Vyama vya siasa vyakiri mapungufu katika hesabu zao
SIKU chache baada ya kuanikwa kwa taarifa ya ukaguzi wa mahesabu uliofanywa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ikionesha dosari katika hesabu za mapato na matumizi ya karibu vyama vyote vya siasa nchini, baadhi ya vyama hivyo vimekiri udhaifu na kuahidi kufanya marekebisho kulingana na sheria za fedha zinavyoelekeza.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziVYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUWEKA VIPENGELE VYA WATOTO KWENYE ILANI ZAO.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
VYAMA vya Siasa nchini katika kuelekea Uchaguzi Mkuu vimetakiwa katika ilani zao, kuweka vipengele vya watoto kutokana na kuwepo kwa sheria kandamizi dhidi ya mtoto.
Hayo wameyasema watoto wakati wa mkutano uliondaliwa na Shirika la Save the Children kupitia Ajenda ya Mtoto inayoshirikisha mashirika 30 yanayojighulisha na masuala ya watoto kwa kuwakutanisha viongozi wa vyama vya siasa na watoto ,katika kujadili nafasi ya mtoto katika ilani zao kuelekea...
10 years ago
Vijimambo03 May
Kiama vyama vya siasa, Mageuzi kuwalazimu kubadilisha Katiba zao, Lengo ni pamoja na kufuta vikundi vya ulinzi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JajiMutungi(3).jpg)
Mtikisiko mkubwa unavikabili vyama vya siasa nchini, vinapoandaliwa kufanya mabadiliko ya lazima kwa Katiba zao, ili pamoja na mambo mengine, vifute vifungu vinavyohalalisha uhai wa vikundi vya ulinzi na usalama.
Hatua hiyo inatokana na kubainika kuwapo kwa vifungu vya katiba hizo hasa vinavyohusu uwapo wa vikundi vya ulinzi na usalama na hivyo kukiuka Katiba ya nchi inayotoa haki hiyo kwa majeshi ya ulinzi na usalama.
Taarifa za uhakika...
9 years ago
VijimamboMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mbMo2RIkhrk/XnN-DtAnxMI/AAAAAAALkdY/0Vq_LBXoi70sQjqjAitQuaYrAUCi-9jrwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA-%2BOFISI%2BYA%2BMSAJILI%2BWA%2BVYAMA%2BVYA%2BSIASA.jpg)
9 years ago
Michuzi27 Aug
MDAHALO WA UCHAGUZI MKIKIMKIKI 2015 WAZINDULIWA VYAMA VIKUU VYA SIASA KUJADILI SERA ZAO
TWAWEZA inatangaza uzinduzi wa midahalo iitwayo Mkikimkiki 2015. Midahalo hii imeanzishwa ili kutoa fursa na jukwaa kwa vyama vya siasa kunadi sera zao kwa wananchi. Aidha midahalo hii tawapa wananchi fursa ya kuwahoji na kuwapima wagombea na wataalamu wa vyama vikuu vya siasa.
Mfululizo huu wa midahalo umekuja wakati muafaka. Utafiti ulidhaminiwa na Twaweza, uligundua kuwa wananchi 8 kati ya 10 wanafikiri kuwa wagombea ubunge (78%) na urais (79%) wanapaswa kuwa na midahalo ya pamoja. Mbali...
Mfululizo huu wa midahalo umekuja wakati muafaka. Utafiti ulidhaminiwa na Twaweza, uligundua kuwa wananchi 8 kati ya 10 wanafikiri kuwa wagombea ubunge (78%) na urais (79%) wanapaswa kuwa na midahalo ya pamoja. Mbali...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGa0Y6kLfZla91oqfmkX7w6XfoZdF-i6o-K1i5EBO8j9GeqCxhzlIQnp3-EF77F3P4P-9rBrLEwU3ArjG3ZGt48n/1.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidVMp1-8bEVb6urxoJPjhWOk8Q1VCt3iuWrcA04t4rXEw9KLYaiITVxaF8EsOAI42C8i2VbU*L-NhcH-TN7pfYSF/Dovutwa.jpg?width=650)
DOVUTWA: HAKUNA URAFIKI KATIKA VYAMA VYA SIASA ASEMA KINACHOWAZUIA NI RUZUKU
Makala: Elvan Stambuli
MWENYEKITI wa United Peoples Democratic Party (UPDP), Fahmi Nassor Dovutwa amesema hakuna urafiki katika vyama vya siasa kwa kuwa kila chama kinataka kwenda ikulu kukalia kiti. Mwenyekiti wa Chama cha UPDP Taifa na Mjumbe wa Mkutano wa Bunge…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lrTvt-v6IFU/VNC54Lm8rZI/AAAAAAAHBSY/xwcV0Ih1olY/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
VYAMA VYA SIASA ,MASHIRIKA BINAFSI KATIKA MDAHALO JUU YA UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-lrTvt-v6IFU/VNC54Lm8rZI/AAAAAAAHBSY/xwcV0Ih1olY/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-flMQHjYM32k/VNC53P4yFcI/AAAAAAAHBSQ/Lbwjs2dB10E/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gijckUCkeZE/U_8EJYgAHhI/AAAAAAAGKMw/AdNDJ35v-MA/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
Viongozi wa vyama vya Siasa wakutana kujadili ushiriki wa makundi maalum katika uongozi
Tanzania Center for Democracy (TCD) iliwakutanisha viongozi wa vyama vya Siasa wanachama wa TCD ili kupokea taarifa ya Utafiti wa ushiriki wa makundi maalum katika nafasi za uongozi wa nchi, makundi yaliyojadiliwa ni Wanawake, Vijana na Walemavu ... Mapendekezo na maazimio ya mkutano huo yanafanyiwa kazi na TCD na baadae yatapelewa kwenye vyama kwa ajili ya kutumia Matokeo ya Utafiti huo ili kuongeza ushiriki wa makundi hayo katika uongozi ndani ya vyama na Taifa kwa ujumla!
Kutoka kushoto ni...
![](http://2.bp.blogspot.com/-gijckUCkeZE/U_8EJYgAHhI/AAAAAAAGKMw/AdNDJ35v-MA/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania