Wafanyakazi wa kigeni watimuliwa Sudan:K
Sudan kusini imeagiza wafanyakazi wa kigeni wa mashirika yasiokuwa ya kiserikali waondoke nchini kufikia katikati ya mwezi Oktoba.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo26 Jan
Wafanyakazi kampuni za kigeni wapewa somo
WATANZANIA wanaopata ajira katika kampuni mbalimbali za wawekezaji waliopo nchini wametakiwa kubadilika na kuacha tabia ya kutisha wawekezaji hao kwa kutofanya kazi kwa bidii, uadilifu na uaminifu.
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
MSF kuondoa wafanyakazi wake Sudan.K
11 years ago
BBCSwahili07 Mar
Wanadiplomasia watimuliwa Venezuela
10 years ago
Habarileo27 Dec
Waliohujumu Chadema watimuliwa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewatimua wanachama wake 42 wakiwemo wagombea walioshindwa kupita kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa hivi karibuni.
10 years ago
Habarileo22 Aug
Waliobebwa Uhamiaji watimuliwa
WATUMISHI 228 wa Idara ya Uhamiaji wa ngazi ya Konstebo na Koplo, walioshinda usaili na kuitwa kazini, wamefukuzwa kazi. Hatua hiyo imetangazwa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Mbarak Abdulwakil, baada ya kubainika kuwa baadhi ya watumishi hao, waliajiriwa kwa upendeleo kwa kuwa walikuwa ndugu, jamaa na watoto wa waliowasaili.
11 years ago
Habarileo08 Aug
Maofisa uvuvi watimuliwa
MAOFISA uvuvi watatu wilayani Ukerewe katika Mkoa wa Mwanza, wamefukuzwa kazi kwa madai ya kughushi vitabu vya leseni na kujipatia fedha kinyume cha sheria.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lQlwXT3A0WY/VVCjZPpkADI/AAAAAAAAAfc/8kYjlUkg5Pg/s72-c/IMG_9237.jpg)
WAFANYAKAZI WA CHUO CHA UTALII NCHINI WAUNDA BARAZA LA WAFANYAKAZI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-lQlwXT3A0WY/VVCjZPpkADI/AAAAAAAAAfc/8kYjlUkg5Pg/s640/IMG_9237.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HhmYtWT8pac/VVCskTnEQ5I/AAAAAAAAAf8/tbURmo3pEnA/s640/IMG_9242.jpg)
11 years ago
Dewji Blog01 May
Wafanyakazi wa wizara ya uchukuzi washerehekea vema siku ya wafanyakazi Duniani jijini Dar
Sehemu ya wafanyakazi wa wizara ya Uchukuzi, wakiwa wamejipanga tayari kwa ajili ya kushiriki katika maandamano ya siku ya wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Jijini Dar es Salaam, katika Uwanja Wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo Asubuhi.
Sehemu ya Wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi, wakikimbia katika maandamano ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Jijini Dar es Salaam, katika Uwanja Wa Taifa,jijini Dar es Salaam leo Asubuhi.
Wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi wakitoa...