Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawakala TPB waelimishwa

BENKI ya Posta Tanzania (TPB), imewajengea uwezo mawakala wa benki hiyo, ili kuongeza uwezo wa kufanya kazi pamoja na kubadilishana uzoefu katika utendaji wa utoaji huduma kwa wateja. Akizungumza Dar...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Waelimishwa kujiunga na NHIF

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umetoa mafunzo kwa madereva 75 wa pikipiki za biashara (bodaboda) mkoani hapa, juu ya namna ya kujiunga na mfuko huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wajasiriamali 150 waelimishwa Moshi

>Taasisi ya Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki na Kusini imeanza kutoa elimu ya uendeshaji biashara kwa wajasiriamali wadogo mkoani Kilimanjaro.

 

9 years ago

Habarileo

Wasiosikia waelimishwa kutambua noti bandia

WATU wenye ulemavu wa kutosikia mkoani Simiyu wameanza kupatiwa mafunzo na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) juu ya kutambua noti bandia na halali na njia sahihi za kutunza fedha.

 

10 years ago

Michuzi

WANAWAKE WENYE ULEMAVU WAELIMISHWA JUU YA UCHAGUZI

 Mkurungenzi Mtendaji wa kituo cha msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC) Theosia Nshala akuzungumza kwenye mdahalo na wanawake wenye ulemavu (TAMAWA) juu ya taratibu mbarimbari za Uchanguzi hususani hari za mwanamke katika Uchanguzi hapa nchini katika mdahalo uliofanyika  Jijini Dar es Salaam. Mwanaharakati na Mtaaramu wa Jinsia na Haki za Binadam Gema Akilimali, akuzungumza kwenye mdahalo na wanawake wenye ulemavu (TAMAWA) juu Kuwajengea wanawake ufahamu na ujasiri wa kushiriki katika...

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA DAR WAELIMISHWA KUHUSU KODI YA ZUIO


Afisa Msimamizi wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Isihaka Shariff akimuelimisha Mfanyabiashara wa maduka ya Ikupa Market katika eneo la Tabata Kinyerezi jijini Dar es Salaam kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu kodi wakati wa Kampeni endelevu ya Elimu kwa Mlipakodi iliyoanza tangu tarehe 8 Juni, 2020.
Afisa Msimamizi wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bi. Catherine Mwakilagala akimuelimisha Mfanyabiashara wa eneo la Tabata Segerea jijini Dar es Salaam kuhusu masuala...

 

9 years ago

Vijimambo

WAANDISHI WA HABARI WAELIMISHWA JUU YA SHERIA NA MAKOSA YA MITANDAO

 Afisa Sheria wa Wizara ya Mawasiliano, Eunice Masigati akizunzungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na sheria za makosa ya mitandao, ambapo sheria hii itatumia Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar wakati wa Tamasha la mtandao wa wanawake na katiba na uchumi linaloendela TGNP jijini Dar es Salaam.  Afisa Mawasiliano wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Melkizdeck Karol akiwaelimisha waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya usalama wa sheria za mitandao...

 

9 years ago

Michuzi

WAANDISHI WA HABARI WAELIMISHWA JUU YA SHERIA ZA MAKOSA YA MITANDAO

 Afisa Sheria wa Wizara ya Mawasiliano, Eunice Masigati akizunzungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na sheria za makosa ya mitandao, ambapo sheria hii itatumia Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar wakati wa Tamasha la mtandao wa wanawake na katiba na uchumi linaloendela TGNP jijini Dar es Salaam.  Afisa Mawasiliano wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Melkizdeck Karol akiwaelimisha waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya usalama wa sheria za mitandao...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TPB yawafikia JWTZ

WANAJESHI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kikosi cha 34 Lugalo, wametakiwa kujiwekea akiba ya malengo maalum ili iwasaidie katika kuinua uchumi wao na hata kutunza familia. Akizungumza na kikosi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TPB kuiwezesha Vicoba kiuchumi

MITAJI ni changamoto kubwa inayowakabili wajasiriamali na kushindwa kukopesheka katika taasisi za fedha zenye masharti magumu. Baadhi ya masharti hayo ni mali isiyohamishika kama nyumba na kiwanja jambo ambalo wajasiriamali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani