WAFANYABIASHARA WAISHUKURU TRA KWA KUWAELIMISHA MASUALA YA KODI
Na Veronica Kazimoto-Dar es Salaam.
Wafanyabiashara wa Tabata jijini Dar es Salaam wameishukuru Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuwaelimisha masuala mbalimbali yanayohusu kodi na kusema kuwa, elimu hiyo itawasaidia kuongeza uhiari wa kulipa kodi kwa ajili ya maendeleo ya nchi.
Wakizungumza wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayofanyika jijini hapa, wafanyabiashara hao wamesema kwamba kitendo cha TRA kuwatembelea katika maduka yao na kutoa elimu ya kodi kutaongeza ari ya kulipa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U6nqs6wL0aw/XmnOcESjz7I/AAAAAAAAGu0/buBr_a3MDAwhYI1RyRbPXxYbVbvKytjrgCLcBGAsYHQ/s72-c/58cb99e0-2500-4061-9177-d515a3bbcefd.jpg)
WAFANYABIASHARA MPAKA WA KASUMULU WAIPONGEZA TRA KWA KUWAPA ELIMU YA KODI
Wafanyabiashara katika mpaka wa Kasumulu unaotenganisha nchi za Tanzania na Malawi uliopo wilaya ya Kyela mkoa wa Mbeya wameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kutoa elimu ya Kodi ambayo inawaongezea uelewa wa masuala ya Kodi na ari ya kuilipa kwa hiari.
Hayo yameyasemwa na wafanyabiashara wa mpaka wa Kasumulu mara baada ya kutembelewa katika b8ashara zao na kupewa elimu ya ulipaji kodi na maofisa wa TRA wanaofanya kampeni maalumu ya elimu ya Kodi ya mkoa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a2AmfGQwHa8/VQwb5XCk48I/AAAAAAAAGo0/O4V4DkqAN-U/s72-c/IMG_5477.jpg)
WAFANYABIASHARA MANISPAA YA SUMBAWANGA WALALAMIKIA KODI MBALIMBALI SERIKALINI, MKUU WA MKOA WA RUKWA AWATAKA KUWA WAZALENDO KULIPA KODI KWA HIARI KUJENGA NCHI YAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-a2AmfGQwHa8/VQwb5XCk48I/AAAAAAAAGo0/O4V4DkqAN-U/s1600/IMG_5477.jpg)
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…
Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa kutoka kwa […]
The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...
10 years ago
Raia Tanzania08 Jul
TRA yahamasisha ulipaji kodi kwa hiari
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesema kwa mwezi inakusanya takriban Sh. bilioni 900 kutokana na mapato ya kodi nchini.
Mkuu wa Utafiti katika Idara ya Utafiti na Sera TRA, Happyson Nkya, alisema hayo kwenye Maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam.
Alisema ukusanyaji huo wa mapato umetokana na kujiimarisha katika kutoa huduma na mikakati mbalimbali ya kukabiliana na wakwepa kodi.
“Baadhi ya watu wamekuwa wanakwepa kodi, ila kwa sasa tumejiimarisha kwa...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
‘Wafanyabiashara lipeni kodi kwa wakati’
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda, amewataka wafanyabiashara nchini kulipa kodi kwa wakati. Dk. Kigoda alitoa wito huo mwishoni mwa wiki wakati wa ufungunzi wa ukumbi wa mikutano...
9 years ago
StarTV08 Oct
Wafanyabiashara waishukuru Serikali kulifungua tena Soka la mitumba mjini moshi
Wafanyabiashara ndogo ndogo wa soko la mitumba mjini Moshi mkoani Kilimanjaro maarufu kama soko la Memorial wameshukuru hatua ya Serikali ya kufungua tena milango ya soko hilo iliyokuwa imefungwa kwa takribani mwaka mmoja sasa na kuzorotesha biashara.
Kufungwa kwa mageti hayo kumeelezwa kuzorotesha kasi ya biashara sokoni hapo lakini pia kusababisha adha kubwa kwa wafanyabiashara na wateja wanaofika sokoni hapo
Malango hayo yalifungwa takribani mwaka mmoja uliopita sababu zikitajwa kuwa ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FQrShTrzfDY/Xuiv72wdj9I/AAAAAAALuBE/Tv6J3uJg8Hs46myF26Sc1SG21DZNoABQACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
RC MONGELLA AWATAKA WAFANYABIASHARA KULIPA KODI KWA WAKATI
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amewataka wafanyabiashara kutumia fursa ya kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea mkoani hapa kulipa kodi kwa wakati ili kuiwezesha Serikali kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo huku wafanyabiashara hao wakiishukuru Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa zoezi hilo ambalo linawaleta karibu walipakodi na wakusanya kodi.
Akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kampeni hiyo ambayo imeanza June 15 hadi 22 mwaka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R_vGc-QsXzs/VSfYsyMbBrI/AAAAAAAHQIA/-wV8LBPhP90/s72-c/unnamedM.jpg)
TRA YAKUSANYA ZAIDI YA SH.BILIONI 258 KWA FAINI NA KODI ZA BIDHAA ZA MAGENDO
MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA), kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita imekusanya zaidi ya Sh. Bilioni 258 zilizotokana na faini ya bidhaa mbalimbali za magendo.
Hayo ameyasema leo Mkurugenzi huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es salaam,amesema TRA inaungana na jeshi la Polisi katika kukamata watu wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa ...
11 years ago
Michuzi12 Feb