Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafugaji wakaidi Kiteto kusakwa

MKUU wa Wilaya ya Kiteto, mkoani Manyara, Martha Umbula, ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani humo kuwasaka wafugaji wa jamii ya Kimasai waliogoma kuondoka katika hifadhi ya jamii ya Embolei Omurutangos....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WATEJA SOKO LA KIHESA WAKAIDI AGIZO LA KUTAKASA MIKONO, JESHI LA AKIBA WAKUKAMATA WAKAIDI

Kaimu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Joseph Ryata akiwa katika soko la Ipogolo alipofanya Ziara katika masoko ya manispaa ya Iringa kwa lengo la kujua namna gani wafanyabisha wanaelimu ya kupambana na Virusi vya Corona.Kaimu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Joseph Ryata akiwa katika soko la Mlandege alipofanya Ziara katika masoko ya manispaa ya Iringa kwa lengo la kujua namna gani wafanyabisha wanaelimu ya kupambana na Virusi vya Corona.Kaimu Meya wa Halmashauri ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima, wafugaji vitani Kiteto

MZAHA na uzembe unaodaiwa kufanywa na baadhi ya viongozi wilayani Kiteto na mkoani Manyara katika kusuluhisha mgogoro wa wafugaji na wakulima, umesababisha mauaji ya watu zaidi ya 13 usiku wa...

 

10 years ago

Habarileo

Wakulima, wafugaji Kiteto kusuluhishwa

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imeunda timu ya watu 10 kutoka kada tofauti wakiwemo viongozi wa dini ambao watapewa jukumu la kufanya kazi ya usuluhishi kwenye vijiji vyenye migogoro baina ya wafugaji na wakulima wilayani Kiteto mkoani Manyara.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafugaji 30 mbaroni kwa mapigano Kiteto

Wakati bado hofu ya mapigano ya wakulima na wafugaji, ikiwa bado imetanda wilayani hapa, wafugaji 31, wamekamatwa kutokana na mapigano hayo yaliyosababisha vifo vya watu 10.

 

10 years ago

Mwananchi

Wafugaji, wakulima Kiteto wauana katika mapigano

Migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji imeendelea kusababisha mauaji wilayani Kiteto mkoani Manyara baada ya watu watano, wakiwamo wakulima watatu na wafugaji wawili, kuuawa.

 

10 years ago

Vijimambo

IGP MANGU ATUA KITETO, NI KUFUATIA MAUAJI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini,IGP Ernest Mangu akizungumza na wananchi wa Kata ya Matui Wilayani Kiteto mkoani Manyara leo Jumanne Novemba 18, 2014. IGP ametua wilayani humo kufuatilia yeye mwenyewe migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji iliyosababisha kutokea mapigano yaliyopelekea kutokea kwa vifo vya wananchiMkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu akimsikiliza Diwani wa Kata ya Matui Wilayani Kiteto Bw.Athuman Kidawa wakati alipofanya ziara wilayani humo kufuatia...

 

10 years ago

TheCitizen

We’ll bury many if Kiteto situation isn’t addressed penings in Kiteto?

It seems that the cries by the Deputy Speaker of the National Assembly, who is also Kongwa Member of Parliament, Mr Job Ndugai and several other law makers about the wanton killings in Kiteto have not been heard by the government. If the government has heard the cries, surely it would have moved to normalise the situation.

 

11 years ago

IPPmedia

Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto


Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto
IPPmedia
Last week The Guardian on Sunday brought you a story on the recent land conflict pitting farmers and pastoralists at the Kalikala hamlet in Kiteto District. In this second installment Gerald Kitabu reveals how the unfolding feud led to the killings of more than 10 ...

 

11 years ago

Mwananchi

Wachungaji wakaidi sasa kushughulikiwa

Uongozi wa Kanisa la Moravian Tanzania, umetangaza kuwachukulia hatua kali ikiwa ni pamoja na kuwasimamisha wachungaji na wajumbe wote wa halmashauri kuu watakaondelea kukiuka uamuzi wa mkutano mkuu uliofanya mabadiliko ya uongozi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani