Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diwani wa CCM aingia matatani

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, Ahamed Sawa, amechukua hati ya polisi inayoruhusu kukamatwa kwa Diwani wa Kata ya Kigera, kwa tuhuma za kuharibu vyumba vya madarasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Raza aingia matatani CCM

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kumhoji Mwakilishi wa Uzini, Mohamed Raza, kwa tuhuma za kugombanisha viongozi na wananchi na kushindwa kutetea misingi ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

 

10 years ago

Mwananchi

Makonda aingia matatani

Katibu wa Bunge Maalumu la Katiba, Yahya Khamis Hamad amesema amepokea barua ya malalamiko ya mjumbe Ezekiel Oluoch dhidi ya mjumbe mwenzake, Paul Makonda kwamba alisema uongo juu yake.

 

9 years ago

Mwananchi

M/kiti CWT aingia matatani kwa kuhudhuria mkutano wa Lowassa

Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Wilaya ya Chato mkoani Geita, ameshtakiwa kwa kosa la kwenda kuhudhuria mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA CHADEMA IRINGA MJINI AINGIA MATATANI TENA, AMTUKANA MWENYEKITI WAKE WA MKOA, ASHITAKIWA

Picha ya Maktaba ikumuonesha Frank Nyalusi (mwenye suti nyeupe) ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Iringa Mjini akiwa chini ya ulinzi wa Polisi
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Iringa Mustapher Msowela amemshitaki mwenyekiti wa chama hicho jimbo la Iringa Mjini, Frank Nyalusi ambaye jana jeshi la Polisi lilifanikiwa kumtia nguvuni kabla ya kuachiwa kwa dhamana.Nyalusi aliyeshitakiwa katika kituo cha Polisi cha kati cha mjini Iringa jana, anatuhumiwa kumtusi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Badwel wa CCM matatani

KAMATI ya Uchunguzi iliyoundwa na Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, imemtia hatiani Mbunge wa Bahi, Omar Badwel (CCM), akidaiwa kutumia vibaya fedha za Mfuko wa Jimbo....

 

10 years ago

Michuzi

KUSHEHEREKEA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM MGENI RASMI RIDHIWANI KIKWETE AINGIA NEW YORK

TICKETS ON SALE NOW FOR $40 *** THEY WILL BE MORE AT THE DOOR $50SEATED 3 -COURSE DINNERFIRST CLASS SERVICERED CARPET PAPARAZZI DRESS READY FOR ACTIONHIGH LEVEL SECURITY @RICH RICH PALACE11019 ATLANTIC AVENUE RICHMOND HILL NY 11418**********************************************************PESA UNAYONUNULIA TICKET UNAPATA CHAKULA NA SOFT DRINKS KAZI KWAKO WAHI TICKET YAKO MAPEMA KWA $40 KWANI MLANGONI SIKU YA SHEREHE NI $ 50.MH. Ridhiwani Kikwete akiwa na wenyeji wake viongozi wa Tawi la CCM...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Diwani CCM lawamani

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kata Chimala, wilayani Mbarali, Mbeya kimemtaka diwani wa kata hiyo, Hussen Vayahe (CCM), kurudisha matofali zaidi 2,500 mali kata hiyo anayodaiwa kuyachukua   na kujengea...

 

11 years ago

Mwananchi

Diwani CCM mbaroni Singida

Diwani wa Kata ya Umyambwa, Tarafa ya Mungumaji, Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Shaban Satu (CCM) na watu wengine tisa wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuchoma moto basi la Kampuni ya Mtei Express ya Arusha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani