WAFANYABIASHARA BAGAMOYO KUTAMBUA BIDHAA NA VIFAA VYENYE MIONZI
WAFANYABIASHARA wadogo wa bandari ya Bagamoyo mkoani Pwani, wamepata elimu ya utambuzi wa bidhaa na viaa vyenye mionzi ikiwa ni hatua za kuwaelimisha ili wajitambue na wajue jinsi ya kujikinga.
Hayo yamebainishwa leo mjini Bagamoyo kwenye semina ya siku moja ya mafunzo hayo kwa wafanyabiasara wadogo wa naotumia bandari hiyo na Kaimu Mkuu wa Kanda ya Mashariki wa Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC), Alex Muhulo.
Alisema TAEC imerahisisha huduma kwa wafanyabiashara wadogo wanaoingiza bidhaa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1i51vM7IjLc/XteJcAYy9aI/AAAAAAALsbw/kt3MhNSLZ3YHPhT9uHFD6bzC2V7mlnSvQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0010.jpg)
DC BAGAMOYO AHIDI KUMALIZA KERO NA MALALAMIKO YA WAFANYABIASHARA WANAOTUMIA BANDARI YA BAGAMOYO
Mhe. Zainab ameyasema hayo alipofanya mkutano maalum na wafanyabiashara wa Bagamoyo wanaotumia bandari ndogo ya Bagamoyo baada ya wafanya biashara hao kuacha kutumia bandari hiyo wakidai huduma zisizoridhisha toka kwa uongozi wa mamlaka ya bandari ya Bagamoyo.
Akizungumza kwa niaba ya Wafanyabiashara wanaotumia bandari ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Uf5xh_W6x9M/XpcKLAFaGjI/AAAAAAALnDc/VxfkEIwJng8JXip-jGkfp7Xb4-Lh81tkQCLcBGAsYHQ/s72-c/b41f6d79-2549-446d-a393-776172080374.jpg)
DC KATAMBI AKABIDHIWA VIFAA VYENYE THAMANI YA MILIONI 16 KUPAMBANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uf5xh_W6x9M/XpcKLAFaGjI/AAAAAAALnDc/VxfkEIwJng8JXip-jGkfp7Xb4-Lh81tkQCLcBGAsYHQ/s640/b41f6d79-2549-446d-a393-776172080374.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-EN-L9w5VCl8/XpcIjRbS-xI/AAAAAAALnDM/n1C17pgxKhA4lRtOfGZaCgWD4vO3cgh9wCLcBGAsYHQ/s640/5063bc68-ba4f-424c-8fa4-338fbe78dceb.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MjigdAtRFR8/XpcIY5u085I/AAAAAAALnDE/UJRf28JXnx8biUpNct_XZD5eydRqzzkgwCLcBGAsYHQ/s640/47fc791e-17be-4768-b5e1-6a0047019722.jpg)
5 years ago
CCM BlogBARRICK BUZWAGI YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA VYENYE THAMANI YA SH. MILIONI 48
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...
5 years ago
CCM BlogTAASISI YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA CORONA VYENYE THAMANI YA MILIONI SABA
Kiongozi wa Taasisi ya Chuo cha Mafunzo pamoja na Group la Happy Hands Zainab Bunamy (kushoto) akikabidhi msaada wa vitu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Cw5v9eOZUDA/VX6YWG_LxuI/AAAAAAAC6rM/YsCRE0zuycY/s72-c/Picture%2B1.jpg)
TIPER YASAIDIA VIFAA VYA MAABARA VYENYE THAMANI YA SH. ML 20/- KWA SEKONDARI WILAYANI RUFIJI
Kampuni ya kuhifadhi mafuta nchini,...
10 years ago
GPLMAKONDA APOKEA VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SH.MILIONI 50 KUTOKA KAMPUNI YA TSN
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
MSD yapeleka MOI vifaa vyenye thamani ya sh.milioni 251 zilizokuwa zitumike kujipongeza wabunge
![](http://1.bp.blogspot.com/-D-YrSb5389c/VlGq9GXzvGI/AAAAAAAAUVs/sZFJp3Jd2Oc/s640/IMG-20151121-WA0016.jpg)
Magari ya Bohari ya Dawa (MSD), yakishusha vifaa tiba Taasisi ya Moi kufuatia agizo la Rais Dk.John Magufuli kulitaka Bunge kutumia sh.milioni 15 kwa ajili ya kujipongeza na fedha zilizobaki kuzipeleka katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kukabiliana na uhaba wa vifaa tiba na magodoro.
![](http://2.bp.blogspot.com/-DefZvP8Xads/VlGq9C1FEOI/AAAAAAAAUVo/wrGCt3G5k14/s640/IMG-20151121-WA0026.jpg)
Na Dotto Mwaibale
BOHARI ya Dawa (MSD) imeanza kupeleka Vifaa Tiba kwenye Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI), Vifaa ambavyo vimenunuliwa na Ofisi ya Bunge kwa agizo alilotoa Rais Dk. John...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CXXytmoK_S8/XoSgD5zMRuI/AAAAAAALly8/isI_qge6hwsqrP2TJHXdG82-aU1BB-6mQCLcBGAsYHQ/s72-c/AA.jpg)
KAMPUNI YA JAPAN YASAIDIA TAASISI YA MIFUPA (MOI) MSAADA WA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA MILIONI 80.9
![](https://1.bp.blogspot.com/-CXXytmoK_S8/XoSgD5zMRuI/AAAAAAALly8/isI_qge6hwsqrP2TJHXdG82-aU1BB-6mQCLcBGAsYHQ/s640/AA.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/BB.jpg)
Mkurugenzi wa Tiba (MOI) Dkt. Samwel Swai (kulia) akipokea baadhi ya vifaa kutoka kwa Meneja wa Kampuni ya EAA Josiah Benedict leo katika viwanja vya (MOI) jijini Dar es Salaam
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/CC.jpg)
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA, APOKEA VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SH.MILIONI 50