Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mayweather na Justin Bieber wajumuika pamoja kwenye ‘holiday’ katika visiwa vya French Polynesia (Picha)

Baada ya kumchapa Andre Berto na kustaafu rasmi kucheza masumbwi, bondia Floyd Mayweather ameamua kujipongeza na kula raha za dunia. Mayweather na swahiba wake Justin Bieber wameungana pamoja kwenye holiday katika visiwa vya French Polynesia. Wawili hao wanafurahia muda wao kwenye beach safi zilizopo karibu na milima iliyojaa misitu ya kijani. Mayweather aliweka katika ukurasa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Justin Bieber kuubeba mkanda wa Mayweather atakapoingia ulingoni Jumamosi hii

Justin Bieber ni shabiki namba moja wa Floyd Mayweather ndio maana ataubeba mkanda wa bondia huyo wakati atakapoingia ulingoni Jumamosi hii. Mayweather atapanda ulingoni siku hiyo kuzipiga na Manny Pacquiao. Kwa mujibu wa The Sun, Bieber ataongoza msafara wa Mayweather wakati utakapopanda kwenye ulingo wa MGM Grand. Chanzo kimoja kimeliambia gazeti hio: As long as […]

 

9 years ago

Bongo5

Justin Bieber: Natumia Instagram kuangalia picha za warembo!

Justin Bieber amekiri kuwa hutumia mtandao wa Instagram kuangalia picha za wasichana warembo. Amesema badala ya kuangalia picha za washkaji zake, mara nyingi huingia kwenye Instagram kuangalia mapaja, boobs na sura za wasichana wanaovutia. Akiongea na kituo cha redio cha New York, Z100 Bieber alisema: Instagram is about dudes looking at pretty girls, that’s basically […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha mpya za Justin bieber akiwa mtupu zasambaa mtandaoni (18+)

Tumezoea kuona mastaa wa kike wakipozi na kukipiga picha za utupu kwaajili ya matoleo ya majarida mbalimbali ambayo huwalipa mkwanja mrefu kufanya hivyo ili wauze majarida yao. Lakini safari hii ni staa wa kiume Justin Bieber ndiye ametawala vichwa vya habari baada ya picha zake akiwa mtupu kusambaa mtandaoni. Kwa mujibu wa Huffington Post picha […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Watoto wa wahadhiri wa UDSM wajumuika pamoja kwenye ‘get together’ ya nguvu

Watoto wa Chuo waliowahi kuishi chuoni hapo wakiwa kwenye picha ya pamoja hakika hii ilikuwa ni party ya nguvu.

Watoto wa chuo waliokuwa wakiishi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)  wakati wazazi wao wakiwa ni wahadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Ili kuweka ukaribu watoto hao wamekutana na kufanya party ya nguvu hivi karibuni katika viwanja vya UDSM hii ikiwa ni kurudisha ukaribu pamoja na kufahamiana kwa wale waliopotezana miaka kadhaa chuoni hapo.

Hakika ilikuwa ni...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Justin Bieber aonesha cover ya album yake mpya ‘Purpose’

Wakati mitandao ikiwa imewaka moto kutokana na picha zake za utupu kuvujishwa wiki hii, Justin Bieber ameshare cover ya album yake mpya. Hivi karibuni mwimbaji huyo wa Canada alitangaza kuwa album hiyo itaitwa ‘Purpose’ na itatoka Novemba 13, 2015. Single ya kwanza kutoka kwenye album hiyo ‘What Do You Mean’ inaendelea kufanya vizuri kwenye chati […]

 

10 years ago

Michuzi

WAISLAM WAJUMUIKA NA WATANZANIA WENZAO KATIKA FUTARI YA PAMOJA STOCKHOLM, SWEDEN

 Shekhe akitowa mawaidha katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Jumuiya ya Waislamu jijini Stockholm, Sweden, leo  Sehemu ya waumini wakiwa katika hafla hiyo jijini Stockholm Mgeni rasmi katika hafla ya futari hiyo, Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe Dorah Msechu (wa pili kulia) akiwa na sehemu ya waumini waliohudhuriaMgeni rasmi katika hafla ya futari hiyo, Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe Dorah Msechu, akitoa salamu na shukurani kwa Jumuiya ya Waislamu nchini humo kuandaa futari y...

 

9 years ago

GPL

UMRI MDOGO+ PESA+UMAARUFU = VITUKO VYA JUSTIN BIEBER

Justin Bieber. KAMA wewe ni mdau wa burudani, Jina la JUSTIN BIEBER linaweza lisiwe geni masikioni mwako hasa kutokana na umaarufu mkubwa alioupata kupitia kipaji chake cha uimbaji tangu akiwa kijana mdogo. Bieber aliyeanza kutambulika mwaka 2008 akiwa na miaka 14 na kujulikana zaidi kupitia kibao chake cha Baby alichomshirikisha mkali wa Hip Hop,Ludacris, ameweza kuwa mmoja kati ya wasanii wenye umri mdogo wanaoingiza mkwanja...

 

9 years ago

Bongo5

Justin Bieber atoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Purpose’

Akiwa ameshatoa nyimbo mbili (What Do You Mean & Sorry) kutoka kwenye album yake mpya ‘Purpose’ ambayo itatoka mwezi Ujao, mshindi wa tuzo 5 za MTV EMA, Justin Bieber ametoa orodha ya nyimbo 19 zitakazokuwemo kwenye album hiyo. Wasanii aliowashirikisha kwenye baadhi ya nyimbo hizo ni pamoja na Nas, Big Sean, Travis Scott, Ariana Grande […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Urembo katika visiwa vya Comoro

Bila shaka urembo unaweza kutafsiriwa kwa namna mbalimbali.Na nchi tofauti zina namna ya kipekee kudhihirisha uzuri wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani