‘Wafanyabiashara teketezeni bidhaa zilizokwisha muda’
Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), Kanda ya Kati imewataka wafanyabiashara wa vipodozi, vifaatiba na chakula kuziondoa sokoni bidhaa zilizokwisha muda wake kabla hazijaleta madhara kwa watumiaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Nov
‘Msitumie bidhaa zilizoisha muda’
9 years ago
StarTV18 Nov
Wafanyabiashara waaswa kuziwekea mihuri bidhaa zao
Wizara ya Viwanda na Biashara imewataka wafanyabiashara kuanza utaratibu wa kuweka mihuri katika bidhaa zao ili kudhibiti utengenezwaji wa bidhaa bandia ambazo hazina viwango vya kitaifa na kimataifa.
Hatua hiyo itasaidia kuimarisha soko la nje kutokana na bidhaa na malighafi za Tanzania kuwa na ubora unaokidhi mahitaji ya masoko mbalimbali duniani.
Sekta ya viwanda na biashara inatajwa kuwa sekta ambayo itaiwezesha Tanzania kuimarika kiuchumi kwa maendeleo ya taifa, Wizara ya Viwanda...
9 years ago
StarTV07 Nov
Wafanyabiashara Soko Kuu Mtwara walalamikia upatikanaji wa bidhaa
Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Mkoa wa Mtwara wamelalamikia upatikanaji wa bidhaa hususani za nafaka kutokana na zoezi la Uchaguzi lililomalizika hali ambayo imesababisha gharama za bidhaa hizo kupanda maradufu na kuathiri wateja wa Mkoa huo.
Licha ya kumalizika kwa uchaguzi lakini bado uingizwaji wa bidhaa umekuwa hafifu kutokana na baadhi ya wafanyabishaara wanaomiliki magari ya mizigo kugoma kufuata mizigo mashambani.
Bidhaa nyingi zinazoingia katika Soko Kuu la mkoa wa Mtwara kwa kiasi...
5 years ago
MichuziWAFANYABIASHARA BAGAMOYO KUTAMBUA BIDHAA NA VIFAA VYENYE MIONZI
Hayo yamebainishwa leo mjini Bagamoyo kwenye semina ya siku moja ya mafunzo hayo kwa wafanyabiasara wadogo wa naotumia bandari hiyo na Kaimu Mkuu wa Kanda ya Mashariki wa Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC), Alex Muhulo.
Alisema TAEC imerahisisha huduma kwa wafanyabiashara wadogo wanaoingiza bidhaa...
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Zitambue mbinu wanazozitumia wafanyabiashara kukushawishi ili uweze kununua bidhaa zao
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yjxr2uKvaiY/XtpD_Zgm50I/AAAAAAALstg/XtH2v0u9Msw5erAH8PlbClinEeKyRUWngCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200605-WA0013.jpg)
WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO BAGAMOYO WAANZA KUTUMIA BANDARI NDOGO BAADA YA KUSUSIA KWA MUDA
WAFANYABIASHARA ndogondogo Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani,wameanza rasmi kazi kwenye bandari ndogo wilayani hapa, baada ya kusimama kwa takribani miezi mitatu.
Hatua hiyo imetokana na Mkuu wa wilaya hiyo Zainab Kawawa kukaa nao pamoja na Maofisa wanaosimamia Bandari hiyo, kufanikiwa kumaliza tofauti hiyo, hatimae kuanza tena shughuli zao.
Akizunguma katika Bandari ndogo wilayani humo, Kawawa alisema kuwa kunyanyaswa kwa wafanyabiashara hao ni sawa na kumnyanyasa...
9 years ago
StarTV03 Dec
Wafanyabiashara wadogo Afrika Mashariki watakiwa kuongeza uzalishaji zenye bidhaa zenye ubora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi soko la kimataifa la bidhaa hizo.
Rais Magufuli amesema endapo bidhaa zenye ubora zitazalishwa ndani ya Nchi hizo ,malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyabiashara hao kuhusu masoko yatafikia ukomo kutokana na kuwa na wateja wengi kutoka nchi mbalimbali Duniani.
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/01/313.jpg)
CHINA WORD BUZ YAELEZEA NJIA MBADALA ZITAKAZOPUNGUZA GHARAMA ZA WAFANYABIASHARA WADOGO KUFUATA BIDHAA CHINA