Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makataa ya FDLR kujisalimisha yakamilika

Makataa yaliotolewa kwa wapganaji wa Hutu nchini Rwanda FDLR kusalimisha silaha zao yanakamilika hii leo siku ya ijumaa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi latoa makataa kwa raia B Faso

jeshi nchini Burkina Faso limeyaagiza makundi ya wanaharakati kwamba yana hadi jumapili jioni kuwasilisha orodha ya wagombea wao.

 

10 years ago

BBCSwahili

ICC yampa makataa Bensouda kuhusu Uhuru

ICC imempa kiongozi wa mashtaka Fatou Bensouda makataa ya juma moja kutoa ushahidi dhidi ya rais wa kenya la sivyo aondoe kesi

 

10 years ago

Mwananchi

Gwajima atakiwa kujisalimisha polisi

>Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemtaka Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kuripoti haraka Kituo Kikuu cha Polisi,  Dar es Salaam kutoa maelezo kuhusu tuhuma za kashfa na matusi dhidi ya Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wapewa fursa ya kujisalimisha

Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kuwapa waasi wa kihutu kutoka Rwanda, fursa ya kusalimu silaha zao

 

10 years ago

GPL

MASTAA WAKIMBILIA KANISANI KUJISALIMISHA

Stori: Waandishi Wetu
HUKU maajabu mengi yakiendelea kutokea kila kukicha na hivyo kuashiria mwisho wa dunia unakaribia, mastaa kibao wa filamu wameonekana kujisalimisha kanisani na kuhudhuria ibada ya kiroho ya Inuka Uangaze maeneo ya Vatican -Sinza jijini Dar es Salaam. Mc Pilipili. Chanzo makini kilicho ndani ya kanisa hilo kilisema kwamba wasanii wengi wamevutiwa na huduma hiyo ambayo maombi yake hufanyika kila Jumanne na...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Kurudi nyuma si kujisalimisha ni kujipanga

>Wakati Serikali ilipotangaza nia ya kuanza mchakato wa mabadiliko ya Katiba, wananchi wengi walifurahia wakijua kuwa angalau sasa yale matatizo ambayo yamekuwa yakihusishwa na udhaifu wa nyaraka hiyo muhimu yataisha.

 

5 years ago

Michuzi

SIKU ZA WEZI WA MAGARI ZAHESABIKA, WAAGIZWA KUJISALIMISHA

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma, Giles Muroto akionesha kwa wandishi wa habari bastola aina ya browning no.016975 ambayo wameikamata kwa kijana ambaye alikua akiimiliki kimakosa na kuitumia kufanyia uhalifu.Charles James, Michuzi TVASKARI wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) amesaidia kumkamata kijana mmoja jijini Dodoma akiwa na silaha Bastola aina ya browning yenye no.016975 akimiliki kinyume na sheria huku akiitumia kufanyia uhalifu.
Akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake Kamanda...

 

9 years ago

Bongo5

Breaking: Magufuli awapa siku 7 wafanyabiashara wakwepa kodi kujisalimisha

jpm2

Mkutano wa leo kati ya Rais Dkt John Magufuli na wafanyabiashara nchini kwenye ikulu ya Dar es Salaam haukuwa wa kunywa chai na cocktail bali wenye maelekezo muhimu na mazito.

jpm2
Dkt John Magufuli akiongea na wafanyabiashara kwenye mkutano uliofanyika Alhamis hii ikulu jijini Dar es Salaam (Picha: Michuzi)

Katika mkutano huo, Magufuli ametoa siku saba, kuanzia leo kwa wafanyabiashara wote walioingiza bidhaa nchini bila kulipa ushuru wakajisalimishe na kulipa.

Mkutano huo umehudhuriwa na...

 

10 years ago

Strategy Page

Congo: Is This The End Of FDLR?


Just Jared
Congo: Is This The End Of FDLR?
Strategy Page
February 3, 2015: FDLR (Democratic Forces for the Liberation of Rwanda) rebels are in bad shape since UN (MONUSCO) peacekeepers and Congolese soldiers began an offensive against them during the last week of January. The government made an ...
DR Congo and Rwanda's FDLR rebels: Why Tanzania could end up eating ...Mail & Guardian Africa
DRC 4, Republic of Congo 2London Review of Books (subscription) (blog)
Carey Mulligan Forms Deep Connection...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani