Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAISLAM WAJUMUIKA NA WATANZANIA WENZAO KATIKA FUTARI YA PAMOJA STOCKHOLM, SWEDEN

 Shekhe akitowa mawaidha katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Jumuiya ya Waislamu jijini Stockholm, Sweden, leo  Sehemu ya waumini wakiwa katika hafla hiyo jijini Stockholm Mgeni rasmi katika hafla ya futari hiyo, Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe Dorah Msechu (wa pili kulia) akiwa na sehemu ya waumini waliohudhuriaMgeni rasmi katika hafla ya futari hiyo, Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe Dorah Msechu, akitoa salamu na shukurani kwa Jumuiya ya Waislamu nchini humo kuandaa futari y...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAISLAM WA STOCKHOLM WALIVYO JUMUIKA NA WATANZANIA WENZAO KWENYE SIKU KUU YA EID

 Balozi wa Tanzania nchini Swedeni Mhe. Dora Msechu (wa pili kulia) akiwa na wenyeji wake kwenye sherehe za Eid el Fitr  jana kwenye ukumbi wa Huddinge jijini Stockholm ambako waislamu walijumuika na Watanzania wenzao kusherehekea mwisho wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu kwa kupata chakula cha  pamoja. Keki ya Eid na mapochopocho mengine Bi Aisha Waziri akikata keki ya Eid Wageni waalikwa wakijumuika kwa chakula cha Eid.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

9 years ago

Bongo5

Mayweather na Justin Bieber wajumuika pamoja kwenye ‘holiday’ katika visiwa vya French Polynesia (Picha)

Baada ya kumchapa Andre Berto na kustaafu rasmi kucheza masumbwi, bondia Floyd Mayweather ameamua kujipongeza na kula raha za dunia. Mayweather na swahiba wake Justin Bieber wameungana pamoja kwenye holiday katika visiwa vya French Polynesia. Wawili hao wanafurahia muda wao kwenye beach safi zilizopo karibu na milima iliyojaa misitu ya kijani. Mayweather aliweka katika ukurasa […]

 

11 years ago

Michuzi

WATANZANIA WANAOISHI VISIWANI COMORO WAANDAA FUTARI YA PAMOJA KWA KUSHIRIKIANA NA UBALOZI

Baadhi ya Watanzania wanaoishi Visiwani Comoro wakiwa katika picha ya pamoja na Bw. Ali Mwadini (wa pili kutoka kushoto), Mkuu wa Utawala katika Ubalozi wa Tanzania, Comoro ambaye alimwakilisha Mhe. Balozi Chabaka Kilumanga wakati wa  futari ya pamoja iliyoandaliwa na Watanzania hao kwa kushirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mjini Moroni. Jumuiya ya Watanzania waishio Comoro wakipata futari ya pamoja. 
Jamii ya Watanzania wanaoishi Visiwani Comoro wameandaa futari ya...

 

10 years ago

Michuzi

wimbo maalumu wa kumkaribisha JK Stockholm, Sweden

TZK tulifurahi sana kupata nafasi ya kutengeneza wimbo wa kumkaribisha Mh Dr. Jakaya Mrisho Kikwete 2015.
Tino Mhina - ProducerZoelina Mårsen - Singer and song  writer.Kennedy Mmbando - Singer and song writer/Fine artst

 

10 years ago

Michuzi

FC KILIMANJARO YAWABAMIZA WATANI WA JADI KENYA 6-1 KWENYE MECHI MAALUM YA AMANI NA UPENDO JIJINI STOCKHOLM, SWEDEN

Timu ya Tanzania, FC Kilimanjaro ambayo ni mabingwa wa soka la Afrika nchini Sweden imepata ushindi mnono wa mabao 6-1 dhidi ya watani wao wa jadi Kenya kwenye mechi maalum ya kirafiki ya Amani na Upendo iliyofanyika jijini Stockholm jana tarehe 11 Aprili, 2015
Mechi hiyo iliandaliwa kwa pamoja na Balozi za Kenya na Tanzania nchini Sweden kwa kushirikiana na wanadiaspora wa nchi hizo kwa madhumuni ya kuonyesha mshikamano na kuziombea nchi zetu amani na upendo kufuatia matukio ya kigaidi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Watoto wa wahadhiri wa UDSM wajumuika pamoja kwenye ‘get together’ ya nguvu

Watoto wa Chuo waliowahi kuishi chuoni hapo wakiwa kwenye picha ya pamoja hakika hii ilikuwa ni party ya nguvu.

Watoto wa chuo waliokuwa wakiishi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)  wakati wazazi wao wakiwa ni wahadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Ili kuweka ukaribu watoto hao wamekutana na kufanya party ya nguvu hivi karibuni katika viwanja vya UDSM hii ikiwa ni kurudisha ukaribu pamoja na kufahamiana kwa wale waliopotezana miaka kadhaa chuoni hapo.

Hakika ilikuwa ni...

 

10 years ago

Michuzi

Bayport Financial Services yafutulisha wadau wake, DC Kilwa na Balozi wetu Saudi Arabia wajumuika pamoja

TAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services, jana imefuturisha wadau wake wanaoendelea na mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan, huku ikiwataka kudumisha amani, umoja, upendo na mshikamano kwa Watanzania wote. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Utawala wa Bayport Financial Services, Evelyine Hall, katika futari iliyoandaliwa kwa ajili ya wadau wake mwishoni mwa wiki, jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu mbalimbali.

Viongozi wa Taasisi ya Bayport Financial Services na wageni waalikwa...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI DORA MSECHU AWASILISHA HATI ZAKE ZA UTAMBULISHO KWA MFALME WA SWEDEN, AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO SWEDEN NA KUPOKELEWA KWA SHANGWE

 Balozi mpya wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dorah Msechu akisindikizwa kuingia kwenye kasri ya Mfalme wa Sweden ili kuwasilisha hati zake za utambulisho.  Balozi mpya wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dorah Msechu na ujumbe wake wakiwa katika picha ya pamoja na Mfalme wa Sweden  kasri ya Mfalme wa Sweden akipofika kuwasilisha hati zake za utambulisho.   Balozi mpya wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dorah Msechu akipeana mikono na Mfalme wa Sweden baada ya kuwasilisha hati za utambulishoBaada ya...

 

10 years ago

Vijimambo

RATIBA YA FUTARI YA PAMOJA WASHINGTON DC


                           Assalam Alaykum, Wa Rahmatullah, Wa Barakatuhu

Uongozi wa Tanzanian Muslim Community Washington DC Metro (TAMCO) unawakaribisha kwenye Kufuturu Kwa Pamoja Kila Jumammosi na Jumapili za Mwezi wa Ramadhani.
Tunaombwa tuudhurie na tuwajulishe wengine wote:-Jumamosi, June 20th, 2015 – Glenmont Park Activity Building
Address: 3201 Randolph Road, Wheaton, MD 20906Jumapili, June 21st, 2015 – July 12, 2015 (Siku Zote Zilizobaki):
Indian Springs-Terrace Park Activity...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani