Kamati ya maadili fifa Kuwachunguza Beckenbauer na Angel Villar.
Kamati ya maadili ya shirikisho la soka duniani FIFA imetoa orodha nyingine ya kuwachunguza vigogo wengine wawili akiwemo gwiji na nahodha wa zamani wa Ujerumani Franz Beckenbar na makamu wa rais FIFA na Uefa Angel Maria Via kwa tuhuma za rushwa. Kamati hiyo ya maadili itaamua kama itamchukulia hatua Beckenbar mwenye miaka 70 na watu wengine 22 waliohusika kupiga kura katika mchakato wa uenyeji wa fainali mbili za kombe la dunia 2018 nchini Urussi na Qatar 2022. Beckenbar tayari alikwisha...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Blatter aiponda kamati ya maadili Fifa kumjadili
9 years ago
Bongo508 Oct
Kamati ya maadili ya FIFA yataka Blatter na Platini wasimamishwe kazi kwa siku 90
11 years ago
BBCSwahili28 Jun
FIFA imemuondolea marufuku Beckenbauer.
9 years ago
Michuzi17 Oct
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bp6VsFxYvcKvSG3Ilte4JmnLdlWueG0OReBv2ULhrS0hFku9s3SxJilAy*5nA65n-yuwpTIZ*5qgDiRZCK4PQqCey1Yl8JZK/KAMATIYAMAADILI.png)
UPDATES KUTOKA DODOMA: KAMATI YA MAADILI YAMALIZA KAZI YAKE, SASA KINAFUATA KIKAO CHA KAMATI KUU (CC)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1lwKNobKN98/XvNUmWd59DI/AAAAAAALvRU/TCUrDW6RD6go7hByaOUi9n3Kg_IuppbwQCLcBGAsYHQ/s72-c/24594856-e891-416f-bb18-32c0cdfbfba1.jpg)
KAMATI YA MAADILI YAZINDULIWA MLOGANZILA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1lwKNobKN98/XvNUmWd59DI/AAAAAAALvRU/TCUrDW6RD6go7hByaOUi9n3Kg_IuppbwQCLcBGAsYHQ/s640/24594856-e891-416f-bb18-32c0cdfbfba1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/b6d0020b-a5ce-4872-adeb-59bbec4ebcb9.jpg)
Baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa katika uzinduzi
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/18f89e74-e0b8-41af-b2b0-b35fc1bc6d9f.jpg)
Prof. Majinge na viongozi wakuu wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa kamati ya maadili ya MNH-Upanga na Mloganzila.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/36fe5cfe-c1e7-408d-89e0-878044ee8201.jpg)
Katibu Kanda ya Mashariki, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa...
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Kamati ya maadili CCM itaweza?
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, ameweka wazi kuwa chama kimeunda kamati za usalama na maadili kufanya kazi ya kuwabana wanaokiuka maadili. Kikwete alitoa kauli hiyo kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rJ-_qwNRK64/XkVih6724KI/AAAAAAALdQM/OQQ2UXofTfk5EL8veENkXr3xjwFL1OaGwCLcBGAsYHQ/s72-c/Ligi-kuu-1.jpg)
NUGAZ, MANARA WAPELEKWA KAMATI YA MAADILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-rJ-_qwNRK64/XkVih6724KI/AAAAAAALdQM/OQQ2UXofTfk5EL8veENkXr3xjwFL1OaGwCLcBGAsYHQ/s640/Ligi-kuu-1.jpg)
Kamati hiyo imeeleza kuwa viongozi hao wamekuwa wanatoa maneno ya kukashifu na kudhalilisha viongozi ,Chapa (Brand) ya Ligi na Taasisi kwa ujumla kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kwa vipindi tofauti tofauti.
Wamesema viongozi na Makocha waliobainika ...