Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUSNA, KUIBIWA BWANA’KO UJITAKIE MWENYEWE!


MAISHA ya ustaa Bongo yana mambo mengi sana yenye kuchefua nyuma ya pazia. Wakati ule nikila ujana, nilishuhudia mengi katika kumbi za starehe ambazo ziliwahusisha mastaa wa fani mbalimbali hasa muziki na filamu. Kwa mastaa wa kiume, hasa wa muziki wa kizazi kipya, wengi wao ni watu wa kutumia fedha zao kufanya yao, mitungi, mademu na starehe zingine wanazohitaji. Katika kundi hili wapo pia mastaa wa filamu wa kiume, ni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AMANDA AGOMA KUMUANIKA BWANA KISA KUIBIWA

Na Chande Abdallah/Ijumaa
Msanii wa filamu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’ amefunguka kuwa anaogopa kumtambulisha bwana wake wa sasa kwa kile alichodai kuwa anaogopa kuibiwa. Msanii wa filamu Bongo, Tamrina Posh ‘Amanda’. Akizu ngumza na paparazi wetu juzikati, Amanda alisema ameishi kwa muda mrefu na mpenzi wake bila kuhitilafiana kwa sababu wengi hawamjui, lakini anahofia akimuanika wasichana wataanza...

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.


Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.




 

10 years ago

Mwananchi

Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa

>Siku moja baada ya kufukuzwa  uwaziri, Mbunge wa Muleba Kusini (CCM),  Profesa Anna Tibaijuka amewasili jimboni kwake na kusema, “Bwana alitoa na Bwana ametwaa.”

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu wanaongoza kuibiwa mishahara

IMEELEZWA kwamba fedha za walimu wengi huibwa kwa njia ya mtandao licha ya umuhimu wa kada hiyo katika jamii ambayo huzalisha wataalamu mbalimbali.  Hayo yalibainishwa jana na Meneja wa Benki...

 

11 years ago

Mwananchi

Msikubali kuibiwa, Mtwara waambiwa

Wananchi wa Mtwara, hususan wakulima wa korosho, wametakiwa kuacha unyonge, badala yake wafanye kadri wanavyoweza kuhakikisha haki zao zinaheshimiwa.

 

10 years ago

GPL

HUSNA MAULID YAMKUTA!

Shani Ramadhan na Imelda Mtema
MSHIRIKI wa shindano la Miss Tanzania 2011/2012, Husna Maulid yamemkuta ya mwaka, kwa kudaiwa kutolewa vitu vyake nje na mwenye nyumba baada ya kushindwa kulipa kodi, huko Shekilango jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, zoezi lililosimamiwa na mabaunsa. MSHIRIKI wa shindano la Miss Tanzania 2011/2012, Husna Maulid. Chanzo cha kuaminika kililiambia gazeti hili kuwa mrembo huyo alikuwa...

 

11 years ago

GPL

MAMA ADAI KUIBIWA MTOTO LEBA

Stori: Chande abdallah na Deogratius Mongela  Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jinala Shakila Bakari (30),mkazi wa Mbagala jijini Dar, ametoa madai mazito kuwa manesi wa hospitali moja (jina linahifadhiwa) iliyopo Mbagala wamemuiba mmoja wa watoto wake wawili aliojifungua Machi 28, mwaka huu. Mama Shakila Bakari (30), mkazi wa Mbagala jijini Dar. Akizungumza na gazeti hili juzi, Shakila alisema siku ya tukio majira ya saa 6...

 

10 years ago

GPL

HUSNA MAULID AFUKUZWA MSIBANI

Aliyekuwa mshiriki wa Miss Tanzania 2011, Husna Maulid. Imelda mtema
ALIYEKUWA mshiriki wa Miss Tanzania 2011, Husna Maulid hivi karibuni amedaiwa kufukuzwa kwenye msiba mmoja maeneo ya Mbezi mara baada ya kuonekana akijipiga picha (selfie) na kujichukua video akiwa ghorofani. Kwa mujibu wa chanzo chetu, siku ya tukio, Husna akiwa msibani hapo, kwa sababu anazozijua mwenyewe, alipanda ghorofani kwenye nyumba hiyo yenye msiba na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani