Wafariki wakitokea kwenye sherehe
WATU wanne wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya gari dogo namba T 697 AVY walilokuwa wakisafiria kutoka kwenye sherehe kugongwa na lori namba T 700 CTG Leyland DAF na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Dec
5 wafariki kwenye shambulizi Nairobi
Watu kadhaa wanahofiwa kufariki kufuatia mlipuko uliotokea ndani ya gari moja dogo la abiria katika mtaa wa Pangani mjini Nairobi.
11 years ago
BBCSwahili26 Jan
20 wafariki kwenye mlipuko DRC
Watu 20 wanahofiwa kufariki kutokana na mlipuko katika ghala la silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
11 years ago
Mwananchi04 May
Wanafunzi wa Mzumbe wafariki dunia kwenye bwawa la samaki
Watu watatu wamefariki dunia wakiwamo wanafunzi wawili wa Chuo Kikuu cha Mzumbe Kampasi ya Mbeya, ambao walipoteza maisha baada ya kuzama kwenye bwawa la samaki.
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Wahamiaji wamekufa maji wakitokea LIbya
Wahamiaji wengi kutoka Libya wamepoteza maisha yao baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzama.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qBhMF00X2eM/VTfR9P-ys1I/AAAAAAAHSl8/WI1Qs9Kgv3Q/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
WATU 10 WAFARIKI NA WENGINE ZAIDI YA 40 WAJERUHIWA KWENYE AJALI YA BASI LA UNIQUE NA LORI MKOANI SHINYANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qBhMF00X2eM/VTfR9P-ys1I/AAAAAAAHSl8/WI1Qs9Kgv3Q/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5bGr1KIgJi4/VTfR8zRXf0I/AAAAAAAHSmA/wHU8MN9jFSE/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CG4w-P4hD20/VTfR-N6C-3I/AAAAAAAHSmM/o4Z-1NVjGTQ/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
CHANZO: MICHUZI BLOG
10 years ago
KwanzaJamii16 Sep
ZAIDI YA WAHAMIAJI 200 WAFA MAJI WAKITOKEA LIBYA
Wahamiaji wengi kutoka Libya wameripotiwa kupoteza maisha yao baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzamaikielekea upande wa Italia.
Kwa mujibu wa wanajeshi wa majini wa Libya, watu hao walikuwa wakijaribu kuvuka kuelekea Ulaya.
Msemaji wa majeshi ya majini ya Libya, Ayub Qassem amethibitisha watu 36 wameokolewa baada ya mashua yao iliyokuwa imebeba watu 250 ilipozama karibu na eneo la Tajoura, mashariki mwa Tripoli.
Hata hivyo, amefichua ya kwamba maiti nyingi bado zinaelea...
11 years ago
Habarileo19 May
Ajali yaua watano wakienda kwenye sherehe
WATU watano wamekufa papo hapo na wengine 16 kujeruhiwa baada ya kutokea ajali ya barabarani iliyolihusisha gari dogo la abiria aina ya Toyota Hiace eneo la Mlima Sekenke, wilayani Iramba kwenye Barabara Kuu ya Singida -Mwanza.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-OW-2AwBxG64/U8C2rAURHiI/AAAAAAAAEAk/Ob5UtJflsg4/s72-c/logo%2Bcopy.jpg)
UNAKARIBISHWA KWENYE SHEREHE ZA EID EL FITR ZA PAMOJA DMV
![](http://2.bp.blogspot.com/-OW-2AwBxG64/U8C2rAURHiI/AAAAAAAAEAk/Ob5UtJflsg4/s640/logo%2Bcopy.jpg)
Asalam Alaykum Uongozi wa Tanzanian Muslims Community of Washington DC Metro (TAMCO) Una Furaha Kuwakaribisha WaTanzania Wote katika Sherehe za Eid El Fitr, kuadhimisha Kumaliza kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Zitakazo Fanyika (Inategemea Kuandama kwa Mwezi)
Friday July 17, 2015
1. Chai ya Asubuhi ya Pamoja, Baada ya Salat El EidKuanzia Saa Tatu Asubuhi – Saa Nane Mchana 9AM-2PM
Wheaton Claridge Park 11901 Claridge RoadWheaton, MD 20902
2. Sherehe za Eid za Jioni Kuanzia Saa Kumi na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania