Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waafrika wanaongoza ulimwenguni kwa uzazi

Wanaume waafrika wanaongoza duniani kwa idadi ya wanaume wanaozalisha wanawake zaidi ya mmoja kulingana na utafiti Uganda inashikilia nafasi ya 4

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Nigeria ni miongoni mwa nchi zilizo hatari ulimwenguni kwa wanawake kuishi

Nigeria ni nchi ya 9 hatari ulimwenguni kwa usalama wa wanawake

 

11 years ago

Bongo5

Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9

Power couple ya Tanzania, Diamond Platnumz na Wema Sepetu ndio inayoongoza kwa kuwa na followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Hii ni orodha kamili (July 31,2014) 1.Diamond Platnumz 183,205 2.Wema Sepetu 168,954 3.Elizabeth ‘Lulu’ Michael 129,047 4.Jokate Mwegelo 102,168 5.Millard Ayo 102,068 6.Jacqueline Wolper 99,545 7. Ommy Dimpoz 95,415 8.Aunty Ezekiel 94,379 9.Kajala 88,769 […]

 

10 years ago

Vijimambo

KWA NINI WAAFRIKA WANAJIBADILISHA NGOZI

Mitindo ingekuwa na maendeleo kiasi gani bila uwepo utumwa na ukoloni?
Katika mfululizo wa Barua kutoka kwa Waandishi wa habari wa Afrika, Mwandishi na Mtunzi wa Riwaya,Tricia Nwaubani anaangazia mada ya kung'arisha Ngozi.
Kwa kipindi cha miaka michache iliyopita, nilijenga tabia ya kuwauliza waafrika wenzangu kutoka nchi tofauti tofauti wanafikiria bara letu lingekuwaje kama wafanya biashara ya utumwa na Wakoloni wasingeingia Afrika.Baadhi wanaona kuwa jamii za kiafrika zingekuwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu wanaongoza kuibiwa mishahara

IMEELEZWA kwamba fedha za walimu wengi huibwa kwa njia ya mtandao licha ya umuhimu wa kada hiyo katika jamii ambayo huzalisha wataalamu mbalimbali.  Hayo yalibainishwa jana na Meneja wa Benki...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MAMBO YA NJE NCHINI CHINA AFAFANUA SABABU ZA KUBAGULIWA KWA BAADHI YA WAAFRIKA NCHINI HUMO


Mabalozi wa Nchi za Afrika wamekutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China China Mhe. CHEN Xiaoding kuzungumzia changamoto zinazowakabili baadhi ya raia wa Mataifa ya Afrika katika Mji wa Guangzhou uliopo katika Jimbo la Guangdong.




Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

NAIBU Waziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya watu wa China Chen Xiaoding amekutana na mabalozi wa nchi za Afrika akiwemo balozi wa Tanzania nchini humo Mbelwa Kairuki na kufafanua taarifa na changamoto...

 

10 years ago

Mwananchi

Dhana ya kiongozi wa chama inavyotekelezwa ulimwenguni

Tangu kuanzishwa kwa Chama cha ACT – Wazalendo kumeibuka mjadala mzito juu ya dhana ya kuwa na viongozi wawili ndani ya chama wenye nafasi zinazokaribiana kiuamuzi. Wapinzani wa chama hiki wameelekeza upinzani wao kwa wanaoshika nafasi hizo kwa sasa na hasa kwa kiongozi wa chama, bila kuiangalia dhana na kuijadili kisha kuipa sifa ya kufaa ama kushindikana kwake katika mazingira yetu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mfumo wa uzazi kwa mwanaume

MFUMO wa uzazi kwa mwanaume ni muunganiko wa viungo ambavyo viko sehemu ya chini kwenye kitovu ambavyo ni Internal na External, namaanisha viungo vinavyoonekana na viungo vya ndani. Viungo vinavyoonekana...

 

11 years ago

GPL

KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI

Kuziba kwa mirija ya uzazi ya mwanamke ni tatizo kubwa na ndiyo linaloongoza kusababisha ugumba kwa mwanamke ingawa hata matatizo ya vichecheo au homoni pia huchangia.Wanawake wengi wanaohangaika kutafuta watoto hugundulika na tatizo la mirija kuziba.
Matatizo ya mirija ya uzazi kwa wanawake yapo wengi, mfano mirija inaweza kuvimba na kupoteza uhalisia hivyo kushindwa kutungisha mimba. Mirija inaweza kujaa usaha au maji....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani