Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajumbe jadilini maoni ya wananchi — Mchungaji

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kujadili zaidi maoni ya wananchi kuliko  kujadili masilahi yao binafsi. Wito huo ulitolewa mjini hapa jana na Mchungaji wa Kanisa la Jesus Christ...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mchungaji awafunda wajumbe

MCHUNGAJI wa Kanisa la TAG mjini hapa, Vangast Salum, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuhakikisha wanatekeleza kile walichotumwa na wananchi. Alitoa kauli hiyo mjini hapa jana na kusema...

 

11 years ago

Mwananchi

Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Profesa Anna Tibaijuka ametahadharisha kuwa wananchi wanaweza kuikataa Katiba kwenye kura ya maoni kama maoni yao yatawekwa kando.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchungaji Mtikila asema wajumbe wanatishwa

>Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila amedai kwamba kuna vitisho vinavyotolewa vya kuwashughulikia wajumbe wanaopinga Muungano.

 

11 years ago

Mwananchi

Zogo lazuka Dodoma, wajumbe waita ripoti ya Kamati No. 1 ‘maoni binafsi’ [VIDEO]

>Zogo kubwa limezuka Bunge Maalum la Katiba wakati wa uwasilishaji wa taarifa za kamati baada ya mmoja wa wenyeviti wa kamati hizo kudaiwa kukiuka kanuni.

 

11 years ago

Habarileo

‘Jadilini mambo yenye tija Katiba mpya’

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, wameshauriwa kujadili mambo yenye tija kwa taifa, badala ya kubishania yasiyo ya msingi, kwa sababu, fedha wanazozitumia bungeni ni za wananchi watakaohoji kulikoni katiba bora isipopatikana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajumbe watakiwa kutopotosha wananchi

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kutowapotosha Watanzania kuhusiana na muundo wa serikali tatu na badala yake wawaambie ukweli. Kauli hiyo ilitolewa bungeni  juzi na mjumbe wa Bunge hilo,...

 

10 years ago

Michuzi

Lowassa asalimiana na wananchi baada ya kusimikwa uaskofu mchungaji Solomon Jacob Masangwa jijini arusha

 Waziri mkuu wa mstaafu na  mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akisalimiana na mamia ya waumini wa  kanisa la KKKT Kimandolu jijini Arusha baada ya Ibada ya kusimikwa uaskofu mchungaji Solomon Jacob Masangwa kuwa askofu wa dayosisi ya kaskazini Kati leo Jumamosi  Waumini hao walipigana vikumbo kumpiga picha na simu zao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wawakumbusha wajumbe wajibu wao

BAADHI ya wananchi wa Dodoma wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kujadili mambo ya msingi na si kutumia muda mwingi kuonyeshana ujasiri wa kutetea vyama vyao. Mbali na hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani