Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge 15 matatani

>Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limewaanika wabunge 15, waliobainika kuchukua posho za safari bila kusafiri huku wengine wakikatisha safari zao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YANGA (WABUNGE) WALIVYOISAMBARATISHA SIMBA (WABUNGE) KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI 2014

Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambaye ni shabiki wa Yanga, Ridhiwan Kikwete akivua jezi yake kwa ajili ya mashabiki mara baada ya ushindi wa timu yake wa mabao 3-2 dhidi ya Simba leo. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akishangilia na shabiki wake baada ya ushindi wa…

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBS matatani

SHIRIKA la Viwango nchini (TBS) limeingia kwenye kashfa ya kuvikingia kifua viwanda vinavyozalisha na kusambaza bidhaa zisizokidhi viwango, jambo ambalo linaweza kuhatarisha maisha ya wananchi wengi kutokana na baadhi ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Mwaka matatani

Naibu Waziri wa Afya, Dk Hamisi Kigwangalla ametoa siku saba kwa Baraza la Tiba Asilia kuchunguza huduma zinazotolewa kwenye kliniki ya Foreplan Herbal ya tiba mbadala inayomilikiwa na Dk Juma Mwaka.     

 

10 years ago

BBCSwahili

Zuma matatani

Upinzani nchini Afrika Kusini unatarajia kuwasilisha bungeni hoja ya kutaka kumuondoa madarakani rais wa nchi hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkurugenzi Ilemela matatani

MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza, Alhaji Zuberi Mbyana, anadaiwa kushindwa kuchukua hatua kwa watendaji wawili wa Mtaa wa Chamwenda, Kata ya Nyakato ambao walitoroka na fedha za wananchi....

 

9 years ago

Habarileo

Rose Muhando matatani

MUIMBAJI maarufu hapa nchini wa nyimbo za Injili, Rose Muhando anatafutwa na waandaaji wa tamasha la Injili wilayani Simanjiro mkoani Manyara kwa madai ya kutoonekana kutumbuiza kama jinsi walivyokubaliana.

 

9 years ago

Habarileo

Jerry Muro matatani

SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) litamfikisha kwenye Kamati ya Maadili Mkuu wa Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa kauli za kibaguzi dhidi ya Mkuu wa Mawasiliano wa Simba, Haji Manara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

RPC Tarime matatani

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalumu ya Tarime Rorya, Justus Kamugisha, anatumia madaraka yake vibaya kumnyanyasa askari wake, G. 2751 PC. Japhet Samwel, aliyeumia mkono akiwa kazini mgodini Nyamongo. Licha ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Badwel wa CCM matatani

KAMATI ya Uchunguzi iliyoundwa na Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, imemtia hatiani Mbunge wa Bahi, Omar Badwel (CCM), akidaiwa kutumia vibaya fedha za Mfuko wa Jimbo....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani