Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahalifu wadaiwa kubuni mbinu mpya kila kukicha.

Na Zacharia Mtigandi,

Manyara.

 

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Kanda ya Kaskazini imesema uhalifu unaosababishwa na mitandao unazidi kuongezeka kutokana na mbinu mbalimbali mpya zinazoibuliwa na wahalifu wanaotumia mitandao hiyo.

 

Uhalifu wa kimitandao unaoongezeka kwa kasi ni wa kuiba fedha na kusambaza picha chafu za utupu.

 

Utafiti kutoka TCRA Unaonyesha kuwa Upotevu wa fedha kwa njia ya mitandao ni kwa asilimia 16, kutuma ujumbe yaani sms sisizohitajika ni kwa asilimia 21 na watoa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WOLPER: NIMECHOKA KUTUKANWA KILA KUKICHA

Stori: GLADNESS MALLYA MOYO unauma! Baada ya kutukanwa matusi ya nguoni kwenye mitandao ya kijamii na blogs, kwa mara ya kwanza staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe amefunguka na kudai kwamba amechoka kutukanwa kila kukicha lakini pamoja na hayo yote hatingishiki kwa lolote. Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe. Habari zilieleza kuwa kwenye mitandao ya kijamii hasa Instagram, Wolper amekuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Okwi: Nilikuwa naomba kila kukicha

SIKU chache baada ya mshambuliaji Emmanuel Okwi kuruhusiwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kukipiga Yanga, amesema alikuwa akiomba kila kukicha utolewe uamuzi sahihi kwake. Okwi alizuiliwa na Shirikisho...

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI ZATAKIWA KUBUNI TEKNOLOJIA MPYA

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akimsikiliza Mkuu wa Gereza la Kwitanga, SSP Dominic Christian aliyekuwa anatoa maelezo juu ya uzalishaji wa mbegu za Chikichi katika gereza hilo.Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akizungumza jambo na Mkurugenzi wa kituo cha utafiti wa zao la chikichi  Kihinga Dkt.  Filson Kagimbo.Katibu Mkuu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akiwa katika picha ya pamoja...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yaanza na mbinu mpya

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri ameanza kujaribu kupanga kikosi kwa kuangalia nafasi ya mchezaji mmoja mmoja, huku akisema anaangalia ‘kombinesheni’ ya kila nafasi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wauza ‘unga’ waja na mbinu mpya

WAKATI serikali inafanya juhudi kupambana na wasafirishaji na waingizaji wa dawa za kulevya, wafanyabiashara hao wamebuni mbinu mpya ya kuweka ‘unga’ huo kwenye vitabu na viatu na kisha kutuma kama...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakulima 2,380 wapewa mbinu mpya

WAKULIMA 2,379 kutoka Wilaya tano hapa nchini wamenufaika na elimu ya teknolojia mpya ya matumizi ya mbegu mpya za mahindi na mbaazi pamoja na kulima kwa kutumia kilimo mseto na...

 

9 years ago

Mtanzania

Madereva wabuni mbinu mpya ya mgomo

NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM

CHAMA cha Madereva Wafanyakazi Tanzania (TADWU), kimesema madereva nchi nzima watakuwa mapumziko kwa wiki moja au zaidi kwa ajili ya kujiunga na mafunzo ya udereva.

Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Katibu wa TADWU, Rashid Said, alisema baada ya mazungumzo na Kamati ya Kudumu ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wameshindwa kuafikiana na kuona kuwa matajiri ndiyo wana nguvu zaidi kuliko wao waajiriwa.

Alisema kutokana na hali hiyo wameamua kutoendelea na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani