Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waandishi waonja chungu ya makali ya kanuni ya mavazi Bunge la Katiba

>Wakati mapendekezo ya Rasimu ya Kanuni za Bunge Maalumu la Katiba haijapitishwa, maofisa usalama jana walianza kuzitumia kanuni hizo kuwazuia wanawake waliovaa nguo fupi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mavazi Bunge la Katiba kizungumkuti

Wakati kanuni za uvaaji wa wajumbe wa Bunge la Katiba zikiandaliwa, mavazi kwa wageni na watumishi bado ni kizungumkuti baada walinzi kuwaruhusu waliovaa suruali aina ya `jeans’, kaptula na vipedo huku wengine wakizuiwa kuingia na nguo hizo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu la Katiba limekosa kanuni

HIVI  Watanzania tunapata muda wa kujihoji ni sababu gani zimetufanya tufike hapa tulipo? Ni kwanini wananchi wengi walidai au kuhitaji Katiba mpya ya Tanzania kwa kipindi chote hiki?  Tunajiuliza ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Mahalu: Tatizo la Bunge la Katiba si kanuni

Bunge Maalumu limeshuhudiwa likigawanyika, baada ya upande unaojitanabaisha kama Umoja wa Katiba ya Wananchi, (Ukawa) kususia vikao vyake, huku upande mwingine ukibaki ukumbini kuendelea na mjadala katika Sura ya kwanza na Sita za Rasimu ya Katiba.

 

11 years ago

Michuzi

Mkipuuza kanuni, tusilaumiane,' Sitta alionya Bunge la Katiba

Courtesy of Mwananchi Communications Limited (MCL)

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba: Kanuni zisilazimishe kura ya wazi, usiri? [VIDEO]

Ushauri huo umetolewa na mwenyekiti wa Kamati hiyo, Prof. Costa Ricky Mahalu katika semina iliyohitimishwa leo asubuhi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani