Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafungwa Musoma wanatembea nusu uchi

SERIKALI imetakiwa kuwanunulia nguo mpya wafungwa wa gereza la Musoma kutokana na nguo zao kuchanika na kushindwa kutoka nje kwa ajili ya kufanya shughuli za maendeleo. Kauli hiyo ilitolewa jana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kanisa lawatimua waumini walio nusu uchi

Waumini wa kanisa katoliki walipigwa na butwaa baada ya baadhi yao kuzuiwa kuingia katika kanisa hilo.

 

11 years ago

GPL

RECHO AFANYA 'BETHIDEI', WASANII WENGI WATOKA NUSU UCHI

Winfrida Joseph a.k.a Recho akikata keki. Recho akiwa na rafiki yake katika pozi.…

 

10 years ago

Vijimambo

BASI LA MUSOMA EXPRESS LAPATA AJALI LIKITOKEA DAR KWENDA MUSOMA

 Basi la Musoma Express lenye namba za usajili T138 BDQ lililokuwa likitokea Dar es salaam kwenda Musoma limepata ajali majira ya saa 4 usiku  katika kijiji cha usanda shinyanga vijijini .
Basi hilo limepata ajali katika eneo la Usanda hatua chache baada ya kutoka katika mzani wa Tinde barabara ya Tinde Shinyanga.

Inaelezwa kuwa wakati dereva akiendesha basi hilo ghafla mwanamume  mmoja anayedaiwa kuwa ni mzee (mtembea kwa miguu) alikatisha barabarani na kusababisha ajali hiyo.
 wakizungumza na...

 

11 years ago

Michuzi

BIASHARA UNITED MUSOMA YAIBAMIZA POLISI VETERAN YA MUSOMA MABAO 2-0

Timu ya soka ya Biashara United ya mjini Musoma Mkoani Mara (pichani) inayojiandaa kwa  mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya soka ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mwishoni mwa wiki imewabamizia Timu ya Polisi Veteran ya Mjini Musoma mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika katika uwanja wa Kumbukumbu ya Karume mjini Shinyanga.Mchezo huo ambao ulikuwa na kila aina ya ufundi kutoka kwa wachezaji wa timu zote kipindi cha kwanza kilimalizika baada ya timu hizo kutosha nguvu ya...

 

10 years ago

Bongo5

‘Nusu Nusu’ ya Joh Makini yaingia kwenye Official African Chart ya MTV Base

Joh Makini anazidi kupaa juu zaidi. Video ya wimbo wake ‘Nusu Nusu’ aliyomshirikisha G-Nako, imeingia kwenye ‘Official African Chart’ ya MTV Base. Video hiyo iliyofanyika nchini Afrika Kusini imekamata nafasi ya 8 wiki hii. Huo ni wimbo wa kwanza wa Joh Makini kuwahi kuingia kwenye chart hizo. Video hiyo pia inafanya vizuri kwenye kituo cha […]

 

10 years ago

Mwananchi

Majimbo ya Siha, Same Magharibi na Same Mashariki ni nusu kwa nusu

Jimbo la Siha Siha ni moja ya wilaya zilizoko katika mkoa wa Kilimanjaro na ilianzishwa mwaka 2005 baada ya kuigawa Wilaya ya Hai. Jimbo la Siha lina jumla ya kata 12 na vijiji 39 na lina zaidi ya watu 150,000.

 

10 years ago

Bongo5

Video mpya ya Joh Makini ‘Nusu Nusu’ kutambulishwa ‘Exclusive’ na MTV Base Ijumaa (April 24)

Rapper wa Weusi Joh Makini anaingia kwenye orodha ya wasanii wa Tanzania wanaoliwania soko la kimataifa. Video mpya ya rapper huyo wa Weusi iitwayo ‘Nusu Nusu’ itaoneshwa kwa mara ya kwanza (Exclusive) Ijumaa April, 24 na kituo cha kimataifa MTV Base saa kumi na mbili jioni saa za Afrika Mashariki, kupitia kipindi chao cha kutambulisha […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani