Wapongeza uhuru wa kamati Fifa
Uamuzi wa kufungiwa miaka minane kwa rais wa Shirikisho la Soka Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter na mwenzake wa Shirikisho la Soka Ulaya (Uefa), Michel Platini umetafsiriwa kwa mitazamo tofauti na wadau wa soka nchini. Baadhi wametaka uhuru wa kamati za Fifa uwapo pia kwenye Shirikisho la Tanzania (TFF).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Kamati kuu ya FIFA, yaidhinisha mageuzi
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Wakala wa Fifa ashangaa uamuzi wa kamati ya TFF
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Blatter aiponda kamati ya maadili Fifa kumjadili
9 years ago
StarTV23 Oct
Kamati ya maadili fifa Kuwachunguza Beckenbauer na Angel Villar.
Kamati ya maadili ya shirikisho la soka duniani FIFA imetoa orodha nyingine ya kuwachunguza vigogo wengine wawili akiwemo gwiji na nahodha wa zamani wa Ujerumani Franz Beckenbar na makamu wa rais FIFA na Uefa Angel Maria Via kwa tuhuma za rushwa. Kamati hiyo ya maadili itaamua kama itamchukulia hatua Beckenbar mwenye miaka 70 na watu wengine 22 waliohusika kupiga kura katika mchakato wa uenyeji wa fainali mbili za kombe la dunia 2018 nchini Urussi na Qatar 2022. Beckenbar tayari alikwisha...
9 years ago
Bongo525 Nov
Kamati ya FIFA yataka Platini apigwe marufuku ya maisha ya maswala ya soka
![151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit-300x194.jpg)
Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha asishiriki maswala yeyote ya kandanda.
Wakili wake ameiambia shirikisho la habari la AFP kuwa kamati ya nidhamu ilikuwa imependekeza marufuku ya maisha kwa mteja wake kufuatia malipo ya mamilioni ya Euro.
Platini na Blatter wote wanatumikia adhabau ya marufuku ya siku 90 kufuatia uchunguzi wa malipo ya dola milioni mbili.
Wakili anayemwakilisha Platini, Thibaud d’Ales...
9 years ago
Bongo508 Oct
Kamati ya maadili ya FIFA yataka Blatter na Platini wasimamishwe kazi kwa siku 90
5 years ago
GIVEMESPORT24 Feb
Even the best FIFA player in the world knows that FIFA 20 is rubbish
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQhFZmrjVFk2v5EQSkvhtOa82tTlzw*SelvIl8Rz4inTGHxStY7qey0KROkbfom3b6w7oSXk-T7i392QZQQX*ytX/jkuhuru.jpg?width=650)
RAIS JK AWASILI UWANJA WA UHURU KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA