Wajumbe bunge maalumu watakiwa kuacha ubinafsi, uchoyo
KUTOKANA na kuongezeka mivutano na mpasuko miongoni mwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, imeshauriwa njia pekee ya kunusuru mchakato wa kuandikwa kwa Katiba mpya ni wajumbe kuacha ubinafsi, uchoyo na misimamo ya kisiasa badala yake wajenge maridhiano.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV04 Jan
Watanzania watakiwa kuacha ubinafsi
Watanzania wametakiwa kuachana na ubinafsi na badala yake kuishi kama ndugu ikiwa ni pamoja na kusaidiana ili kuifanya Tanzania kuendelea kuwa Taifa lenye mshikamano barani Afrika.
Kauli hiyo imetolewa na Askofu Rogathe Swai wa Kanisa la Kinondoni Rivavil mara baada ya kushuhudiwa matukio tofauti ya kifisadi na rushwa yaliyojitokeza mwaka jana ikiwemo baadhi ya Watanzania kutuhumiwa kuficha fedha nje ya Nchi.
Katika ibada ya kuimba na kumsifu Mungu ambayo imefanyika kwenye kanisa la Revival...
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Bima nchini watakiwa kuacha ubinafsi
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Kikunge awafunda wajumbe #Bunge la #Katiba, ashauri ubinafsi uwekwe kando [VIDEO]
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Matapeli wawazengea wajumbe Bunge Maalumu
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hI5VpIY8zB4/UxGd85ZX81I/AAAAAAAFQX8/yAxzR8XnPMU/s72-c/unnamed+(1).jpg)
TASWIRA ZA WAJUMBE WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-hI5VpIY8zB4/UxGd85ZX81I/AAAAAAAFQX8/yAxzR8XnPMU/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-20ZJ7oczNO8/UxGd8xKw2yI/AAAAAAAFQYA/-KIo76erDPI/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-H24T2Zcu0r8/VCWshOkKfHI/AAAAAAAAhtk/YB4eAtOAMuA/s72-c/bunge%2B(2).jpg)
Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba Watishiwa Maisha
![](http://1.bp.blogspot.com/-H24T2Zcu0r8/VCWshOkKfHI/AAAAAAAAhtk/YB4eAtOAMuA/s640/bunge%2B(2).jpg)
Kunani Jamani Tanzania Tunaelekea Wapi?
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Wajumbe Bunge Maalumu la Katiba changanyeni akili
WAPO wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walioambiwa na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wasigombee ubunge kwa tiketi ya chama hicho cha upinzani bali wajiunge na CCM...
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Wajumbe Bunge Maalumu la Katiba na mawazo mgando
NI ukweli usiopingika kuwa Bunge Maalumu la Katiba limetawaliwa na wajumbe walio wengi mamluki, ambao wamevaa makoti ya CCM. Hakika sina shaka mamluki hao wamekuwa wakisimamia misimamo ya chama chao...
11 years ago
Michuzi25 Feb
HAFLA YA KUWAPONGEZA WAJUMBE WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA MJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-csNX1kZuLgc/UwsXH3leO9I/AAAAAAAA_Rk/S7vFC5_F8xk/s1600/582.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CEUm41X4BHc/UwsXIRy10sI/AAAAAAAA_Ro/mdvQPV8Vk4o/s1600/586.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-VuLseoMukgg/UwsXKjmHZzI/AAAAAAAA_R0/t83RuIcOW8U/s1600/603.jpg)