Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waafrika tuna mambo

Mwajua mimi sijambo, namshukuru Manani, Nimeamka kitambo, shafika kibaruani, Ila kuna kubwa jambo, kuuliza natamani, Hivi nyie hamjambo, mliopo kisimani, Nawambia si utani, Waafrika tuna mambo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MAMBO YA NJE NCHINI CHINA AFAFANUA SABABU ZA KUBAGULIWA KWA BAADHI YA WAAFRIKA NCHINI HUMO


Mabalozi wa Nchi za Afrika wamekutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China China Mhe. CHEN Xiaoding kuzungumzia changamoto zinazowakabili baadhi ya raia wa Mataifa ya Afrika katika Mji wa Guangzhou uliopo katika Jimbo la Guangdong.




Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

NAIBU Waziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya watu wa China Chen Xiaoding amekutana na mabalozi wa nchi za Afrika akiwemo balozi wa Tanzania nchini humo Mbelwa Kairuki na kufafanua taarifa na changamoto...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maisha ya waafrika Brazil

Waafrika wengi waliohamia nchini humo wanasema wanaona raha kuishi Brazil. Cha mno?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Shein: Zanzibar wenyewe ni Waafrika

RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema Zanzibar ni nchi iliyo katika bara la Afrika ambayo ilipaswa kujikomboa na kuwa huru ili kujitawala wenyewe na si kuendelea kubaki chini...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji Waafrika waandamana Israel

Wengi wao wakiwa raia wa Eritrea na Sudan, wameghadhabishwa na serikali kuwazuilia wahamiaji haramu kwa mwaka mmoja bila ya kuwafungulia mashitaka.

 

11 years ago

Mwananchi

Waafrika tunatumia sigara gani Brazil?

Waafrika tunatumia sigara gani Brazil? ni swali ambalo tajiri wa Liverpool, John Henry aliwauliza mabosi wa Arsenal baada ya kuongeza Pauni moja tu katika dau la pauni 40 milioni wakati wakijaribu kumnunua mshambuliaji wao wa kimataifa wa Uruguay, Luis Suarez.

 

10 years ago

Vijimambo

KWA NINI WAAFRIKA WANAJIBADILISHA NGOZI

Mitindo ingekuwa na maendeleo kiasi gani bila uwepo utumwa na ukoloni?
Katika mfululizo wa Barua kutoka kwa Waandishi wa habari wa Afrika, Mwandishi na Mtunzi wa Riwaya,Tricia Nwaubani anaangazia mada ya kung'arisha Ngozi.
Kwa kipindi cha miaka michache iliyopita, nilijenga tabia ya kuwauliza waafrika wenzangu kutoka nchi tofauti tofauti wanafikiria bara letu lingekuwaje kama wafanya biashara ya utumwa na Wakoloni wasingeingia Afrika.Baadhi wanaona kuwa jamii za kiafrika zingekuwa na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Miili ya Waafrika 15 yapatikana Sinai Misri

Polisi wa Misri wanasema wamegundua miili ya wa-Afrika 15, ambao inaonekana walipigwa risasi na kuuawa

 

10 years ago

BBCSwahili

Waafrika wanaongoza ulimwenguni kwa uzazi

Wanaume waafrika wanaongoza duniani kwa idadi ya wanaume wanaozalisha wanawake zaidi ya mmoja kulingana na utafiti Uganda inashikilia nafasi ya 4

 

9 years ago

BBCSwahili

Aina mpya ya Malaria yatishia Waafrika

Watafiti wanaonya kuwa aina mpya ya Malaria isiyosikia dawa itahatarisha maisha ya mamilioni ya watu barani Afrika

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani