Badwel wa CCM matatani
KAMATI ya Uchunguzi iliyoundwa na Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, imemtia hatiani Mbunge wa Bahi, Omar Badwel (CCM), akidaiwa kutumia vibaya fedha za Mfuko wa Jimbo....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Raza aingia matatani CCM
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kumhoji Mwakilishi wa Uzini, Mohamed Raza, kwa tuhuma za kugombanisha viongozi na wananchi na kushindwa kutetea misingi ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Diwani wa CCM aingia matatani
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, Ahamed Sawa, amechukua hati ya polisi inayoruhusu kukamatwa kwa Diwani wa Kata ya Kigera, kwa tuhuma za kuharibu vyumba vya madarasa.
11 years ago
MichuziMUENDELEZO WA KESI YA MBUNGE WA BAHI, BADWEL
Uamuzi huo ulitolewa jana na Hakimu Mkazi Mkuu, Mhe. Hellen Riwa, kwamba kesi ya jinai inayomkabili Badwel haina uhusiano na kesi ya...
10 years ago
Mwananchi30 Apr
Badwel aachiwa huru, atakiwa kuwa makini
Dar es Salaam. Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jana alimuachia huru Mbunge wa Bahi (CCM), Omary Badwel aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka mawili ya kuomba na kupokea rushwa, lakini akamtaka kurekebisha tabia yake mbele ya watu wanaomzunguka.
10 years ago
Habarileo30 Apr
Mbunge Badwel huru,Takukuru washindwa kuthibitisha mashitaka
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru mbunge wa Bahi (CCM), Omary Badwel aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni moja.
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Mchunguzi wa Takukuru aeleza Badwel alivyorekodiwa bila kujua
Shahidi wa sita katika kesi ya Mbunge wa Bahi mkoani Dodoma, Omary Badwel, Emmanuel Koroso ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa ndiye aliyefanikisha mpango wa kumrekodi mshtakiwa huyo kuhusiana na tuhuma zinazomkabili bila yeye kutambua.
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Dk Mwaka matatani
Naibu Waziri wa Afya, Dk Hamisi Kigwangalla ametoa siku saba kwa Baraza la Tiba Asilia kuchunguza huduma zinazotolewa kwenye kliniki ya Foreplan Herbal ya tiba mbadala inayomilikiwa na Dk Juma Mwaka. Â Â Â
11 years ago
Mwananchi29 Dec
Wabunge 15 matatani
>Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limewaanika wabunge 15, waliobainika kuchukua posho za safari bila kusafiri huku wengine wakikatisha safari zao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania