Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


5 wafariki kwenye shambulizi Nairobi

Watu kadhaa wanahofiwa kufariki kufuatia mlipuko uliotokea ndani ya gari moja dogo la abiria katika mtaa wa Pangani mjini Nairobi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watu 5 wafariki katika shambulizi Baidoa

Alshabaab wamepigana na kufanikiwa kuingia katika makao makuu ya utawala wa jimbo katika mji wa eneo la kati wa Baidoa .

 

11 years ago

BBCSwahili

10 wajeruhiwa kwenye shambulizi Kenya

Angalau watu kumi wamejeruhiwa katika shambulizi la guruneti katika eneo moja la watalii mjini Mombasa.

 

9 years ago

BBCSwahili

9 wauawa kwenye shambulizi Somalia

Shambulizi la kujitoa mhanga kusini mwa Somalia limewaua takriban watu 9 katika kituo kimoja cha kutoa mafunzo ya kijeshi.

 

9 years ago

BBCSwahili

13 wauawa kwenye shambulizi Syria

Mshambuliaji wa kujitoa mhanga ameshambulia vikosi vya jeshi la wakurdi kaskazini mashariki mwa Syria na kuwaua takriban watu 13

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafariki wakitokea kwenye sherehe

WATU wanne wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya gari dogo namba T 697 AVY walilokuwa wakisafiria kutoka kwenye sherehe kugongwa na lori namba T 700 CTG Leyland DAF na...

 

11 years ago

BBCSwahili

20 wafariki kwenye mlipuko DRC

Watu 20 wanahofiwa kufariki kutokana na mlipuko katika ghala la silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nairobi ya 6 kwenye Twitter Afrika

Nairobi ndio mji wenye shughuli nyingi zaidi kwenye Twitter Afrika Mashariki lakini ni ya sita barani Afrika. Je uko kwa Twitter?

 

11 years ago

Mwananchi

Wanafunzi wa Mzumbe wafariki dunia kwenye bwawa la samaki

Watu watatu wamefariki dunia wakiwamo wanafunzi wawili wa Chuo Kikuu cha Mzumbe Kampasi ya Mbeya, ambao walipoteza maisha baada ya kuzama kwenye bwawa la samaki.

 

11 years ago

GPL

WANNE WAPOTEZA MAISHA KWENYE MLIPUKO NAIROBI

WATU wanne wanadaiwa kupoteza maisha wakati wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya milipuko miwili ya maguruneti kutokea eneo la Gikomba mjini Nairobi, Kenya. Mlipuko wa kwanza umetokea katika basi la abiria 'matatu' wakati wa pili ukitokea katika soko la Gikomba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani