Waacheni waulilie urais 2015, watanyamaza
MTOTO akililia wembe mpe, ukimkata atauacha. Hakuna ambaye amefika hapo alipo bila kukumbwa na mikasa au misukosuko ya hatari wakati akiwa mtoto kwa lengo la kuutafuta ukubwa kwa nguvu na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Kane: Wabaya wangu watanyamaza
LONDON, ENGLAND
BAADA ya mshambuliaji wa Tottenham, Harry Kane kucheza michezo sita ya Ligi Kuu nchini England msimu huu bila kupachika bao, hatimaye mwishoni mwa wiki iliyopita alifanikiwa kupata bao lake la kwanza na kusema kuwa wabaya wake watanyamaza.
Kane alifanikiwa kupachika bao moja katika ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Manchester City, mchezaji huyo amesema watu walikuwa na maneno mengi kutokana na mchezaji huyo kushindwa kupata bao katika michezo ya mwanzo, lakini sasa watanyamaza...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s72-c/Sheik-29Dec2014.jpg)
Utabiri: Mgombea Urais kufa akitafuta urais 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s640/Sheik-29Dec2014.jpg)
Mrithi wa Mnajimu na Mtabiri wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini, Marehemu Sheikh Yahya Hussein, Alhaj Maalim Hassan Yahya Hussein, ametabiri kwamba kiongozi mmoja mzee aliye kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais, atadondoka ghafla kwenye jukwaa na kufa mwakani.Amesema kiongozi huyo, ambaye hakumtaja jina, atafariki dunia baada ya tukio hilo wakati akikimbizwa hospitali.Alitangaza utabiri huo, alipozungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kutumia kwa utabiri...
10 years ago
Habarileo16 Mar
Pengo: Waacheni Wakristo wajiamulie
“MAASKOFU hatuna mamlaka ya kuwaamulia au kuwalazimisha waumini wetu wafanye uamuzi gani kuhusu Katiba. Kuwaamulia ni kuwadharau kuwa hawawezi kufanya uamuzi sahihi wao wenyewe na kuingilia uhuru wao. “Waraka huu unaleta utengano katika taifa kuwa Wakristo tumechukua uamuzi dhidi ya Serikali na wengine....Tuwaache waumini wafanye uamuzi kwa tafakari yao binafsi bila shinikizo letu…”
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Van Gaal: Waacheni wachezaji, nizomeeni mimi
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lh0XlJHCBy0/Un-DgWst6FI/AAAAAAAE6Vc/OCboLUxlmB8/s72-c/MMG20389.jpg)
KUTEMBELEA MAKANISA NA SEHEMU ZA IMANI ZA KIJADI — WAACHENI WAJINADI
![](http://1.bp.blogspot.com/-lh0XlJHCBy0/Un-DgWst6FI/AAAAAAAE6Vc/OCboLUxlmB8/s640/MMG20389.jpg)
Niwape mfano- mimi, Leila, ningekuwa nagombea ubunge Tanga iwe mjini; Korogwe; vijijini; jambo la kwanza, hata kabla sijachukua fomu za mgombea na kujaza, ningekwenda kuwaona wazee wa Tanga.
Wazee wa Tanga wapo Waislamu, tena wa usharika wa Sunni; Shia; Bohora; Ansari...
10 years ago
Vijimambo06 Oct
Mzindakaya: Waacheni wananchi waamue wenyewe Katiba mpya
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mzindakaya-October6-2014.jpg)
Mwanasiasa mkongwe nchini, Dk. Chrisant Mzindakaya, amewashauri wanaokusudia kuandamana nchi nzima kutopoteza nguvu na muda kwa kuwa uamuzi wote kuhusu Katiba mpya, utaamuliwa na wananchi kupitia kura ya maoni.
Dk. Mzindakaya, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC), alikuwa akizungumzia maamuzi ya Bunge Maalum la Katiba lililohitimisha shughuli zake mjini Dodoma wiki iliyopita.
"Waliosema Katiba itokane na...
9 years ago
Michuzi15 Oct
RATIBA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS/MGOMBEA MWENZA KWA VYAMA VYA SIASA (KAMA ILIVYOREKEBISHWA TAREHE 15/10/2015) UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI, 2015
10 years ago
MichuziMSIWABUGHUDHI VIONGOZI WALIOPO MADARAKANI WAACHENI WACHAPE KAZI - DK. MNDOLWA
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametakiwa kuacha kuwabugudhi viongozi waliopo madarakani kwa kuchaguliwa waendelee kuchapa kazi badala ya kuanza kuzihitaji nafasi zao kabla ya wakati.
Mwito huo umetolewa na Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Chama hicho wilaya ya Korogwe mkoani Tanga Dk. Edmund Mndolwa wakati akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo.
"Wito wangu kwa wanachama wenzangu wenye lengo la kutaka kugombea...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-sFjscooS0U0/U8VSq6u2WdI/AAAAAAAABXs/Scit0iQHlI0/s72-c/Willian+Ngelejaxxx.jpg)
MBIO ZA URAIS 2015
Ngeleja naye afunguka
NA PETER KATULANDA, MWANZA
WAKATI vijana wakiendelea kupigiwa upatu katika harakati za kuwania urais katika uchaguzi mkuu mwakani, Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja, ameibuka na kuweka mambo hadharani.
![](http://4.bp.blogspot.com/-sFjscooS0U0/U8VSq6u2WdI/AAAAAAAABXs/Scit0iQHlI0/s1600/Willian+Ngelejaxxx.jpg)
Ngeleja, ambaye amewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini na miongoni mwa wanasiasa vijana wanaotajwa kuwa wanatosha kwenye nafasi hiyo, amesema ni mapenzi ya Mungu ndiyo yatamwongoza kuwania nafasi hiyo au kuendelea na ubunge.
“Kwa sasa naendelea kutii maagizo ya...