Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi wa kigeni watimuliwa Sudan:K

Sudan kusini imeagiza wafanyakazi wa kigeni wa mashirika yasiokuwa ya kiserikali waondoke nchini kufikia katikati ya mwezi Oktoba.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi kampuni za kigeni wapewa somo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck SadikiWATANZANIA wanaopata ajira katika kampuni mbalimbali za wawekezaji waliopo nchini wametakiwa kubadilika na kuacha tabia ya kutisha wawekezaji hao kwa kutofanya kazi kwa bidii, uadilifu na uaminifu.

 

10 years ago

BBCSwahili

MSF kuondoa wafanyakazi wake Sudan.K

Shirika la MSF linajiandaa kuwaondoa wafanyakazi wake wa kutoa misaada nchini Sudan kwa sababu maafisa wakuu wanatatiza juhudi zao katika eneo hilo linalokabiliwa na mizozo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanadiplomasia watimuliwa Venezuela

Wanadiplomasia wa Panama wamefukuzwa nchini Venezuela wakishutumiwa kutaka kuiangusha Serikali

 

10 years ago

Habarileo

Waliohujumu Chadema watimuliwa

John MnyikaCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewatimua wanachama wake 42 wakiwemo wagombea walioshindwa kupita kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa hivi karibuni.

 

10 years ago

Habarileo

Waliobebwa Uhamiaji watimuliwa

WATUMISHI 228 wa Idara ya Uhamiaji wa ngazi ya Konstebo na Koplo, walioshinda usaili na kuitwa kazini, wamefukuzwa kazi. Hatua hiyo imetangazwa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Mbarak Abdulwakil, baada ya kubainika kuwa baadhi ya watumishi hao, waliajiriwa kwa upendeleo kwa kuwa walikuwa ndugu, jamaa na watoto wa waliowasaili.

 

11 years ago

Habarileo

Maofisa uvuvi watimuliwa

MAOFISA uvuvi watatu wilayani Ukerewe katika Mkoa wa Mwanza, wamefukuzwa kazi kwa madai ya kughushi vitabu vya leseni na kujipatia fedha kinyume cha sheria.

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA CHUO CHA UTALII NCHINI WAUNDA BARAZA LA WAFANYAKAZI.


Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasiliamaliwatu(DHRN) wa Wizara ya Maliasili na Utalii,Said Msambachi akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Chuo cha Utalii Tanzania, uliofanyika katika Kampasi ya Temeke jijini Dar es Salaam leo kwa niaba ya Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Adelhe Meru.  Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Bustani,  Rosada Musoma akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Chuo cha...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi wa wizara ya uchukuzi washerehekea vema siku ya wafanyakazi Duniani jijini Dar

DSC_0566

Sehemu ya wafanyakazi wa wizara ya Uchukuzi, wakiwa wamejipanga tayari kwa ajili ya kushiriki katika maandamano ya siku ya wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Jijini Dar es Salaam, katika Uwanja Wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo Asubuhi.

DSC_0576

Sehemu ya Wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi, wakikimbia katika maandamano ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Jijini Dar es Salaam, katika Uwanja Wa Taifa,jijini Dar es Salaam leo Asubuhi.

DSC_0577

Wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi wakitoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani