Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapongeza uhuru wa kamati Fifa

Uamuzi wa kufungiwa miaka minane kwa rais wa Shirikisho la Soka Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter na mwenzake wa Shirikisho la Soka Ulaya (Uefa), Michel Platini umetafsiriwa kwa mitazamo tofauti na wadau wa soka nchini. Baadhi wametaka uhuru wa kamati za Fifa uwapo pia kwenye Shirikisho la Tanzania (TFF).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kamati kuu ya FIFA, yaidhinisha mageuzi

Kamati kuu ya shirikisho la mchezo wa soka duniani FIFA, imeidhinisha mageuzi yanayonuiwa kufufua hadhi ya shirikisho hilo lililokumbwa na kashfa nyingi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakala wa Fifa ashangaa uamuzi wa kamati ya TFF

Wakala anayetambulika na Shirikisho la Soka Kimataifa (Fifa), Ali Saleh amesema Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeteleza kumsimamisha mshambuliaji Emmanuel Okwi kuichezea Yanga katika mechi za Ligi Kuu na zile za kimataifa.

 

9 years ago

Mwananchi

Blatter aiponda kamati ya maadili Fifa kumjadili

Wakati kamati ya maadili ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) ikianza kumjadili, rais wa shirikisho hilo, Sepp Blatter ameiponda.

 

9 years ago

StarTV

Kamati ya maadili fifa Kuwachunguza Beckenbauer na Angel Villar.

Kamati ya maadili ya shirikisho la soka duniani FIFA imetoa orodha nyingine ya kuwachunguza vigogo wengine wawili akiwemo gwiji na nahodha wa zamani wa Ujerumani Franz Beckenbar na makamu wa rais FIFA na Uefa Angel Maria Via kwa tuhuma za rushwa. Kamati hiyo ya maadili itaamua kama itamchukulia hatua Beckenbar mwenye miaka 70 na watu wengine 22 waliohusika kupiga kura katika mchakato wa uenyeji wa fainali mbili za kombe la dunia 2018 nchini Urussi na Qatar 2022. Beckenbar tayari alikwisha...

 

9 years ago

Bongo5

Kamati ya FIFA yataka Platini apigwe marufuku ya maisha ya maswala ya soka

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha asishiriki maswala yeyote ya kandanda.

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Wakili wake ameiambia shirikisho la habari la AFP kuwa kamati ya nidhamu ilikuwa imependekeza marufuku ya maisha kwa mteja wake kufuatia malipo ya mamilioni ya Euro.

Platini na Blatter wote wanatumikia adhabau ya marufuku ya siku 90 kufuatia uchunguzi wa malipo ya dola milioni mbili.

Wakili anayemwakilisha Platini, Thibaud d’Ales...

 

9 years ago

Bongo5

Kamati ya maadili ya FIFA yataka Blatter na Platini wasimamishwe kazi kwa siku 90

Kamati ya maadili katika shirikisho la soka duniani FIFA imependekeza Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA, Sepp Blatter asimamishwe kazi kwa siku 90, yeye pamoja na Rais wa UEFA Michel Platini ili kupisha uchunguzi wa ubadhilifu wa fedha wa wakati wa kipindi cha utawala wa Blatter. Wanachama wa kamati hiyo walikutana wiki hii baada […]

 

5 years ago

GIVEMESPORT

Even the best FIFA player in the world knows that FIFA 20 is rubbish

Even the best FIFA player in the world knows that FIFA 20 is rubbish  GIVEMESPORTFnatic Tekkz explains why “no one” is enjoying FIFA 20  DexertoWorld's Best FIFA Player Says 'No-One Enjoys Playing FIFA 20' In Brutally Honest Interview  SPORTbibleView Full coverage on Google News

 

11 years ago

GPL

RAIS JK AWASILI UWANJA WA UHURU KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA

Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Uhuru kwa maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika hivi punde. Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa sasa amewasili katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kuongoza maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika uliopatikana Desemba 9, 1961.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani