANO LA WANAWAKE DAR
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Kongamano la kwanza la wanawake wafanyabiashara sokoni Tanzania lafanyika jijini Dar
Ofisa Programu Dawati la Uangalizi wa Serikali wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Hussein Sengu (kulia) akitoa mada katika Kongamano la siku mbili la Wanawake Wafanyabiashara Sokoni Tanzania lililofanyika Dar es Salaam jana. Kongamano hilo lililowahusisha wanawake kutoka mikoa tisa ya Tanzania Bara...
10 years ago
MichuziKONGAMANO LA KWANZA LA WANAWAKE WAFANYABIASHARA SOKONI TANZANIA LAFANYIKA JIJINI DAR LEO.
MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti Tanzania (Repoa), Samwel Wangwe amewataka watanzania kuwawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo hususani wanawake kwani wananafasi kubwa ya kuchangia pato la Taifa.
Akizunguza Dar es Salaam leo wakati wa Ufunguzi wa Kongamano la kwanza la wanawake wafanyabiashara sokoni Tanzania, Wangwe alisema ni muhimu kuhakikisha wafanyabiashara hao wanawezeshwa na kuwajali katika uzalishaji na uendeshaji wa biashara zao.
Alisema kwa mujibu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Tluf1yuq8v8/UwEpxIGls6I/AAAAAAACawM/AnsMIMFWA44/s72-c/1.jpg)
UWF kuandaa hafla ya family day machi 15 escape one jijini dar,wanawake wahamasishwa kushiriki siku ya mwanamke duniani
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tluf1yuq8v8/UwEpxIGls6I/AAAAAAACawM/AnsMIMFWA44/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lOv7YeSliUI/UwEokWw-XiI/AAAAAAACawE/sRsgVkk0Jrw/s1600/3.jpg)
5 years ago
MichuziDC MBONEKO AONGOZA MAMIA YA WANAWAKE KONGAMANO LA WANAWAKE 'SHINYANGA WOMEN'S DAY OUT'
11 years ago
Habarileo05 Mar
Wanawake 250 kukutana leo
MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete leo anaongoza wanawake zaidi ya 250 kutoka kada mbalimbali katika kuangalia mafanikio ya ukombozi wa mwanamke nchini kiuchumi na kijamii.
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Mama Salma kuwakutanisha wanawake 250
MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete, leo anatarajiwa kuongoza hafla inayowakutanisha wanawake zaidi ya 250 kutoka kada mbalimbali wakiwemo wasomi, wake wa viongozi, wajasiriamali na wanasiasa yenye lengo la kuangalia...
10 years ago
MichuziKONGAMANO LA JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA WANAWAKE TANZANIA (TANZANIA BUSINESS ENTREPRENEURS) LAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
Mwito huo umetolewa na Mratibu wa Kongamano la Jumuia ya Wafanyabiashara Wanawake Tanzania, Julieti Mjale wakati akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kongamano hilo lililofanyika Hoteli ya Mbezi Garden Dar es Salaam jana.
"Uthubutu katika jambo lolote ni muhimu kwani unamfanya muhusika kupiga hatua ya maendeleo" alisema Mjale
Alisema wajasiriamali...
11 years ago
KwanzaJamii25 Apr
Kansa inaua wanawake 250,000 kila mwaka