Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAENDESHA BODABODA WAJINAFASI KWA MIPASHO DAR LIVE

Khadija Kopa akijipinda kimadaha wakati akifanya ‘mavituz’ stejini. Kundi la Ogopa Kopa kazini. Mtoto wa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TRAFIKI DAR WAENDESHA ZOEZI LA KUKAMATA BODABODA ZISIZOFUATA SHERIA

    askari wa usalama barabarani wakiwa wamezikamata baadhi ya pikipiki ambazo madereva wake wamekutwa na makosa mbalimbali eneo la Mbagala Rangi Tatu asubuhi hii,ambapo walilazimika kulipa faini ya shilingi 30,000/=     askari wa usalama barabarani wakiendelea na ukaguzi wa bodaboda.
            Vijana wakipandisha… ...

 

5 years ago

Michuzi

MKUTANO KATI YA MKUU WA MKOA DAR, WAENDESHA BODABODA 'WAYEYUKA KIANA'

 Mmoja ya viongozi wa waendesha bodaboda katika Jiji la Dar es Salaam akiwa chini ya ulinzi baada ya kudaiwa kuvuruga mkutano ambao ulikuwa umeitishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.Kiongozi huyo anadaiwa alitoa taarifa za kuhairisha mkutano huo jambo ambalo halikuwa limewafurahisha wengine.  Askari Polisi wakiwa wamemuweka chini ya ulinzi mmoja ya viongozi wa waendesha bodaboda baada ya kutuhumiwa na waendesha bodaboda wenzake kuwa ametangaza kuhairishwa kwa mkutano kati yao...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL TV ONLINE; KIPINDI MAALUM KUHUSU MGOGORO WA WAENDESHA BODABODA DAR

Ungana na Mtangazaji wako wa Global TV Online, Joseph Shaluwa katika Kipindi Maalum cha Mgogoro wa Waendesha Bodaboda jijini Dar.

 

10 years ago

Michuzi

WAENDESHA BODABODA WASAJILIWA KWA MFUMO MAALUMU

Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya Alternative Communication Bw. Emmanuel John katika picha ya pamoja na baadhi ya waendesha bodaboda mara baada ya kusajiliwa na kukabidhiwa jezi jana kwenye ukumbu wa Princess Sinza Mapambano, Dar es Salaam. Mwakilishi wa Vodacom Stratton Mchau akizungumza na waendesha bodaboda ktk hafla hiyo.Waendesha boda boda wa Kanda ya Temeke wakiwa katika mkutano mkutano wa pande nne, ambao ni uongozi wa Alternative Communication, Jeshi la Polisi, Vodacom na Bodaboda...

 

9 years ago

Habarileo

Lowassa kuunda serikali rafiki kwa waendesha bodaboda

MGOMBEA wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Edward Lowassa amesema kwamba iwapo atapata ridhaa ya wananchi ya kuchaguliwa kuiongoza nchi ataunda serikali rafiki kwa waendesha bodaboda nchini ili kutetea na kuboresha maslahi yao.

 

11 years ago

Michuzi

waendesha bodaboda lindi wapatiwa mafunzo, wapima afya kwa hiari

Na Abdulaziz Video, Lindi Mfuko wa Afya Ya Jamii (CHF)Kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi wamewezesha kupimwa kwa Afya za Madereva Boda boda wa kata ya Kiwalala wilayani Lindi baada ya kufuzu mafunzo ya Udereva. Mafunzo yaliyotolewa chini ya Mpango shirikishi wa Polisi Jamii Mkoani Humo. Akiongea na madereva Boda boda mara baada ya kuwatunuku vyeti vya kufuzu mafunzo hayo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi,Kamishna Msaidizi Renatha Mzinga ametoa wito kwa wahitimu hao kujali...

 

10 years ago

Michuzi

NGO's YA APEC KWA KUSHIRIKIANA NA JESHI LA POLISI DODOMA YAFUNGA MAFUZO KWA WAENDESHA PIKIPIKI (BODABODA) MKOANI HUMO

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma,SACP David Misime akiongea katika kufunga mafuzo kwa waendesha pikipiki (Bodaboda) wa Manispaa ya Dodoma yaliyoendeshwa na Shirika lisilo la kiserikali la –APEC - kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi.Muwakilishi wa Waendesha Pikipiki (Bodaboda) Mkoa wa Dodoma, Bw. Erasto Kasugu akisoma risala kwa mgeni rasmi,wakati wa kufunga mafuzo kwa waendesha pikipiki (Bodaboda) wa Manispaa ya Dodoma yaliyoendeshwa na Shirika lisilo la kiserikali la –APEC - kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waendesha bodaboda wafa ajalini

WAENDESHA pikipiki wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika ajali tofauti. Akielezea ajali hizo jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema dereva wa pikipiki ‘bodaboda’,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani