Nairobi ya 6 kwenye Twitter Afrika
Nairobi ndio mji wenye shughuli nyingi zaidi kwenye Twitter Afrika Mashariki lakini ni ya sita barani Afrika. Je uko kwa Twitter?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-c5TD0fjOhtk/U2UTaUBiGHI/AAAAAAAFfMI/wpOteJtrzmM/s72-c/unnamed+(4).jpg)
WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AMWAKILISHA RAIS KIKIWETE KWENYE MKUTANO WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI -NAIROBI
![](http://2.bp.blogspot.com/-c5TD0fjOhtk/U2UTaUBiGHI/AAAAAAAFfMI/wpOteJtrzmM/s1600/unnamed+(4).jpg)
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Kenyatta maarufu kwa Twitter Afrika
Rais wa Kenya uhuru Kenyatta ampiku Paul Kagame kama Rais anayejishughulisha zaidi kwenye mtandao wa Twitter Afrika.
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Kauli ya Uhuru Kenyatta kwenye Twitter
Rais Kenyatta amesema daima amekuwa akisisitiza kuwa hana hatia na habari hizi za kumwondolea mashitaka zimekuja kuchelewa sana
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
Wakenya wapigania waziri kwenye Twitter
Wakenya kwenye Twitter wamekuwa wakimhimiza Rais Kenyatta amsimamishe kazi waziri wake wa ugatuzi kwa tuhuma za ufisadi huku wengine wakimtetea.
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Tangazo la Twitter kwenye runinga lakanganya
Tangazo la kwanza la mtandao wa kijamii wa Twitter kwenye runinga limewaacha baadhi ya watazamaji wa televisheni Marekani wakiwa wamekanganyikiwa.
5 years ago
Quartz01 Mar
Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts
Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts QuartzRepublican mega-donor buys stake in Twitter and seeks to oust Jack Dorsey – report The GuardianNew Twitter Investor May Remove Bitcoin Advocate Jack Dorsey as CEO - CoinDesk CoinDeskElliott looks to remove Jack Dorsey as Twitter chief executive Financial TimesJack Dorsey: Billionaire Investor ‘Wants to Oust Twitter CEO’ Over His Planned Move to Africa Sputnik InternationalView Full coverage on Google...
11 years ago
BBCSwahili14 Dec
5 wafariki kwenye shambulizi Nairobi
Watu kadhaa wanahofiwa kufariki kufuatia mlipuko uliotokea ndani ya gari moja dogo la abiria katika mtaa wa Pangani mjini Nairobi.
10 years ago
Jamtz.Com25 Oct
HIKI NDO KILICHOSABABISHA BALOTELLI KUTIBUANA NA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED KWENYE MTANDAO WA TWITTER
Tweet
![Balotelli Aleta Kasheshe Dhidi Ya Mashabiki Wa Man Utd Katika Mtandao wa Kijamii](http://timesfm.co.tz/content/uploads/2014/9/22/cache/Super%20Balotelli_full.jpg)
Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambalo mshambulizi kutoka nchini Italia na klabu ya Liverpool Super Mario Balotelli alitukanwa kutokana na rangi ya ngozi yake kupitia kwa mtandao wa kijamii wa Twitter.
Polisi katika mji wa Merseyside wameanzisha uchunguzi kufuatia matusi hayo yaliyotokea baada ya mshambulizi huyo wa Liverpool kutuma ujumbe akiicheka kichapo cha Manchester United mikononi mwa timu ndogo ya Leicester siku ya jumapili.
Baloteli aliandika ''Man...
![Balotelli Aleta Kasheshe Dhidi Ya Mashabiki Wa Man Utd Katika Mtandao wa Kijamii](http://timesfm.co.tz/content/uploads/2014/9/22/cache/Super%20Balotelli_full.jpg)
Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambalo mshambulizi kutoka nchini Italia na klabu ya Liverpool Super Mario Balotelli alitukanwa kutokana na rangi ya ngozi yake kupitia kwa mtandao wa kijamii wa Twitter.
Polisi katika mji wa Merseyside wameanzisha uchunguzi kufuatia matusi hayo yaliyotokea baada ya mshambulizi huyo wa Liverpool kutuma ujumbe akiicheka kichapo cha Manchester United mikononi mwa timu ndogo ya Leicester siku ya jumapili.
Baloteli aliandika ''Man...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WANNE WAPOTEZA MAISHA KWENYE MLIPUKO NAIROBI
WATU wanne wanadaiwa kupoteza maisha wakati wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya milipuko miwili ya maguruneti kutokea eneo la Gikomba mjini Nairobi, Kenya. Mlipuko wa kwanza umetokea katika basi la abiria 'matatu' wakati wa pili ukitokea katika soko la Gikomba.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania