WAFUASI WA CHADEMA ARUSHA WAFURAHIA ALIYEKUWA KAMANDA WA POLISI MKOA HUO KUHAMISHWA, WENGINE WASIKITISHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-MK7L-Q2r4hc/XvSpGuUvM4I/AAAAAAALvZY/qUpa1urmXqkrM-82BS7wGRVum6Skwo6mgCLcBGAsYHQ/s72-c/images%25281%2529.jpeg)
Na Woinde Shizza, Michuzi Tv- Arusha
WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) wamefurahia uhamisho wa kikazi wa aliyekuwa Kamanda wa polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shanna ambaye amehamishiwa katika chuo cha mafunzo ya Polisi CCP kuwa Ofisa Mnadhimu rasilimali watu,Fedha na vifaa mkoani Kilimanjaro.
Shanna ambaye alifanikiwa kutekeleza amri ya Rais John Magufuli ya kuzuia mikutano ya vyama vya siasa mkoani Arusha,wafuasi wa chadema wameonekana kuchekelea uhamisho huo wakidai kwamba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s72-c/unnamed+(3).jpg)
HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s1600/unnamed+(3).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yCchVDjyWq4/UytdMMfNNEI/AAAAAAAFVSQ/MPI1n8f-8OU/s72-c/unnamed+(54).jpg)
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan S. Kaganda aendelea na kampeni yake ya kuhamasisha dhana ya polisi jamii
![](http://1.bp.blogspot.com/-yCchVDjyWq4/UytdMMfNNEI/AAAAAAAFVSQ/MPI1n8f-8OU/s1600/unnamed+(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yohAQB6kBds/UytdMjP05UI/AAAAAAAFVSc/nz68yZTcMfM/s1600/unnamed+(55).jpg)
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Polisi wazuia maandamano ya wafuasi wa Chadema
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Polisi Mwanza watumia mabomu kutawanya wafuasi Chadema
NA JOHN MADUHU, MWANZA
JESHI la Polisi mkoani Mwanza, jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafuasi zaidi ya 500 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waliokuwa wamefurika katika Hospitali ya Rufaa Bugando kwa ajili ya kushuhudia mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Geita marehemu Alfonce Mawazo ambaye alifariki dunia kwa kukatwa mapanga.
Mawazo alifariki juzi katika mazingira ya kutatanisha huku kifo chake kikihusishwa na masuala ya...
10 years ago
Vijimambo21 Sep
Jeshi la polisi lawashushia kipigo wafuasi wa Chadema Morogoro.
askari polisi kuzingira barabara na maeneo kadhaa ya jiji hilo baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutangaza kuendelea na maandamano hayo licha ya kuzuiwa na polisi.
Hata hivyo, maandamano hayo yaliyopangwa kupinga kuendelea kwa Bunge Maalumu la Katiba, mjini Dodoma, hayakufanyika.
Chadema jana ilitangaza kufanyika kwa maandamano katika mikoa ya Arusha, Iringa na Morogoro ambapo Jumatatu yangefanyika mikoa ya Manyara, Kilimanjaro, Mbeya , Mwanza , Musoma na Tanga.
Baadhi ya...
10 years ago
Michuzi24 Sep
KESI WAFUASI WA CHADEMA KUVAMIA POLISI YASOMWA LEO MAHAKAMANI
Kadhalika, washtakiwa hao Ngaiza Kamugisha (28) dereva, mkazi wa Vingunguti, Benito Mwapinga (30) Fundi nguo mkazi wa Mtoni kwa Azizi Ally na Eliasante Bugeji (51) Mhasibu wa CCBRT mkazi wa Komakoma Kinondoni, Dar es Salaam, wanadaiwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-IvGplFBu2eM/VccjfnxwVRI/AAAAAAABTUo/sh_UTnWFjlM/s72-c/1439111816672.jpg)
BREAKING NEWS: MWENYEKITI WA CCM MKOA ARUSHA NA KATIBU MWENEZI WA MKOA WAJIUZULU NA KUHAMIA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IvGplFBu2eM/VccjfnxwVRI/AAAAAAABTUo/sh_UTnWFjlM/s640/1439111816672.jpg)
ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAARIFA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-V90xBzjKKmQ/U6REdOqqedI/AAAAAAAFr_E/g0g4nXq_W_o/s72-c/unnamed+(18).jpg)
KAMANDA WA POLISI MKOA WA TABORA AHAMASISHA ULINZI SHIRIKISHI MKOANI MWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-V90xBzjKKmQ/U6REdOqqedI/AAAAAAAFr_E/g0g4nXq_W_o/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zc3gtxBLBTQ/U6REeTdwCeI/AAAAAAAFr_M/uUSx-uSNTnY/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QVPKwH--iBM/U6REhOr7cfI/AAAAAAAFr_U/ba39-YXQUX0/s1600/unnamed+(19).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cFOw2kbebk0/Xms3lCeLAII/AAAAAAAAweQ/4j5xxw7uaQwo5Kp75GNAbet1a2VqhF5BACLcBGAsYHQ/s72-c/cv.jpg)
MKUU WA MKOA ARUSHA ATOA AGIZO WAKATI WAKUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MFANYAKAZI WA NDANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-cFOw2kbebk0/Xms3lCeLAII/AAAAAAAAweQ/4j5xxw7uaQwo5Kp75GNAbet1a2VqhF5BACLcBGAsYHQ/s640/cv.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema tayari Polisi wameshachukua hatua na anaedaiwa kumuua atafikishwa Mahakamani huku akitoa agizo kwa uongozi wa Hospitali ya Mount Meru kurudisha fedha zilizochukuliwa na Hospitali hiyo kwa ajili ya gharama za mochwari.