Wadau wapongeza Going Bongo
Rais wa Shirikisho la Filamu Simon Mwakifamba akiongea na vyombo vya habari wakati wa uzinduzi filamu ya ‘Going Bongo’ uliofanyika jana Ijumaa.
Na Mwandishi wetu
WADAU mbalimbali waliofika kwenye onyesho la kwanza la filamu ya mtanzania anayeishi nchini Marekani wametoa sifa kemkema kuhusu filamu hiyo inayokwenda kwa jina la ‘Going Bongo’ kwamba wamewataka wasanii wa hapa nchini waige mfano wake.
Wakizungumza baada ya kutoka kuaitazama ndani ya ukumbi wa cimema wa Cinemax Ijumaa usiku...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OnwgIp9Tcdo/VmwmLd_vgwI/AAAAAAAIL4Q/KEyCb0uvLKg/s72-c/313e6580f06a01c049524095ff129073.jpg)
WADAU WAPONGEZA FILAMU MPYA YA "GOING BONGO"
![](http://3.bp.blogspot.com/-OnwgIp9Tcdo/VmwmLd_vgwI/AAAAAAAIL4Q/KEyCb0uvLKg/s1600/313e6580f06a01c049524095ff129073.jpg)
WADAU mbalimbali waliofika kwenye onyesho la kwanza la filamu ya Mtanzania anayeishi nchini Marekani wametoa sifa kemkema kuhusu filamu hiyo inayokwenda kwa jina la ‘Going Bongo’ na wamewataka wasanii wa hapa nchini waige mfano wake.Wakizungumza baada ya kutoka kuaitazama ndani ya ukumbi wa...
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Wadau wapongeza kituo cha Redio 5 kwa kuanzisha kampeni ya ‘Kapu la Pasaka’
Wafanyakazi wa kituo cha Redio 5 cha jijini Arusha wakikatishaa mitaa kumsakata mshindi wa kapu la Pasaka ,eneo hili linafahamika kwa jina la kwa Morombo na ni maarufu kwa uchomaji wa nyama ya mbuzi.
Mshindi maarufu kwa jina la Sule akipokea zawadi katika Kampeni ya Kapu la Pasaka inayoendeshwa na kituo cha Redio 5, baada ya kuwa msikilizaji mzuri wa vipindi mbalimbali vinavyoendeshwa na kituo hicho,kulia ni Ashura Mohamed na Hilda Kinabo watangazaji wa Redio 5 ,Bw.Sule ni kinyozi maarufu...
5 years ago
MichuziWADAU WA MAZINGIRA WAPONGEZA JITIHADA ZA SERIKALI KATIKA KUENDELEZA MATUMIZI YA NIHATI JADIDIFU NCHINI
Wadau wa mazingira kutoka Shirika la FORUMCC wakiendelea na majadiliano leo Juni 25,2020 Mjini Morogoro ambao wamekutana kujadilia bajeti ya Wizara ya Nishati pamoja na jitihada zinazofanywa katika kuhamasisha matumizi ya nishati mbadala ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.
Sehemu ya wanachama wa FORUMCC wakiwa makini kufuatilia majadiliano wakati wa mkutano wa kujadili matumizi ya nishati jadidifu pamoja na jitihada za Serikali katika kuendeleza sekta hiyo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Z26jJteDEPA/U9tOGpyjiAI/AAAAAAAF8Kk/CX3weyazB0A/s72-c/unnamed+(11).jpg)
CHUO CHA CBE CHAZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 JIJINI DAR, WADAU MBALIMBALI WAPONGEZA UBORA WA ELIMU INAYOTOLEWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z26jJteDEPA/U9tOGpyjiAI/AAAAAAAF8Kk/CX3weyazB0A/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fdEqG4j-i0o/U9tOIEupGGI/AAAAAAAF8Ks/3FLdwSay8hk/s1600/unnamed+(12).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5G-a*oRq3Ty5JO1gmmsHjE7krMIIOM00jG47uR3-5I*1iDSfv55tY1-FoGuddNbYtLWwyHIFMdBxJjJKSSHpJk/Pichana1.jpg?width=650)
CHUO CHA CBE CHAZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 JIJINI DAR, WADAU MBALIMBALI WAPONGEZA UBORA WA ELIMU INAYOTOLEWA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IXCzsRB1-c8/XmO1BbqPDMI/AAAAAAALhuk/9HXLOnNL-_YWhaspAjvQkIGpOBRK1hGwgCLcBGAsYHQ/s72-c/N-1-3.jpg)
MAWAZIRI NA WADAU WA UTATU WA SADC SEKTA YA KAZI NA AJIRA WAPONGEZA SERIKALI YA TANZANIA KWA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU YA TAIFA YA UKUZAJI UJUZI KWA VIJANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IXCzsRB1-c8/XmO1BbqPDMI/AAAAAAALhuk/9HXLOnNL-_YWhaspAjvQkIGpOBRK1hGwgCLcBGAsYHQ/s640/N-1-3.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (wa pili kulia) akizungumza na Mawaziri na Wadau wa Utatu wa SADC sekta ya Kazi na Ajira walipotembelea eneo la Kaole, Wilaya ya Bagamoyo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/N-2-1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hOZXX85nCM0/VUsptBIplVI/AAAAAAAHV2g/D5VBVet20Qk/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-07%2Bat%2B11.55.42%2BAM.png)
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Wapongeza uhuru wa kamati Fifa
9 years ago
Habarileo16 Dec
Wazee Shinyanga wapongeza wanahabari
VYOMBO mbalimbali vya habari mkoani Shinyanga vimepongezwa kuripoti kwa kuhamasiha jamii juu ya haki za wazee huku wakieleza kuona matunda ya kuthaminiwa kwao.