Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajasiriamali 150 waelimishwa Moshi

>Taasisi ya Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki na Kusini imeanza kutoa elimu ya uendeshaji biashara kwa wajasiriamali wadogo mkoani Kilimanjaro.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAJASILIAMALI 150 WAPATIWA MAFUNZO MOSHI.

Baadhi ya Wawezeshaji katika mafunzo yaWajasiliamali 150 yanayofanyika katika chuo cha Ufundi Veta mkoa wa Kilimanjaro.
Baadhi ya washiriki katika mafunzo hayo.Mkurugenzi wa Taasisi ya Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki na Kusinin(ESAURP) Prof,Ted Maliyamkono akzungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya wajasiliamali  wadogo wa mkoa wa Kilimanjaro yanayofanyika katika chuo cha VETA Moshi.Badhi ya washiriki wa mafunzo hayo ya siku tano.Mjumbe wa  Bodi ya Taasisi ya fedha ya FSDT ,Erick Masinda...

 

11 years ago

Mwananchi

Wajasiriamali wasaidiwa mafunzo, vifaa Moshi

Vikundi vya wanawake wa kata tofauti za Mkoa wa Kilimanjaro wamefanikiwa kupata mafunzo ya ujasiriamali kama hatua mojawapo ya kuwakwamua kiuchumi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mawakala TPB waelimishwa

BENKI ya Posta Tanzania (TPB), imewajengea uwezo mawakala wa benki hiyo, ili kuongeza uwezo wa kufanya kazi pamoja na kubadilishana uzoefu katika utendaji wa utoaji huduma kwa wateja. Akizungumza Dar...

 

10 years ago

Habarileo

Waelimishwa kujiunga na NHIF

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umetoa mafunzo kwa madereva 75 wa pikipiki za biashara (bodaboda) mkoani hapa, juu ya namna ya kujiunga na mfuko huo.

 

10 years ago

Dewji Blog

PSPF ya ungana na wanawake wajasiriamali katika hafla ya kuendeleza umoja wa wajasiriamali Dar

Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF).

2

Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiriamali Shamimu Mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo Jokate Mwegelo.

Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) kushoto Hadji...

 

10 years ago

Vijimambo

PSPF YA UNGANA NA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KATIKA HAFRA YA KUENDELEZA UMOJA WA WAJASIRIAMALI DAR ES SALAAM

 Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF) Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiliamali shamimu mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo jokate mwegelo. Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF)kushoto Hadji...

 

9 years ago

Habarileo

Wasiosikia waelimishwa kutambua noti bandia

WATU wenye ulemavu wa kutosikia mkoani Simiyu wameanza kupatiwa mafunzo na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) juu ya kutambua noti bandia na halali na njia sahihi za kutunza fedha.

 

10 years ago

Michuzi

WANAWAKE WENYE ULEMAVU WAELIMISHWA JUU YA UCHAGUZI

 Mkurungenzi Mtendaji wa kituo cha msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) Theosia Nshala akuzungumza kwenye mdahalo na wanawake wenye ulemavu (TAMAWA) juu ya taratibu mbarimbari za Uchanguzi hususani hari za mwanamke katika Uchanguzi hapa nchini katika mdahalo uliofanyika  Jijini Dar es Salaam. Mwanaharakati na Mtaaramu wa Jinsia na Haki za Binadam Gema Akilimali, akuzungumza kwenye mdahalo na wanawake wenye ulemavu (TAMAWA) juu Kuwajengea wanawake ufahamu na ujasiri wa kushiriki katika...

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA DAR WAELIMISHWA KUHUSU KODI YA ZUIO


Afisa Msimamizi wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Isihaka Shariff akimuelimisha Mfanyabiashara wa maduka ya Ikupa Market katika eneo la Tabata Kinyerezi jijini Dar es Salaam kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu kodi wakati wa Kampeni endelevu ya Elimu kwa Mlipakodi iliyoanza tangu tarehe 8 Juni, 2020.
Afisa Msimamizi wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bi. Catherine Mwakilagala akimuelimisha Mfanyabiashara wa eneo la Tabata Segerea jijini Dar es Salaam kuhusu masuala...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani