Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu wanaongoza kuibiwa mishahara

IMEELEZWA kwamba fedha za walimu wengi huibwa kwa njia ya mtandao licha ya umuhimu wa kada hiyo katika jamii ambayo huzalisha wataalamu mbalimbali.  Hayo yalibainishwa jana na Meneja wa Benki...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mahakama yafuta nyongeza ya mishahara ya walimu Kenya

Korti ya Rufaa nchini Kenya imebatilisha nyongeza ya mishahara ya hadi asilimia 60 ambayo walimu wa serikali walikuwa wamepewa na mahakama ya chini.

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Kodi ya mishahara yapungua kiduchu, mishahara juu

>Kilio cha muda mrefu cha wafanyakazi nchini kutaka Kodi ya Mshahara (Paye), ipunguzwe hadi chini ya asilimia 10 kimekwama baada ya Serikali kupunguza kodi hiyo kwa asilimia moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waafrika wanaongoza ulimwenguni kwa uzazi

Wanaume waafrika wanaongoza duniani kwa idadi ya wanaume wanaozalisha wanawake zaidi ya mmoja kulingana na utafiti Uganda inashikilia nafasi ya 4

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Breaking News CCM Unguja Kiembe samaki ,Mahonda ,Chukwani wanaongoza baadhi ya vituo :CUF Malindi

kuchanganywa kwa form za wagombea Chukwani / Kiembe samaki kumesababisha mtafaruko na CCM kuibuka washindi watu wengine hawajapiga kura Jamani haya sio matokeo ya mwisho ni vituo tu,tusiwe na mumha mizani inaweza kulalia either side.. si […]

The post Breaking News CCM Unguja Kiembe samaki ,Mahonda ,Chukwani wanaongoza baadhi ya vituo :CUF Malindi appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Msikubali kuibiwa, Mtwara waambiwa

Wananchi wa Mtwara, hususan wakulima wa korosho, wametakiwa kuacha unyonge, badala yake wafanye kadri wanavyoweza kuhakikisha haki zao zinaheshimiwa.

 

11 years ago

GPL

MAMA ADAI KUIBIWA MTOTO LEBA

Stori: Chande abdallah na Deogratius Mongela  Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jinala Shakila Bakari (30),mkazi wa Mbagala jijini Dar, ametoa madai mazito kuwa manesi wa hospitali moja (jina linahifadhiwa) iliyopo Mbagala wamemuiba mmoja wa watoto wake wawili aliojifungua Machi 28, mwaka huu. Mama Shakila Bakari (30), mkazi wa Mbagala jijini Dar. Akizungumza na gazeti hili juzi, Shakila alisema siku ya tukio majira ya saa 6...

 

9 years ago

GPL

HUSNA, KUIBIWA BWANA’KO UJITAKIE MWENYEWE!


MAISHA ya ustaa Bongo yana mambo mengi sana yenye kuchefua nyuma ya pazia. Wakati ule nikila ujana, nilishuhudia mengi katika kumbi za starehe ambazo ziliwahusisha mastaa wa fani mbalimbali hasa muziki na filamu. Kwa mastaa wa kiume, hasa wa muziki wa kizazi kipya, wengi wao ni watu wa kutumia fedha zao kufanya yao, mitungi, mademu na starehe zingine wanazohitaji. Katika kundi hili wapo pia mastaa wa filamu wa kiume, ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani