Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafariki wakitokea kwenye sherehe

WATU wanne wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya gari dogo namba T 697 AVY walilokuwa wakisafiria kutoka kwenye sherehe kugongwa na lori namba T 700 CTG Leyland DAF na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

5 wafariki kwenye shambulizi Nairobi

Watu kadhaa wanahofiwa kufariki kufuatia mlipuko uliotokea ndani ya gari moja dogo la abiria katika mtaa wa Pangani mjini Nairobi.

 

11 years ago

BBCSwahili

20 wafariki kwenye mlipuko DRC

Watu 20 wanahofiwa kufariki kutokana na mlipuko katika ghala la silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanafunzi wa Mzumbe wafariki dunia kwenye bwawa la samaki

Watu watatu wamefariki dunia wakiwamo wanafunzi wawili wa Chuo Kikuu cha Mzumbe Kampasi ya Mbeya, ambao walipoteza maisha baada ya kuzama kwenye bwawa la samaki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wamekufa maji wakitokea LIbya

Wahamiaji wengi kutoka Libya wamepoteza maisha yao baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzama.

 

10 years ago

Vijimambo

WATU 10 WAFARIKI NA WENGINE ZAIDI YA 40 WAJERUHIWA KWENYE AJALI YA BASI LA UNIQUE NA LORI MKOANI SHINYANGA

 Winchi likinyanyua basi baada ya ajali ambapo watu 10 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa kutokana na ajali ya basi la Unique na lori kugongana uso kwa uso  mkoani Shinyanga leo. Zoezi la kunyanyua mabaki ya basi hilo likiendeleaWinchi likiwa kazini huku wanahabari wkirekodi tukio la kunyanyuliwa basi hilo.

CHANZO: MICHUZI BLOG

 

10 years ago

KwanzaJamii

ZAIDI YA WAHAMIAJI 200 WAFA MAJI WAKITOKEA LIBYA

Wahamiaji wengi kutoka Libya wameripotiwa kupoteza maisha yao baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kuzamaikielekea upande wa Italia. Kwa mujibu wa wanajeshi wa majini wa Libya, watu hao walikuwa wakijaribu kuvuka kuelekea Ulaya. Msemaji wa majeshi ya majini ya Libya, Ayub Qassem amethibitisha watu 36 wameokolewa baada ya mashua yao iliyokuwa imebeba watu 250 ilipozama karibu na eneo la Tajoura, mashariki mwa Tripoli. Hata hivyo, amefichua ya kwamba maiti nyingi bado zinaelea...

 

11 years ago

Habarileo

Ajali yaua watano wakienda kwenye sherehe

WATU watano wamekufa papo hapo na wengine 16 kujeruhiwa baada ya kutokea ajali ya barabarani iliyolihusisha gari dogo la abiria aina ya Toyota Hiace eneo la Mlima Sekenke, wilayani Iramba kwenye Barabara Kuu ya Singida -Mwanza.

 

10 years ago

Vijimambo

UNAKARIBISHWA KWENYE SHEREHE ZA EID EL FITR ZA PAMOJA DMV


Asalam Alaykum  Uongozi wa Tanzanian Muslims Community of Washington DC Metro (TAMCO) Una Furaha Kuwakaribisha  WaTanzania Wote katika Sherehe za Eid El Fitr, kuadhimisha Kumaliza kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Zitakazo Fanyika (Inategemea Kuandama kwa Mwezi)


Friday July 17, 2015


1.     Chai ya Asubuhi ya Pamoja, Baada ya Salat El Eid

Kuanzia Saa Tatu Asubuhi – Saa Nane Mchana 9AM-2PM


Wheaton Claridge Park 11901 Claridge Road

Wheaton,  MD 20902


2.     Sherehe za Eid za Jioni  

Kuanzia Saa Kumi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani