Waasi wapewa fursa ya kujisalimisha
Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kuwapa waasi wa kihutu kutoka Rwanda, fursa ya kusalimu silaha zao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Mazungumzo:Waasi wapewa masharti Yemen
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Vijana wilayani Kasulu wapewa somo kuhusu fursa za Mfuko wa Maendeleo ya Vijana
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mhe. Dani Makanga akizungumza na wajumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo waliofika ofsini kwake kwa ajili ya kujitambulisha kabla ya kuendelea na ratiba yao ya mafunzo kwa Vijana wa Halmashauri za Kasulu na Bihigwe leo mjini Kasulu. Katikati ni Mkuu wa msafara huo ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Esther Riwa na wa kwanza kushoto ni Afisa Vijana wa wizara hiyo Bi. Amina...
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Makataa ya FDLR kujisalimisha yakamilika
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Gwajima atakiwa kujisalimisha polisi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItZcZE89BshH6yUPkc8ZDPuSQj0XzwdfJaGrvL-I0GPuy3TcPp*xxb-S3bAoTgAC9PPOe8XkWeN2pHsIRb**7Vsg/MASTAA.jpg)
MASTAA WAKIMBILIA KANISANI KUJISALIMISHA
10 years ago
Mwananchi14 Mar
MAONI: Kurudi nyuma si kujisalimisha ni kujipanga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Wo2b1qYU67I/Xo8AYnXi1wI/AAAAAAALmno/wKAEsKLbagoBpBwXu_E4lNbqRt4YQZbpACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-09%2Bat%2B12.53.07%2BPM.jpeg)
SIKU ZA WEZI WA MAGARI ZAHESABIKA, WAAGIZWA KUJISALIMISHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wo2b1qYU67I/Xo8AYnXi1wI/AAAAAAALmno/wKAEsKLbagoBpBwXu_E4lNbqRt4YQZbpACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-09%2Bat%2B12.53.07%2BPM.jpeg)
Akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake Kamanda...
9 years ago
Bongo503 Dec
Breaking: Magufuli awapa siku 7 wafanyabiashara wakwepa kodi kujisalimisha
![jpm2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/jpm2-300x194.jpg)
Mkutano wa leo kati ya Rais Dkt John Magufuli na wafanyabiashara nchini kwenye ikulu ya Dar es Salaam haukuwa wa kunywa chai na cocktail bali wenye maelekezo muhimu na mazito.
Dkt John Magufuli akiongea na wafanyabiashara kwenye mkutano uliofanyika Alhamis hii ikulu jijini Dar es Salaam (Picha: Michuzi)
Katika mkutano huo, Magufuli ametoa siku saba, kuanzia leo kwa wafanyabiashara wote walioingiza bidhaa nchini bila kulipa ushuru wakajisalimishe na kulipa.
Mkutano huo umehudhuriwa na...
9 years ago
StarTV20 Aug
Walinzi wa CHADEMA Walioongoza Msafara wa Lowassa Jijini Mbeya Watakiwa Kujisalimisha Polisi Kwa Ajili ya Mahojiano