Wabunge wajutia posho
BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanajutia posho wanayoendelea kupata wakati bunge likivurugika mara kwa mara na kusababisha kuahirishwa, hivyo kuzua wasiwasi wa kutotekelezwa malengo yaliyowapeleka. Makundi yenye uwakilishi ndani ya Bunge Maalumu la Katiba, katika kujiengua na shutuma yamenyooshea wanasiasa vidole na kusema wanavuruga mwenendo wa Bunge hilo kwa maslahi ya vyama vyao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Feb
Posho yagawa wabunge
WAKATI Bunge Maalumu la Katiba likiunda kamati maalumu ya kufuatilia suala la nyongeza ya posho za wajumbe, umetokea mgawanyiko miongoni mwa wabunge hao. Kamati iliyoundwa itafuatilia na kisha kuishauri Serikali iwaongeze posho wajumbe hao huku baadhi yao, wakipinga na kutaka wananchi wasimame kidete kuipinga.
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Dk. Slaa amshupalia JK posho za wabunge
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema serikali ya Rais Jakaya Kikwete imefanya kufuru kwa kupanga kutumia zaidi ya sh bilioni 59 kwa ajili...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Wabunge waota posho kupanda
JINAMIZI la kutaka posho nono kwa watu wanapopewa majukumu ya kufanya kazi mbalimbali za umma linazidi kuwaandama wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambapo juzi walitumiwa ujumbe kuwa zimeongezeka na...
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Tanga walia posho za Wabunge
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Raia wa Nigeria wapinga posho za wabunge
11 years ago
Habarileo20 Feb
Wabunge wakataa posho Sh 300,000
WAKATI mjadala wa kihistoria wa kuunda Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ukiwa katika hatua ya kupata kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, baadhi ya wajumbe wameamua kuelekeza nguvu kudai posho nono.
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Raia Nigeria wapinga posho za wabunge
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Posho ya wabunge Mfutakamba, Mabumba mko wapi?
NIANZE kwa kukushukuru wewe msomaji wangu kwa namna unavyonitia moyo katika makala zangu hizi. Ninajisikia faraja ninapopata mrejesho kutoka kwako. Nafurahi zaidi ninapopata mrejesho katika maeneo ya mbali kabisa na...