Wafanyakazi Kiwanda cha vyombo Cello Dar wagoma
Wafanyakazi zaidi ya mia moja wa Kiwanda cha Cello kilichopo Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam wamelazimika kufanya mgomo kushinikiza Wakala wa kiwanda hicho anayehusika na kuwalipa mshahara, kutatua kero zao.
Baadhi ya mambo wanayoyalalamikia wafanyakazi hao ni pamoja na kukosa mikataba na malipo kidogo ya mshahara ambapo kwa siku hulipwa shilingi 3,800.
Kilio cha wafanyakazi hao wa Kiwanda cha Vyombo vya plastiki Cello, wamepaza sauti kutaka mambo yao ya msingi yafanyiwe kazi ikiwemo...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Wafanyakazi wa Kiwanda cha Urafiki Dar wagoma
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-09nKsGzAzno/U2oXWqf-VyI/AAAAAAAFgHQ/d8WqnGsW9D8/s72-c/unnamedU.jpg)
DKT. BILAL AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA CCM NA WAFANYAKAZI WA KIWANDA CHA MGOLOLO (W) MUFINDI, IKULU DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-09nKsGzAzno/U2oXWqf-VyI/AAAAAAAFgHQ/d8WqnGsW9D8/s1600/unnamedU.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GWk_ENaygPA/U2oXWgYuR8I/AAAAAAAFgHM/emxu7spuAoI/s1600/unnamedI.jpg)
11 years ago
Dewji Blog07 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na kuzungumza na Viongozi wa CCM na wafanyakazi wa Kiwanda cha Mgololo (W) Mufindi, Ikulu Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Viongozi wa CCM Wilaya na Mufindi wlioongazana na baadhi ya Wafanyakazi wa Kiwanda cha Mgololo, wakati walipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo Mei7, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa CCM Wilaya ya Mufindi na baadhi ya wafanyakazi wa Kiwanda cha Mgololo, waliofika...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0u_cBHlO8ow/VopPurE1sdI/AAAAAAAIQKU/SzWmEAAw-w0/s72-c/752.jpg)
WAFANYAKAZI 350 WA KIWANDA CHA SUKARI CHA MAHONDA WAKOHATARINI KUPOTEZA AJIRA ZAO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-0u_cBHlO8ow/VopPurE1sdI/AAAAAAAIQKU/SzWmEAAw-w0/s640/752.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7q6o6o_5yj8/VopPvB5jaYI/AAAAAAAIQKc/e9lpf3CrE3w/s640/756.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gTxbi81Ro3Y/VopPuWdz97I/AAAAAAAIQKY/QohqVle6QIU/s640/771.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Taswira ya Bonanza la wafanyakazi wa kiwanda cha Tumbaku mkoani Morogoro
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA KIWANDA CHA URAFIKI
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA PSPF WATEMBELEA VYOMBO VYA HABARI JIJINI DAR
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Wafanyakazi wa kituo cha mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege jijini Dar Es Salaam watekeleza agizo la Rais kwa kufanya usafi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Brown Francis akishiriki kufanya usafi katika kituo hicho ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Dk.John Magufuli kuwa maadhimisho ya Siku ya Uhuru 2015 yatumike kwa kufanya usafi nchini kote.
Meneja wa Kituo hicho, Shadrack Mwamaso naye akishiriki kufanya usafi.
Hapa usafi ukiendelea.
Hapa ni kazi usafi ukifanyika.
Ni kama anaongea ‘Ngoja nikazitupe taka taka hizi eneo...