Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waasi wapewa fursa ya kujisalimisha

Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kuwapa waasi wa kihutu kutoka Rwanda, fursa ya kusalimu silaha zao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo:Waasi wapewa masharti Yemen

Waziri wa mashauri ya kigeni wa Yemen aliye uhamishoni ameiambia BBC kuwa serikali yake imejiandaa kwa mazungumza ya amani na waasi

 

10 years ago

Dewji Blog

Vijana wilayani Kasulu wapewa somo kuhusu fursa za Mfuko wa Maendeleo ya Vijana

KS1a

Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mhe. Dani Makanga akizungumza na wajumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo waliofika ofsini kwake kwa ajili ya kujitambulisha kabla ya kuendelea na ratiba yao ya mafunzo kwa Vijana wa Halmashauri za Kasulu na Bihigwe leo mjini Kasulu. Katikati ni Mkuu wa msafara huo ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Esther Riwa na wa kwanza kushoto ni Afisa Vijana wa wizara hiyo Bi. Amina...

 

10 years ago

BBCSwahili

Makataa ya FDLR kujisalimisha yakamilika

Makataa yaliotolewa kwa wapganaji wa Hutu nchini Rwanda FDLR kusalimisha silaha zao yanakamilika hii leo siku ya ijumaa.

 

10 years ago

Mwananchi

Gwajima atakiwa kujisalimisha polisi

>Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemtaka Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kuripoti haraka Kituo Kikuu cha Polisi,  Dar es Salaam kutoa maelezo kuhusu tuhuma za kashfa na matusi dhidi ya Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.

 

10 years ago

GPL

MASTAA WAKIMBILIA KANISANI KUJISALIMISHA

Stori: Waandishi Wetu
HUKU maajabu mengi yakiendelea kutokea kila kukicha na hivyo kuashiria mwisho wa dunia unakaribia, mastaa kibao wa filamu wameonekana kujisalimisha kanisani na kuhudhuria ibada ya kiroho ya Inuka Uangaze maeneo ya Vatican -Sinza jijini Dar es Salaam. Mc Pilipili. Chanzo makini kilicho ndani ya kanisa hilo kilisema kwamba wasanii wengi wamevutiwa na huduma hiyo ambayo maombi yake hufanyika kila Jumanne na...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Kurudi nyuma si kujisalimisha ni kujipanga

>Wakati Serikali ilipotangaza nia ya kuanza mchakato wa mabadiliko ya Katiba, wananchi wengi walifurahia wakijua kuwa angalau sasa yale matatizo ambayo yamekuwa yakihusishwa na udhaifu wa nyaraka hiyo muhimu yataisha.

 

5 years ago

Michuzi

SIKU ZA WEZI WA MAGARI ZAHESABIKA, WAAGIZWA KUJISALIMISHA

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma, Giles Muroto akionesha kwa wandishi wa habari bastola aina ya browning no.016975 ambayo wameikamata kwa kijana ambaye alikua akiimiliki kimakosa na kuitumia kufanyia uhalifu.Charles James, Michuzi TVASKARI wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) amesaidia kumkamata kijana mmoja jijini Dodoma akiwa na silaha Bastola aina ya browning yenye no.016975 akimiliki kinyume na sheria huku akiitumia kufanyia uhalifu.
Akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake Kamanda...

 

9 years ago

Bongo5

Breaking: Magufuli awapa siku 7 wafanyabiashara wakwepa kodi kujisalimisha

jpm2

Mkutano wa leo kati ya Rais Dkt John Magufuli na wafanyabiashara nchini kwenye ikulu ya Dar es Salaam haukuwa wa kunywa chai na cocktail bali wenye maelekezo muhimu na mazito.

jpm2
Dkt John Magufuli akiongea na wafanyabiashara kwenye mkutano uliofanyika Alhamis hii ikulu jijini Dar es Salaam (Picha: Michuzi)

Katika mkutano huo, Magufuli ametoa siku saba, kuanzia leo kwa wafanyabiashara wote walioingiza bidhaa nchini bila kulipa ushuru wakajisalimishe na kulipa.

Mkutano huo umehudhuriwa na...

 

9 years ago

StarTV

Walinzi wa CHADEMA Walioongoza Msafara wa Lowassa Jijini Mbeya Watakiwa Kujisalimisha Polisi Kwa Ajili ya Mahojiano

Mnamo Tarehe 14.08.2015 Mgombea Urais Kwa Tiketi Ya Chadema Alikuja Mkoa Wa Mbeya Akiwa Ameandamana Na Viongozi Wa Vyama Vya Cuf, Nccr – Mageuzi Na Nld Kwa Dhumuni La Kumtambulisha Na Kuomba Udhamini Wa Kupeperusha Bendera Ya Chadema Kwa Nafasi Ya Urais. Katika Msafara Wake Kutoka Uwanja Wa Ndege [songwe] Kulionekana Gari Moja (pichani) Aina Ya Land Cruiser – Pick Up Yenye Rangi Nyeusi Na Ndani Yake Lilikuwa Limebeba Vijana Ambao Walikuwa Wamevaa Mavazi Meusi, Kofia – Bereti Nyeusi Na Miwani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani