Raza aingia matatani CCM
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kumhoji Mwakilishi wa Uzini, Mohamed Raza, kwa tuhuma za kugombanisha viongozi na wananchi na kushindwa kutetea misingi ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Diwani wa CCM aingia matatani
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, Ahamed Sawa, amechukua hati ya polisi inayoruhusu kukamatwa kwa Diwani wa Kata ya Kigera, kwa tuhuma za kuharibu vyumba vya madarasa.
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Makonda aingia matatani
Katibu wa Bunge Maalumu la Katiba, Yahya Khamis Hamad amesema amepokea barua ya malalamiko ya mjumbe Ezekiel Oluoch dhidi ya mjumbe mwenzake, Paul Makonda kwamba alisema uongo juu yake.
9 years ago
Mwananchi07 Oct
M/kiti CWT aingia matatani kwa kuhudhuria mkutano wa Lowassa
Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Chato mkoani Geita, ameshtakiwa kwa kosa la kwenda kuhudhuria mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA CHADEMA IRINGA MJINI AINGIA MATATANI TENA, AMTUKANA MWENYEKITI WAKE WA MKOA, ASHITAKIWA
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Iringa Mustapher Msowela amemshitaki mwenyekiti wa chama hicho jimbo la Iringa Mjini, Frank Nyalusi ambaye jana jeshi la Polisi lilifanikiwa kumtia nguvuni kabla ya kuachiwa kwa dhamana.Nyalusi aliyeshitakiwa katika kituo cha Polisi cha kati cha mjini Iringa jana, anatuhumiwa kumtusi...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Raza awang’akia wanaotaka atimuliwe uanachama CCM
>Mwakilishi wa Jimbo la Uzini (CCM), Mohamed Raza Dharamsi amesema hakuna kifungu wala mwongozo wowote wa CCM unaomzuia mwanachama kutotumia demokrasia ya kukosoa ikiwemo muundo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
11 years ago
Daily News17 Jan
CCM ethics body accuses Raza of 'unethical' conduct
Daily News
Daily News
VOCAL politician and prominent businessman in Zanzibar, Mr Mohammed Raza, risks being expelled from Chama Cha Mapinduzi (CCM), should he fail to prove that he has not violated party ethics. A visibly exhausted Raza said at a press conference held at ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VbBHK3RGwu4/VViAmbxyBdI/AAAAAAAHXv8/tcRIiBZ5DZU/s72-c/_MG_3189.jpg)
CCM INA UWEZO WA KUTAFUTA MGOMBEA WA URAIS MWENYE SIFA - RAZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-VbBHK3RGwu4/VViAmbxyBdI/AAAAAAAHXv8/tcRIiBZ5DZU/s640/_MG_3189.jpg)
Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,Mohamed Raza akionesha baadhi ya vifungu vya sheria vilivyopo kwenye kitabu kidogo cha sheria za Zanzibar,Mbele ya Waandishi wa Habari (hawapo pichani) leo katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam.
![](http://2.bp.blogspot.com/-x8KzlJlqL5Q/VViAlbiEWYI/AAAAAAAHXv4/dnGi-lapxqc/s640/_MG_3314.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Badwel wa CCM matatani
KAMATI ya Uchunguzi iliyoundwa na Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, imemtia hatiani Mbunge wa Bahi, Omar Badwel (CCM), akidaiwa kutumia vibaya fedha za Mfuko wa Jimbo....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania