Wakulima, wafugaji Kiteto kusuluhishwa
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imeunda timu ya watu 10 kutoka kada tofauti wakiwemo viongozi wa dini ambao watapewa jukumu la kufanya kazi ya usuluhishi kwenye vijiji vyenye migogoro baina ya wafugaji na wakulima wilayani Kiteto mkoani Manyara.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Wakulima, wafugaji vitani Kiteto
MZAHA na uzembe unaodaiwa kufanywa na baadhi ya viongozi wilayani Kiteto na mkoani Manyara katika kusuluhisha mgogoro wa wafugaji na wakulima, umesababisha mauaji ya watu zaidi ya 13 usiku wa...
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Wafugaji, wakulima Kiteto wauana katika mapigano
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-kgMfujH8eAU/VGsc7QQw6xI/AAAAAAAANJg/dtdwYZhhzUI/s72-c/IGP_Kiteto.jpg)
IGP MANGU ATUA KITETO, NI KUFUATIA MAUAJI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-kgMfujH8eAU/VGsc7QQw6xI/AAAAAAAANJg/dtdwYZhhzUI/s640/IGP_Kiteto.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nqbbA5a5nsc/VGsc9AIWcTI/AAAAAAAANJo/-DUSwYWvxnY/s640/IGP_Kiteto4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji
![IMG_0113](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0113.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Wafugaji wakaidi Kiteto kusakwa
MKUU wa Wilaya ya Kiteto, mkoani Manyara, Martha Umbula, ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani humo kuwasaka wafugaji wa jamii ya Kimasai waliogoma kuondoka katika hifadhi ya jamii ya Embolei Omurutangos....
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Wafugaji 30 mbaroni kwa mapigano Kiteto
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Mauaji ya wakulima tena Kiteto
MAPAMBANO kati ya wakulima na wafugaji katika Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, yanaendelea kushika kasi na kusababisha watu wanne kupoteza maisha. Hali hiyo ilibainishwa na Katibu wa wakulima wilayani hapa,...
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Ndugai alalamikia mauaji ya wakulima Kiteto
THEODOS MGOMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0mjNH0t3Cd8/VGS9hxaiQPI/AAAAAAAABu0/oZY17IvlDXw/s1600/ndugai.jpg)
Akitumia kanuni ya 68(7), Moza alisema kumekuwa kukitokea mauaji ya kutisha ya wakulima katika wilaya ya Kiteto.
Moza alisema katika kipindi cha...
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Anusurika kuchinjwa katika ugomvi wa wakulima Wilaya ya Kiteto