TPB yawafikia JWTZ
WANAJESHI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kikosi cha 34 Lugalo, wametakiwa kujiwekea akiba ya malengo maalum ili iwasaidie katika kuinua uchumi wao na hata kutunza familia. Akizungumza na kikosi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
NMB yawafikia wakazi wa Sinza
BENKI ya NMB juzi ilizindua rasmi tawi lake Sinza Mori, Kinondoni, jijini Dar es Salaam zikiwa ni harakati zake za kufikisha huduma karibu na wateja. Tawi hilo ambalo limefunguliwa mkabala...
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
IT Bridge yawafikia wanafunzi 60,000
Kamishina wa Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Eusella Bhalalusesa akizungumza kabla ya kumkaribisha Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Profesa Sifuni Mchome kuzindua maonesho ya Tehama yanayoendelea katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Na mwandishi wetu
JUMLA ya wanafunzi 60,000 katika shule 150 nchini wamepitiwa na mafunzo ya programu ya Bridge IT yenye lengo la kuongeza ubora wa elimu kwa kutumia teknolojia...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XoY8owCVn0w/VIBD7YpJkTI/AAAAAAAG1LM/ZS67s6Yqxo0/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
NMB YAWAFIKIA WAKAZI WA SIHA
Tawi la NMB Siha...
10 years ago
MichuziNMB YAWAFIKIA WAKAZI WA TANDIKA
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
PSPF yawafikia wasanii na waendesha bodaboda
WASANII, waendesha bodaboda pamoja na wadau wengine kutoka sekta binafsi, jana walinufaika na huduma iliyotolewa na Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) katika Tamasha la Waendesha Bodaboda lililofanyika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nk2ezAe3YEQ/XkrtbZLBvJI/AAAAAAALdzY/XVq-lw4fNSwS0Nj3lcv4wI7YbxZeA3k6wCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPAKODI YAWAFIKIA WAFANYABIASHARA IRINGA
Na Veronica Kazimoto,Iringa
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inaendelea na kampeni ya elimu kwa mlipakodi ambapo kwa sasa inafanya kampeni hiyo katika Mkoa wa Iringa na wilaya zake ikitoa elimu ya kodi kwa kuwatembelea wafanyabiashara mbalimbali kwenye biashara zao.
Akizungumzia kampeni hiyo, Afisa Msimamizi Mkuu wa Kodi Bi. Rose Mahendeka alisema kuwa TRA imejipanga kuwafikia wafanyabiashara mahali walipo ili kuwapatia elimu ya kodi ikiwa ni pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili na...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GSAddBZqfj0/VlBjHBXxZ1I/AAAAAAABkq0/6gRr9yhXX5c/s72-c/basi.jpg)
KAMPENI YA NSSF KWANZA YAWAFIKIA WATU WENGI MKOANI MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-GSAddBZqfj0/VlBjHBXxZ1I/AAAAAAABkq0/6gRr9yhXX5c/s640/basi.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ewuEEO5dqbk/VlBjk64ITDI/AAAAAAABkq8/xNCIh0mQ5S8/s640/Komba.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P3SzOmDvYgg/VlBnRq8zhII/AAAAAAABkrU/2bFk2jQQNGA/s640/Bodaboda.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LnPfpf0QNLE/VJkWqNiOzWI/AAAAAAAG5Sk/JioQ_Btf6kQ/s72-c/003.MBEYA.jpg)
Kampeni ya Usalama barabarani ya“Wait to Send”yawafikia madereva Mbeya
![](http://3.bp.blogspot.com/-LnPfpf0QNLE/VJkWqNiOzWI/AAAAAAAG5Sk/JioQ_Btf6kQ/s1600/003.MBEYA.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10