Wafugaji Uvinza kuondolewa nyumba za serikali
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza mkoani hapa, limeazimia kuwaondoa kwenye nyumba za serikali wafugaji kutoka mikoa ya Shinyanga na Simiyu wanaoishi humo isivyo halali. Mwenyekiti wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DxqhicFPkOY/VGhqaq6y1dI/AAAAAAAAJWw/98imPS8OxNo/s72-c/IMG_20141115_103549.jpg)
WAFUGAJI WAVAMIA ENEO LA MWEKEZAJI ,WACHOMA NYUMBA ,MAGARI
![](http://4.bp.blogspot.com/-DxqhicFPkOY/VGhqaq6y1dI/AAAAAAAAJWw/98imPS8OxNo/s640/IMG_20141115_103549.jpg)
Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Siha ,Rashid Kitambulilo akimuongoza mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama wakati akitembelea eneo la mwekezaji la Tanganyika Film and Safari ambako wafugaji jamii ya Masai wanadaiwa kufanya uharibifu mkubwa.
![](http://3.bp.blogspot.com/-oumzJQSJbkA/VGhqbgBZYLI/AAAAAAAAJW4/RCDFFkpx4BA/s640/IMG_20141115_103607.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--KNZlfIlGfg/VGhqchtngTI/AAAAAAAAJXA/FPaiWjrmcKc/s640/IMG_20141115_103629.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TXeLALplltw/VGhqfCYspYI/AAAAAAAAJXM/0nBWFwtkWpo/s640/IMG_20141115_103741.jpg)
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
SERIKALI: Maduka ya dawa yaliyopo pembezoni na Hospitali kuondolewa nchini!
Na Rabbi Hume
[DAR ES SALAAM] Serikali nchini, kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ipo mbioni kufanya mazungumzo na wamiliki wa maduka ya madawa yaliyopo pembezoni na hospitali za serikali ili kuona uwezekano wa kuhamisha maduka hayo kutoka maeneo ya hospitali ilikuondoa utata uliopo sasa wa baadhi ya watendaji na wafanyakazi wa hospitali hizo kutumia mwaya huo wa kuhamisha madawa na kuweka kwenye maduka...
10 years ago
MichuziMwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai atembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Kigamboni
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RGKUO9VU1_E/VIKmAht9tzI/AAAAAAAG1gw/jol8eTR4M1k/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
WAZIRI CHIKAWE ASHIRIKIANA NA WAGOMBEA SERIKALI ZA MITAA KUPIGA KAMPENI YA NYUMBA KWA NYUMBA JIMBONI NACHINGWEA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RGKUO9VU1_E/VIKmAht9tzI/AAAAAAAG1gw/jol8eTR4M1k/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
9 years ago
StarTV11 Nov
Mzee Juma Isangu aomba Serikali kumsaidia baada ya kuondolewa kwenye eneo lake
Serikali imeombwa kuingilia kati sakata la familia ya Mzee Juma Isangu mkazi wa Duluti wilayani Arumeru mkoani Arusha baada ya kuondolewa kwa amri ya mahakama katika eneo walilokuwa wakiishi kwa zaidi ya miaka thelathini.
Wamedai kwamba haki haikutendeka.
Familia hiyo ambayo hadi hivi sasa imekosa mahali pa kuishi, inamshutumu mtoto wa aliyekuwa mmiliki wa kwanza wa eneo hilo kwa madai ya kughushi nyaraka za uhalali wake wakati familia hiyo ikiwa na vielelezo vya mahala hapo.
Kwa mujibu wa...
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Jamii ya wafugaji waiangukia Serikali
10 years ago
Mtanzania16 Apr
Wafugaji, wakulima waibebesha mzigo Serikali
Na Mauli Muyenjwa, Dar es Salaam
JAMII ya wakulima na wafugaji wamedai kutokumalizika kwa migogoro ya ardhi kati ya jamii hizo, inatokana na viongozi wa Serikali kushindwa kutimiza wajibu wao.
Kauli hiyo ilitolewa na mwakilishi wa wakulima kutoka Wilaya ya Kilosa, Airu Mustafa katika kongamano la mwisho la Kigoda cha Mwalimu Nyerere lililofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) jana.
Alisema suluhisho pekee la tatizo hilo, ni kutowapa nafasi watu wanaotaka uongozi katika uchaguzi mkuu...
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Serikali imelala migogoro ya wakulima na wafugaji?