WAFANYE WATABASAMU WATABASAMU NA WATOTO MUHIMBILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-DdbTnKyI1bA/VPOvfW45paI/AAAAAAAHG2I/g-oTCxjOlH8/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Marafiki wa Wafanye Watabasamu Jumamosi iliyopita waliwatembelea tena watoto wanaoendelea na matibabu ya saratani katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam, ambapo waliwapa zawadi mbali mbali kisha kuchora nao ikiwa ni sehemu ya sanaa tiba (art therapy). Akizungumza na blogu hii, mratibu wa programu hiyo ambaye pia ni mchora vibonzo maarufu nchini, Nathan Mpangala, alisema, ziara hiyo iliyokuwa na lengo la kutumia sanaa tiba kukabiliana na msongo wa mawazo, kusahaulisha maumivu na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAFANYE WATABASAMU WATEMBELEA WATOTO WA SOS CHILDREN'S VILLAGES
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-64PVOQ0l7ZM/VdcJ9PYiUjI/AAAAAAAHy1A/okber-teRvs/s72-c/photo1.jpg)
MARAFIKI WA WAFANYE WATABASAMU WATOA MSAADA KWA WATOTO WA AMANI ORPHANAGE CENTRE, BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-64PVOQ0l7ZM/VdcJ9PYiUjI/AAAAAAAHy1A/okber-teRvs/s640/photo1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JgCGcQVhj8M/VdcJ9hmDS6I/AAAAAAAHy1M/X-WaMtyS57k/s640/photo2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VibRiEAi6Qg/VODcx9YdGDI/AAAAAAAHD1w/yZ3wbcaI3mc/s72-c/1423994493116_Screenshots.png)
10 years ago
Michuzi30 Aug
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CtJOb8TvtoI/VVmigEJni8I/AAAAAAAC4oI/4fuSm8CxpyE/s72-c/certificate%2Bof%2Bappreciation.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WZ4cJYf6IHs/VbHhfDOQGSI/AAAAAAAHrbI/on1HWTZb7MI/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
CloudsFM12 Nov
NAY WA MITEGO: SITAKI WATOTO WANGU WAFANYE MUZIKI
Staa wa Bongo Flava ambaye ana tuzo ya wimbo bora wa Hip hop, Nay Wa Mitego amefunguka kuwa hataki watoto wake wawe wanamuziki kama yeye. ‘’Mimi ni mwanamuziki na nimepata mafanikio kupitia kazi hii lakini sitaki watoto wangu wawe wanamuziki’’,alisema Nay Wa Mitego.
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Watoto 60 wachunguzwa moyo Muhimbili
JUMLA ya watoto 60 wamefanyiwa uchunguzi wa afya ya moyo bure, Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na watakaobainika watapatiwa matibabu. Watoto hao ni wale ambao wazazi wao wanakipato...