Wafugaji, wakulima waibebesha mzigo Serikali
Na Mauli Muyenjwa, Dar es Salaam
JAMII ya wakulima na wafugaji wamedai kutokumalizika kwa migogoro ya ardhi kati ya jamii hizo, inatokana na viongozi wa Serikali kushindwa kutimiza wajibu wao.
Kauli hiyo ilitolewa na mwakilishi wa wakulima kutoka Wilaya ya Kilosa, Airu Mustafa katika kongamano la mwisho la Kigoda cha Mwalimu Nyerere lililofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) jana.
Alisema suluhisho pekee la tatizo hilo, ni kutowapa nafasi watu wanaotaka uongozi katika uchaguzi mkuu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji
![IMG_0113](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0113.jpg)
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Serikali imelala migogoro ya wakulima na wafugaji?
10 years ago
Habarileo30 Aug
Wakulima, wafugaji wapigana Same
KUMEZUKA mapigano baina ya wafugaji na wakulima katika kijiji cha Jiungeni Lolokai, kata ya Ruvu wilayani Same na tayari wakulima wanne wamejeruhiwa vibaya na silaha za jadi, na mmoja kukimbizwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC kwa matibabu zaidi.
9 years ago
Michuzi02 Sep
WAKULIMA NA WAFUGAJI CCM
Bi. Suluhu ametoa kauli hiyo alipokuwa akinadi ilaya ya CCM katika Majimbo mawili tofauti ya Kongwa na Chilonwa Mkoa wa Dodoma ikiwa ni mwendelezo wa ziara zake za kufanya kampeni...
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Mapigano ya wakulima, wafugaji yakomeshwe
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Mgogoro wakulima, wafugaji waendelea
WAKULIMA wa Wilaya ya Kiteto, Manyara, wameomba serikali iwape kibali cha kuwaondoa wafugaji kama yenyewe serikali imeshindwa kutatua mgogoro huo ambao umedumu kwa miaka mingi. Wakulima walitoa kauli hiyo juzi...
10 years ago
Habarileo24 Nov
Wakulima, wafugaji Kiteto kusuluhishwa
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imeunda timu ya watu 10 kutoka kada tofauti wakiwemo viongozi wa dini ambao watapewa jukumu la kufanya kazi ya usuluhishi kwenye vijiji vyenye migogoro baina ya wafugaji na wakulima wilayani Kiteto mkoani Manyara.
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
‘Wakulima, wafugaji jiepusheni na rushwa’
SERIKALI imewataka wakulima na wafugaji kujiepusha na vitendo vya kuomba au kupokea rushwa katika utekelezaji wa shughuli zao za kila siku. Kupokea ama kutoa rushwa kunawafanya kuwepo mianya ya kuibiwa...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Wakulima, wafugaji wauana Kigoma
WATU watatu wamefariki dunia na wengine hawajulikani walipo baada ya kuibuka mapigano ya kugombania ardhi yaliyowahusisha wafugaji na wakulima katika Kijiji cha Minyinya Kata ya Nyamtukuza Wilaya ya Kakonko mkoani...