Wafugaji matatani kwa meno ya tembo ya mil. 200/-
WATU wanne, wafugaji wa jamii ya kimasai wakazi wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wamekamatwa na Kikosi Maalumu cha Kupambana na Ujangili (KDU) Kanda ya Kaskazini wakiwa na meno manane ya tembo yenye thamani ya karibu Sh milioni 200.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Matatani kwa vipande 28 vya meno ya tembo
JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Anania Sibeteli (34) kwa tuhuma za kukutwa na vipande 28 vya meno ya tembo kinyume cha sheria. Mtuhumiwa huyo mkazi wa Ruaha, mkoani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9Gqs-WrH5kdyp2bgwGSP3whlExan0sBHga4Q8lVEw0nlgWsi5AHCHN1jkTUkEB9GP3adRczhodPM0zxI8i6A84d/MENOYATEMBO.jpg?width=650)
ADAKWA NA MENO 21 YA TEMBO YENYE THAMANI YA MIL 43 SINGIDA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-chaPuUbmfNw/U3RZ9DrmYEI/AAAAAAAFhxg/RMJ66Jk1TZg/s72-c/unnamed+(1).jpg)
WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYlv9Z3nXF3jwBvVRZTIeDXsbZR27HwEmr2VG64XQCtosSAHVNaI-mOkEM5ZxWRHLfrr4bzgmBRHqjwdeLHsx36o/unnamed1.jpg?width=650)
WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO
10 years ago
Habarileo27 Dec
2 mbaroni kwa kukutwa na meno ya tembo
WATU wawili wametiwa mbaroni na Polisi mjini Mpanda kwa kukutwa na meno ya tembo waliokamatwa yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 157 ndani ya basi la Adventure.
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Wawili mbaroni kwa meno ya tembo
JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia Fatuma Athumani (50) na Joel Antony kwa tuhuma za kukutwa na vipande tisa vya meno ya tembo ndani ya gari lenye namba ya usajili...
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Mbaroni kwa meno ya tembo, gobore
MWANAKIJIJI wa Kilinda, wilayani Mlele, Katavi, Bathromeo Mtongwa (58), amekamatwa na vipande viwili vya meno ya tembo vyenye uzito wa kilo 15, ambavyo thamani yake ni sh milioni 22. Pamoja...
10 years ago
Habarileo25 Nov
Warundi kortini kwa meno 18 ya tembo
RAIA watatu wa Burundi akiwemo mwanamke wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu mkazi wa Wilaya ya Morogoro, wakikabiliwa na mashitaka matatu ya kuhujumu uchumi baada ya kukamatwa na meno ya tembo 18, na mikia mitano ya twiga, vyote vikiwa na thamani ya Sh milioni 357.