WAFANYAKAZI UHAMIAJI KILIMANJARO WATAKIWA KUBAKI NJIA KUU
Mkuu wa idara ya uhamiaji mkoa wa Kilimanjaro Johannes Msumule akizungumza wakati wa semina kwa wafanyakazi wa idara hiyo juu ya maambukizi ya Ukimwi na Virusi vya Ukimwi,semina iliyofanyika katika ukumbi wa chuo cha uhamiaji mjini Moshi.
Mgeni rasmi katika semina hiyo ambaye ni mwakilishi wa TACAIDS mkoa wa Kilimanjaro Razia Ngaina akizungumza na watumishi wa idara ya uhamiaji(hawako pichani) wakati wa semina juu ya maambuzi ya virusi vya Ukimwi na Ukimwi iliyofanyika katika ukumbi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Jela kwa kushindwa kubaki njia kuu
MWALIMU wa Shule ya Msingi Misunkumilo, Kata ya Namanyere, wilayani Nkasi, mkoani Rukwa, Oswald Kapota (33) amehukumiwa kwenda jela miezi sita kwa kosa la kutelekeza familia yake na kwenda kuishi...
10 years ago
StarTV21 May
Sunderland wafurahia kubaki ligi kuu Uingereza.
Klabu ya Sunderland na Arsenal jana wametunushiana misuli baada ya kutoka 0-0 na hivyo kufanikiwa kuondoa mashaka ya kushuka daraja msimu huu katika ligi ya England.
Hata hivyo kwa matokeo hayo Arsenal wanashika nafasi ya tatu nyuma ya Manchester City katika ligi hiyo inayomalizika.
Hata hivyo katika mchezo huo Sunderland wanapaswa kujilaumu kwa nafasi ambayo walipata na kushindwa kuitumia kupitia mshambuliaji wake Steven Fletcher.
Mlinda mlango Costel Pantilimon ndiye aliyeibuka shujaa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k4ExRAU62n8/VKy_RQnYhwI/AAAAAAACxMI/kRE0-N6myQQ/s72-c/innocent%2Bme.jpg)
VIJANA Kilimanjaro watakiwa kusimama imara na kudai fursa mbalimbali zikiwamo za kupewa kipaumbele katika ajira zinazotokana na mlima Kilimanjaro
![](http://3.bp.blogspot.com/-k4ExRAU62n8/VKy_RQnYhwI/AAAAAAACxMI/kRE0-N6myQQ/s1600/innocent%2Bme.jpg)
Kauli hiyo ilitolewa jana jijini na Naibu Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wilaya ya Moshi Vijijini, Innocent Melleck alipokuwa akizungumza na waandishi wahabari juu ya mkakati wa kupambana na wimbi la vijana walio mitaani kwa kukosa ajira katika mkoa wa Kilimanjaro . Melleck alisema anatarajia kuitisha...
10 years ago
MichuziDKT. SHEIN AFUNGUA JENGO LA AFISI KUU YA UHAMIAJI ZANZIBAR
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Njia za Kilimanjaro Marathon Tanzania zapimwa
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aWyJKPi6nYs/VOHESDxtMzI/AAAAAAAHD8g/cG4kTHko7Ao/s72-c/killiLogoNew.jpg)
Njia Kilimanjaro Marathon 2015 zatangazwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-aWyJKPi6nYs/VOHESDxtMzI/AAAAAAAHD8g/cG4kTHko7Ao/s1600/killiLogoNew.jpg)
Akizungumzia njia hiyo Mkurugenzi wa Kilimanjaro Marathon, John Bayo amesema “Ni njia nzuri sana. Mbio za Full marathon zitaanzia uwanja wa Ushirika na kwenda kilomita kumi njia ya kuelekea Dar es salaam na kurudia...
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Kilimanjaro Marathon yatangaza njia mpya
WAANDAAJI wa Kilimanjaro Marathon wametangaza njia mpya zitakazotumika mwaka huu, ikiwa ni hatua nyingine muhimu katika mafanikio ya mbio hizo ambazo zinaingia mwaka wa 12 tangu kuanzishwa. Njia hizo mpya...
10 years ago
Habarileo14 Jan
Wafanyakazi NHIF watakiwa kujiendeleza kitaaluma
WATUMISHI wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wametakiwa kujiendeleza kitaaluma ili kuongeza ufanisi na kuzikabili changamoto za sekta ya bima ya afya.