Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nairobi ya 6 kwenye Twitter Afrika

Nairobi ndio mji wenye shughuli nyingi zaidi kwenye Twitter Afrika Mashariki lakini ni ya sita barani Afrika. Je uko kwa Twitter?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AMWAKILISHA RAIS KIKIWETE KWENYE MKUTANO WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI -NAIROBI

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akishiriki katika Mkutano wa tano wa wa Nchi za Jumui ya Afrika Mashariki wa tano wa ushirikiano wa miradi ya maendeleo ya ukanda wa kaskzin (5th Summit of the Northern Corridor Intergration Projects)Uliofanyika kwenye hoteli ya Safari Park mjini Nairobi Mai 2, 2014.Viongozi waliohudhria mkutano huo ni Makamu wa Rais wa Kenya William Ruto, Makamu wa Rais wa Burundi, Rais wa Rwanda Paul Kagame, Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na Rais wa Uganda Yoweri...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenyatta maarufu kwa Twitter Afrika

Rais wa Kenya uhuru Kenyatta ampiku Paul Kagame kama Rais anayejishughulisha zaidi kwenye mtandao wa Twitter Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kauli ya Uhuru Kenyatta kwenye Twitter

Rais Kenyatta amesema daima amekuwa akisisitiza kuwa hana hatia na habari hizi za kumwondolea mashitaka zimekuja kuchelewa sana

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakenya wapigania waziri kwenye Twitter

Wakenya kwenye Twitter wamekuwa wakimhimiza Rais Kenyatta amsimamishe kazi waziri wake wa ugatuzi kwa tuhuma za ufisadi huku wengine wakimtetea.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tangazo la Twitter kwenye runinga lakanganya

Tangazo la kwanza la mtandao wa kijamii wa Twitter kwenye runinga limewaacha baadhi ya watazamaji wa televisheni Marekani wakiwa wamekanganyikiwa.

 

5 years ago

Quartz

Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts

Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts  QuartzRepublican mega-donor buys stake in Twitter and seeks to oust Jack Dorsey – report  The GuardianNew Twitter Investor May Remove Bitcoin Advocate Jack Dorsey as CEO - CoinDesk  CoinDeskElliott looks to remove Jack Dorsey as Twitter chief executive  Financial TimesJack Dorsey: Billionaire Investor ‘Wants to Oust Twitter CEO’ Over His Planned Move to Africa  Sputnik InternationalView Full coverage on Google...

 

11 years ago

BBCSwahili

5 wafariki kwenye shambulizi Nairobi

Watu kadhaa wanahofiwa kufariki kufuatia mlipuko uliotokea ndani ya gari moja dogo la abiria katika mtaa wa Pangani mjini Nairobi.

 

10 years ago

Jamtz.Com

HIKI NDO KILICHOSABABISHA BALOTELLI KUTIBUANA NA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED KWENYE MTANDAO WA TWITTER

Tweet
Balotelli Aleta Kasheshe Dhidi Ya Mashabiki Wa Man Utd Katika Mtandao wa Kijamii
Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambalo mshambulizi kutoka nchini Italia na klabu ya Liverpool Super Mario Balotelli alitukanwa kutokana na rangi ya ngozi yake kupitia kwa mtandao wa kijamii wa Twitter.
Polisi katika mji wa Merseyside wameanzisha uchunguzi kufuatia matusi hayo yaliyotokea baada ya mshambulizi huyo wa Liverpool kutuma ujumbe akiicheka kichapo cha Manchester United mikononi mwa timu ndogo ya Leicester siku ya jumapili.
Baloteli aliandika ''Man...

 

11 years ago

GPL

WANNE WAPOTEZA MAISHA KWENYE MLIPUKO NAIROBI

WATU wanne wanadaiwa kupoteza maisha wakati wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya milipuko miwili ya maguruneti kutokea eneo la Gikomba mjini Nairobi, Kenya. Mlipuko wa kwanza umetokea katika basi la abiria 'matatu' wakati wa pili ukitokea katika soko la Gikomba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani