Wakulima 2,380 wapewa mbinu mpya
WAKULIMA 2,379 kutoka Wilaya tano hapa nchini wamenufaika na elimu ya teknolojia mpya ya matumizi ya mbegu mpya za mahindi na mbaazi pamoja na kulima kwa kutumia kilimo mseto na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV02 Dec
Uzalishaji aina mpya ya Mgomba, wakulima wapewa darasa.
Na Ramadhani Mvungi, Arusha.
Kituo cha utafiti na mafunzo ya kilimo cha mazao ya Mboga, Matunda na Maua cha Tengeru Arusha kikishirikiana na taasisi za TAHA na TAPP kimeanza kutoa mafunzo kwa wakulima kuhusu uzalishaji wa aina mpya ya zao la mgomba kupitia mashamba darasa.
Hatua hiyo ni mpango mahususi wa kuongeza uzalishaji wa mazao ya mbogamboga, matunda na maua katika kuendeleza dhana ya kilimo biashara nchini.
Ikiwa chini ya Wizara ya Kilimo chakula na Ushirika kituo cha...
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Kariakoo wapewa mbinu ya kujitangaza
WAFANYABIASHARA wa Soko kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam wamepewa elimu ya ujasiriamali juu ya kujitangaza kibiashara kupitia njia mbalimbali za kijigitali. Elimu hiyo ilitolewa na kampuni ya Transevents...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PgEuc64m5Do/Xk4NRseIsFI/AAAAAAALeZY/kyXytTx7LuouVC-2SEUZ5rmcNXBwZFjCgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_3195-1024x684.jpg)
Wananchi Wapewa Mbinu za Kuwachuja Wagombea 2020 Kupitia Huduma kwa Watoto
![](https://1.bp.blogspot.com/-PgEuc64m5Do/Xk4NRseIsFI/AAAAAAALeZY/kyXytTx7LuouVC-2SEUZ5rmcNXBwZFjCgCLcBGAsYHQ/s640/DSC_3195-1024x684.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akisalimiana na wananfunzi wa shule ya Sekondari Kizwite kabla ya kuwazawadia fedha baada ya kutumbuiza kwa wito unaohamasisha ilinzi kwa watoto katika sherehe za uzinduzi wa Mkakati wa Miaka mitano (2020 – 2025) wa kukabiliana na mimba za utotoni mkoa wa Rukwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC_3286-1024x684.jpg)
Wanafunzi wa shule ya Msingi majengo wakitoa burudani mbele ya mgeni rasmi mkuu wa mkoa wa Rukwa (hayupo pichani) kwa wimbo wao wa kuhamasisha kumjali na kumpatia haki mtoto katika ...
11 years ago
MichuziWAKULIMA WA UFUTA WILAYANI BABATI WAPEWA MASHINE ZA KUKAMUA UFUTA
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Simba yaanza na mbinu mpya
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Madereva wabuni mbinu mpya ya mgomo
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Madereva Wafanyakazi Tanzania (TADWU), kimesema madereva nchi nzima watakuwa mapumziko kwa wiki moja au zaidi kwa ajili ya kujiunga na mafunzo ya udereva.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Katibu wa TADWU, Rashid Said, alisema baada ya mazungumzo na Kamati ya Kudumu ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wameshindwa kuafikiana na kuona kuwa matajiri ndiyo wana nguvu zaidi kuliko wao waajiriwa.
Alisema kutokana na hali hiyo wameamua kutoendelea na...
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Wauza ‘unga’ waja na mbinu mpya
WAKATI serikali inafanya juhudi kupambana na wasafirishaji na waingizaji wa dawa za kulevya, wafanyabiashara hao wamebuni mbinu mpya ya kuweka ‘unga’ huo kwenye vitabu na viatu na kisha kutuma kama...
10 years ago
Mtanzania23 Jan
Ukawa wabuni mbinu mpya ya urais 2015
KIKAO cha pamoja kilichowakutanisha viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kimetoa mikakati ya pamoja ikiwamo kuandaa ratiba ya uteuzi wa wagombea wa nafasi ya urais kwa kila chama.
Hatua hiyo imekuja baada ya kikao cha siri cha siku mbili kilichowakutanisha viongozi wa juu wa Ukawa ambao ni Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, Freeman Mbowe (Chadema), James Mbatia (NCCR-Mageuzi) na Dk. Emmanuel Makaidi (NLD).
Chanzo cha kuaminika kiliambia MTANZANIA jana kuwa katika kikao...
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Wauza ‘unga’ sasa wabuni mbinu mpya
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10